Wanafunzi waaswa kujali nidhamu
Wanamichezo wanaoshiriki michuano ya Umoja wa Shule za Sekondari Tanzania (Umisseta) wametakiwa kuzingatia nidhamu, umoja na mshikamano ndani na nje ya uwanja katika michuano hiyo iliyoanza jana kwenye viwanja vya Shirika la Elimu mjini hapa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Nov
Wanavyuo Dodoma waaswa kujali nafasi waliyonayo
Mchg. Casey Kalaso (kulia) kutoka Zambia akitoa mafundisho kwa wanavyuo waliohudhuria mkesha wa kusifu na kuabudu (Campus Night) uliofanyika mwishoni mwa wiki kwenye ukumbi wa Chimwaga, mjini Dodoma. Kushoto ni Mchg. Rodgers Namwenje ambaye alikuwa mkalimani. (Picha na Irene Bwire).
MKUU wa Mkoa wa Njombe, Dk. Rehema Nchimbi amewataka wanafunzi wa vyuo vikuu na vyuo vya elimu ya juu vya mkoa wa Dodoma watumie fursa waliyonayo kuisaidia nchi ya Tanzania isonge mbele na kufikia uchumi wa juu...
10 years ago
GPLWASANII WAASWA KUWA NA NIDHAMU YA MUDA
11 years ago
Habarileo13 Feb
Washutumiwa kwa kulea wanafunzi wasio na nidhamu
WAMILIKI wa shule na vyuo visivyo vya Serikali, wamelalamikia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, kwa kulea wanafunzi wasio na nidhamu mashuleni.
10 years ago
Mtanzania11 Jun
Wanafunzi waaswa kusoma sayansi
Na Patricia Kimelemeta, Muleba
WANAFUNZI wametakiwa kupenda kusoma masomo ya sayansi waweze kupata fursa ya ajira wanapomaliza masomo yao, jambo ambalo linaweza kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira nchini.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana alikuwa akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyakatanga wilayani Muleba wakati wa kukabidhi kompyuta zitakazotumika kwa ajili ya masomo ya sayansi.
Alisema hatua hiyo itawasaidia kuingia kwenye soko la ushindani wa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-k9DlK-dsVwk/ViSWwWDZFeI/AAAAAAAIA0Q/x1MwOSYqvVQ/s72-c/001.jpg)
WANAFUNZI WAASWA KWENDA SAMBAMBA NA TEKNOLOJIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-k9DlK-dsVwk/ViSWwWDZFeI/AAAAAAAIA0Q/x1MwOSYqvVQ/s640/001.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jOOhqeh8mpM/ViSWws3XtzI/AAAAAAAIA0U/sVB0MzdRvO8/s640/002.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-G6b7Baiu2Iw/Vnjrbz4O3BI/AAAAAAAINyQ/hH84fnIEP9s/s72-c/01.jpg)
Walimu waaswa kuwa wazalendo kuwafundisha wanafunzi nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-G6b7Baiu2Iw/Vnjrbz4O3BI/AAAAAAAINyQ/hH84fnIEP9s/s640/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LHIrtOMzwfA/Vnjrc55awAI/AAAAAAAINyo/b8I3lVdF8aI/s640/04.jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Oct
Wanafunzi waaswa kutokufaulu kidato cha nne, sio kufeli maisha
Rais wa shirikisho la wachimba madini Tanzania na mgeni rasmi wa mahafali ya sita ya shule ya sekondari kata Mandewa,John Bina,akizungumza kwenye mahafali hayo. Kulia ni mwenyekiti wa bodi ya shule ya sekondari ya Mandewa.Bahati Shagama na kushoto ni mkuu wa wa shule hiyo, Margreth Missanga.
Na Nathaniel Limu, Singida
RAIS wa shirikisho la wachimba madini Tanzania, John Bina amewataka wanafunzi ambao hawatafaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka huu,wasikate tamaa kwa madai kwamba yapo...
5 years ago
MichuziCHUO KIKUU MZUMBE WASHEREKEA SIKU YA WANAWAKE NA WANAFUNZI, WASICHANA WAASWA KUSOMA MASOMO YANAYO TUMIA RASILIMALI ZAIDI
CHUO kikuu cha Mzumbe kampasi ya Dar es Salaam wamesheherekea siku ya Mwanamke Dunia kwa Kuzungumza yapasayo mtoto wa kike na wanafunzi wa shule ya sekondari ya Hananasif jijini Dar es Salaam leo.
Wanafunzi hao wameaswa kusoma masomo ambayo hayatumii watu wengi na kusoma masomo ambayo yanatumia rasilimali ili iwe rahisi kuajiliwa na kujiajili wenyewe.
Hayo ameyasema Mhadhiri wa Chuo kikuu cha Mzumbe Kampasi ya Dar es Salaam, Dkt. Godberther Kinyondo jijini Dar es Salaam leo wakati wa...
9 years ago
Habarileo15 Dec
Serikali yapongezwa kujali wenye ulemavu
SHIRIKISHO la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA), limempongeza Rais John Magufuli kwa kutimiza ahadi yake ya kuyajali na kuyapa kipaumbele masuala ya Watanzania wenye ulemavu kwa kuhamishia masuala yao chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa utekelezaji wenye tija.