JK AONGOZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM MJINI DODOMA KINACHOPITIA MAJINA YA WALIOPENDEKEZWA KWENYE NAFASI ZA UBUNGE

Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete (wa pili kutoka kushoto) akifungua kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kwenye ukumbi wa NEC mjini Dodoma ambapo majina mbali mbali yaliopendekezwa kwenye nafasi za Ubunge yalipitiwa,kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar), Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein, kutoka kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Phiip Mangula, na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Vijimambo
JK AONGOZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM MJINI DODOMA

.jpg)

Wajumbe wa Halmashauri Kuu wakiwa kwenye mkutano kwenye ukumbi wa NEC mjini Dodoma



10 years ago
VijimamboRais Kikwete AONGOZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM MJINI Dodoma
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake ya ufunguzi wa Halmashauri kuu ya CCM unaofanyika katika ukumbi wa White House mjini Dodoma..
Baadhi ya wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM wakifuata kwa kamini hotuba ya Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa ufunguzi wa kikao hicho.(picha na Freddy Maro
10 years ago
Michuzi
JK Aongoza Kikao Cha Halmashauri Kuu mjini Dodoma leo


9 years ago
Michuzi
JK alipotua Dodoma kuongoza kikao cha siku moja cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kujadili majina ya walioomba kugombea Uspika


11 years ago
Michuzi
Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete aongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Dodoma


10 years ago
Michuzi
kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM kilivyoendelea mjini Dodoma leo



11 years ago
Dewji Blog17 Oct
Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM chaendelea mjini Dodoma leo
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa NEC mjini Dodoma ambapo aliwaeleza juu ya kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana Oktoba 16, 2014 katika siku ya kwanza ya kikao...
10 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA LEO, TANO BORA YA WAGOMBEA KUPATIKANA BAADA YA KIKAO HIKI

5 years ago
CCM Blog
MWENYEKITI WA CCM RAIS DK. MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CHAMA, IKULU YA CHAMWINO JIJINI DODOMA, LEO, HAMASA ZATANDA UKUMBINI
