Wanavyuo Dodoma waaswa kujali nafasi waliyonayo
Mchg. Casey Kalaso (kulia) kutoka Zambia akitoa mafundisho kwa wanavyuo waliohudhuria mkesha wa kusifu na kuabudu (Campus Night) uliofanyika mwishoni mwa wiki kwenye ukumbi wa Chimwaga, mjini Dodoma. Kushoto ni Mchg. Rodgers Namwenje ambaye alikuwa mkalimani. (Picha na Irene Bwire).
MKUU wa Mkoa wa Njombe, Dk. Rehema Nchimbi amewataka wanafunzi wa vyuo vikuu na vyuo vya elimu ya juu vya mkoa wa Dodoma watumie fursa waliyonayo kuisaidia nchi ya Tanzania isonge mbele na kufikia uchumi wa juu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Wanafunzi waaswa kujali nidhamu
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Wanavyuo Zanzibar wapata ajali Dodoma
WANAMICHEZO wa Chuo Kikuu cha Zanzibar na State University Zanzibar wamenusurika kufa baada ya gari walilokuwa wamepanda kupinduka wakati wakitoka kwenye michezo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) juzi. Pamoja na...
9 years ago
VijimamboMGOMBEA WA NAFASI YA UBUNGE JIMBO LA DODOMA MJINI KUPITIA CCM ANTHON MAVUNDE AMECHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA NAFASI HIYO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--zjBHZ5lwvc/U5ihzpgqZ9I/AAAAAAAFp24/U7_VFH4VDh0/s72-c/unnamed+(83).jpg)
YALIYOJIRI BUNGENI DODOMA LEO, MBUNGE ATINGA NA BANGO KUWANIA NAFASI, AAMRIWA ASAULE
![](http://1.bp.blogspot.com/--zjBHZ5lwvc/U5ihzpgqZ9I/AAAAAAAFp24/U7_VFH4VDh0/s1600/unnamed+(83).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Cd5lJnOuOR8/U5ih0AU-JFI/AAAAAAAFp28/o8z_a5Ccolg/s1600/unnamed+(84).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VwdZMCJL_bU/U5ihz2FVENI/AAAAAAAFp3A/inxdga_Xjmo/s1600/unnamed+(85).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--nfehOqo5go/U5ih16g3FAI/AAAAAAAFp3E/PbxwSx-ZmY8/s1600/unnamed+(86).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Z4EJrNP9Ww0/VcwO1hEWoNI/AAAAAAAAj8Q/6asihzCTRyE/s72-c/11.jpg)
JK AONGOZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM MJINI DODOMA KINACHOPITIA MAJINA YA WALIOPENDEKEZWA KWENYE NAFASI ZA UBUNGE
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z4EJrNP9Ww0/VcwO1hEWoNI/AAAAAAAAj8Q/6asihzCTRyE/s640/11.jpg)
11 years ago
Michuzi13 Mar
Mh. Samia Suluhu arudisha Fomu ya kuwania nafasi ya Makamu Mwenyekiti Bunge Maalum la Katiba mjini dodoma leo
![](https://2.bp.blogspot.com/-cr9b5YVDplw/UyFYTmetYnI/AAAAAAAAOB0/h5kDMW-EVik/s1600/IMG_3920.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-xvav4-9OyZQ/UyFYT44tH7I/AAAAAAAAOCI/uKFRM3-sFkE/s1600/IMG_3953.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-e0p9GW9jq-w/UyFYVJ0umXI/AAAAAAAAOCc/OFDCsUYOmkA/s1600/eBay.url.jpg)
11 years ago
Habarileo09 Jun
Ataka wanavyuo kuiamini CCM
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewahakikishia wanavyuo kwamba changamoto zote wanazokabiliana nazo ikiwamo suala la mikopo pamoja na mazingira yasiyo rafiki kwao, vitaendelea kufanyiwa ufumbuzi na serikali.
11 years ago
Habarileo22 Apr
Wanavyuo wawasihi Ukawa kurejea bungeni
WANAFUNZI kutoka vyuo 10 vya elimu ya juu nchini, wamewasihi wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kurejea ndani ya Bunge Maalumu la Katiba kuendelea na majadiliano.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10