WANAFUNZI WAASWA KWENDA SAMBAMBA NA TEKNOLOJIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-k9DlK-dsVwk/ViSWwWDZFeI/AAAAAAAIA0Q/x1MwOSYqvVQ/s72-c/001.jpg)
Balozi Mwanaidi Majaar(kulia) akijadiliana jambo na mgeni rasmi wa mahafali ya 13 ya shule ya sekondari Shimbwe iliyopo Moshi vijijini, Ofisa Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Georgia Mutagahywa (kushoto) mara baada ya kutembelea chumba cha mafunzo ya Kompyuta katika shule hiyo.
Mgeni rasmi katika mahafali ya 13 ya kidato cha nne katika shule ya sekondari Shimbwe iliyopo Uru wilayani Moshi vijijini,Ofisa Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Georgia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KE3JCdvi5do/VaT7Hid73bI/AAAAAAAC8gI/dLio0Thz4zk/s72-c/aduivcd.jpg)
Faustine Munishi kwenda sambamba na Mwaitege
![](http://1.bp.blogspot.com/-KE3JCdvi5do/VaT7Hid73bI/AAAAAAAC8gI/dLio0Thz4zk/s400/aduivcd.jpg)
MWIMBAJI wa Kimataifa anayeishi, Kenya Faustine Munishi anatarajia kumsindikiza mwenzake Bonny Mwaitege anayetarajia kuzindua albamu tatu kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama, Munishi ataungana na Mwaitege, uzinduzi utakaofanyika Agosti 2 mwaka huu.Msama alisema Munishi ni mojawapo ya watakaomsindikiza mwimbaji huyo kwa sababu hivi sasa sambamba na Kilahiro na Kwaya ya Wakorintho wapili. “Uzinduzi wa albamu tatu...
10 years ago
Bongo518 Nov
Vijana waaswa kushiriki mashindano ya teknolojia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PhpRQMoFW8akRqokc3GJ6IdUJAeZx5g6czn0HOj2qeMIbMIrY8GC6Ue99AOcoJovuqj4rnPNqBpmzxzuov*yVGCGsI9heCH7/001.APPSTAR.jpg)
VIJANA WAASWA KUSHIRIKI MASHINDANO YA TEKNOLOJIA
10 years ago
StarTV17 Jan
Wakulima Bunda waaswa kuhifadhi mazao kwa kutumia teknolojia ya kisasa.
Na Ahmed Makongo,
Bunda.
Wakulima wa mazao ya nafaka wilayani Bunda mkoani Mara wameshauriwa kutumia teknolojia ya kisasa ya mifuko ya Pics kuhifadhi vyakula ili visiharibike.
Katika uzinduzi wa teknolojia hiyo uliofanyika kijiji cha guta afisa kilimo wa Wilaya ya Bunda Serapion Rujuguru amlisema itawasaidia wakulima kukabiliana na njaa pamoja na kuuza vyakula hivyo kwa bei nzuri.
where to get student loans with no credit
Rujuguru alisema kuwa wakulima wengi wamekuwa wakipoteza...
10 years ago
MichuziWatanzania waaswa kutumia teknolojia mpya na za kisasa kuzalisha mazao na sekta nzima ya kilimo
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
Teknolojia yaharibu wanafunzi
MABADILIKO ya sayansi na teknolojia katika nyanja ya mawasiliano nchini yametajwa kuwa miongoni mwa sababu zinazochangia kwa kiasi kikubwa kuharibu uelewa wa wanafunzi katika kuandika barua mbalimbali zikiwemo za kuombea...
10 years ago
Mtanzania11 Jun
Wanafunzi waaswa kusoma sayansi
Na Patricia Kimelemeta, Muleba
WANAFUNZI wametakiwa kupenda kusoma masomo ya sayansi waweze kupata fursa ya ajira wanapomaliza masomo yao, jambo ambalo linaweza kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira nchini.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana alikuwa akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyakatanga wilayani Muleba wakati wa kukabidhi kompyuta zitakazotumika kwa ajili ya masomo ya sayansi.
Alisema hatua hiyo itawasaidia kuingia kwenye soko la ushindani wa...
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Wanafunzi waaswa kujali nidhamu
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-G6b7Baiu2Iw/Vnjrbz4O3BI/AAAAAAAINyQ/hH84fnIEP9s/s72-c/01.jpg)
Walimu waaswa kuwa wazalendo kuwafundisha wanafunzi nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-G6b7Baiu2Iw/Vnjrbz4O3BI/AAAAAAAINyQ/hH84fnIEP9s/s640/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LHIrtOMzwfA/Vnjrc55awAI/AAAAAAAINyo/b8I3lVdF8aI/s640/04.jpg)