Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafunzi waaswa kujali nidhamu

Wanamichezo wanaoshiriki michuano ya Umoja wa Shule za Sekondari Tanzania (Umisseta) wametakiwa kuzingatia nidhamu, umoja na mshikamano ndani na nje ya uwanja katika michuano hiyo iliyoanza jana kwenye viwanja vya Shirika la Elimu mjini hapa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wanavyuo Dodoma waaswa kujali nafasi waliyonayo

004828

Mchg. Casey Kalaso (kulia) kutoka Zambia akitoa mafundisho kwa wanavyuo waliohudhuria mkesha wa kusifu na kuabudu (Campus Night) uliofanyika mwishoni mwa wiki kwenye ukumbi wa Chimwaga, mjini Dodoma. Kushoto ni Mchg. Rodgers Namwenje ambaye alikuwa mkalimani. (Picha na Irene Bwire).

MKUU wa Mkoa wa Njombe, Dk. Rehema Nchimbi amewataka wanafunzi wa vyuo vikuu na vyuo vya elimu ya juu vya mkoa wa Dodoma watumie fursa waliyonayo kuisaidia nchi ya Tanzania isonge mbele na kufikia uchumi wa juu...

 

10 years ago

GPL

WASANII WAASWA KUWA NA NIDHAMU YA MUDA

Kiongozi wa Kundi la Kudansi la Wakali Sisi lililoshinda katika Shindano la Dansi mia mia hivi karibuni Yasin Haji (Kulia) akiongea na wadau wa Sanaa waliohudhuria kwenye Jukwaa la Sanaa la Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mapema wiki hii. Kushoto ni Afisa Sanaa kutoka BASATA, Ernest Biseko. Kundi la Wakali Sisi likionesha vitu vyeo kwenye Jukwaa la Sanaa la Taifa (BASATA) mapema wiki hii.… ...

 

11 years ago

Habarileo

Washutumiwa kwa kulea wanafunzi wasio na nidhamu

WAMILIKI wa shule na vyuo visivyo vya Serikali, wamelalamikia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, kwa kulea wanafunzi wasio na nidhamu mashuleni.

 

10 years ago

Mtanzania

Wanafunzi waaswa kusoma sayansi

kinanaNa Patricia Kimelemeta, Muleba
WANAFUNZI wametakiwa kupenda kusoma masomo ya sayansi waweze kupata fursa ya ajira wanapomaliza masomo yao, jambo ambalo linaweza kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira nchini.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana alikuwa akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyakatanga wilayani Muleba wakati wa kukabidhi kompyuta zitakazotumika kwa ajili ya masomo ya sayansi.
Alisema hatua hiyo itawasaidia kuingia kwenye soko la ushindani wa...

 

9 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WAASWA KWENDA SAMBAMBA NA TEKNOLOJIA

  Balozi Mwanaidi Majaar(kulia) akijadiliana jambo na mgeni rasmi wa mahafali ya 13 ya shule ya sekondari Shimbwe iliyopo Moshi vijijini, Ofisa Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Georgia Mutagahywa (kushoto) mara baada ya kutembelea chumba cha mafunzo ya Kompyuta katika shule hiyo.
 Mgeni rasmi katika mahafali ya 13 ya kidato cha nne katika shule ya sekondari Shimbwe iliyopo Uru wilayani Moshi vijijini,Ofisa Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Georgia...

 

9 years ago

Michuzi

Walimu waaswa kuwa wazalendo kuwafundisha wanafunzi nchini

Afisa Elimu Vifaa na Takwimu Halmashauri ya Kibaha Vijijini Doris Semkiwa ambaye anamwakilisha Afisa Elimu wa Halmashauri ya Kibaha Vijijini akitoa mada kwa Washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo Walimu na Wanafunzi katika Ufundishaji na Ujifunzaji kwa shule za sekondari (STEP) wakifuatilia mafunzo hayo katika kituo cha Shule ya sekondari Kilangalanga iliyopo wilayani Kibaha Vijijini mkoani Pwani.Washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo Walimu na Wanafunzi katika Ufundishaji na Ujifunzaji...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanafunzi waaswa kutokufaulu kidato cha nne, sio kufeli maisha

DSC01412

Rais wa shirikisho la wachimba madini Tanzania na mgeni rasmi wa mahafali ya sita ya shule ya sekondari kata Mandewa,John Bina,akizungumza kwenye mahafali hayo. Kulia ni mwenyekiti wa bodi ya shule ya sekondari ya Mandewa.Bahati Shagama na kushoto ni mkuu wa  wa shule hiyo, Margreth Missanga.

Na Nathaniel Limu, Singida

RAIS wa shirikisho la wachimba madini Tanzania, John Bina amewataka wanafunzi ambao hawatafaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka huu,wasikate tamaa kwa madai kwamba yapo...

 

5 years ago

Michuzi

CHUO KIKUU MZUMBE WASHEREKEA SIKU YA WANAWAKE NA WANAFUNZI, WASICHANA WAASWA KUSOMA MASOMO YANAYO TUMIA RASILIMALI ZAIDI


CHUO kikuu cha Mzumbe kampasi ya Dar es Salaam wamesheherekea siku ya Mwanamke Dunia kwa Kuzungumza yapasayo mtoto wa kike na wanafunzi wa shule ya sekondari ya Hananasif jijini Dar es Salaam leo.
Wanafunzi hao wameaswa kusoma masomo ambayo hayatumii watu wengi na kusoma masomo ambayo yanatumia rasilimali ili iwe rahisi kuajiliwa na kujiajili wenyewe.
Hayo ameyasema Mhadhiri wa Chuo kikuu cha Mzumbe Kampasi ya Dar es Salaam, Dkt. Godberther Kinyondo jijini Dar es Salaam leo wakati wa...

 

9 years ago

Habarileo

Serikali yapongezwa kujali wenye ulemavu

SHIRIKISHO la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA), limempongeza Rais John Magufuli kwa kutimiza ahadi yake ya kuyajali na kuyapa kipaumbele masuala ya Watanzania wenye ulemavu kwa kuhamishia masuala yao chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa utekelezaji wenye tija.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani