Wanavyuo Zanzibar wapata ajali Dodoma
WANAMICHEZO wa Chuo Kikuu cha Zanzibar na State University Zanzibar wamenusurika kufa baada ya gari walilokuwa wamepanda kupinduka wakati wakitoka kwenye michezo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) juzi. Pamoja na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania21 May
Wabunge wa CUF wapata ajali Dodoma
Na Khamis Mkotya, Dodoma
WABUNGE wawili wa Chama cha Wananchi (CUF) wamepata ajali walipokuwa wakisafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma kushiriki Bunge la bajeti linaloendelea.
Wabunge hao, Mbunge wa Wete, Mbarouk Salim Ally na Mbunge wa Viti Maalumu, Riziki Omar Juma, walipata ajali hiyo ajana asubuhi katika eneo la Mikese mkoani Morogoro, baada ya gari lao kupinduka.
Mbunge wa Ole, Mohamed Rajabu Mbarouk (CUF), alithibitisha wabunge hao kupata ajali na kueleza kuwa tayari mipango ya...
10 years ago
Dewji Blog23 Nov
Wanavyuo Dodoma waaswa kujali nafasi waliyonayo
Mchg. Casey Kalaso (kulia) kutoka Zambia akitoa mafundisho kwa wanavyuo waliohudhuria mkesha wa kusifu na kuabudu (Campus Night) uliofanyika mwishoni mwa wiki kwenye ukumbi wa Chimwaga, mjini Dodoma. Kushoto ni Mchg. Rodgers Namwenje ambaye alikuwa mkalimani. (Picha na Irene Bwire).
MKUU wa Mkoa wa Njombe, Dk. Rehema Nchimbi amewataka wanafunzi wa vyuo vikuu na vyuo vya elimu ya juu vya mkoa wa Dodoma watumie fursa waliyonayo kuisaidia nchi ya Tanzania isonge mbele na kufikia uchumi wa juu...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Msafara wa RC Geita wapata ajali
KATIBU Tawala wa Mkoa wa Geita, Seveline Kahitwa, amejeruhiwa vibaya na kulazimika kukimbizwa katika Hospitali Teule ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza, katika ajali iliyotokea juzi Kijiji cha Bugulula. Katika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
YANGA WAPATA AJALI MIKESE, MORO
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BCQrR-zNUiM/ViP62ij_H_I/AAAAAAAIAxo/7vl328i9oTw/s72-c/unnamed%2B%252868%2529.jpg)
Msafara wa Spika wapata ajali Njombe
![](http://4.bp.blogspot.com/-BCQrR-zNUiM/ViP62ij_H_I/AAAAAAAIAxo/7vl328i9oTw/s640/unnamed%2B%252868%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08csMAtQ7T*pA58r-UGJ1jGOl2yLVk-QVVR7WQ9zIaI5hKiAEY5Y1DXDDfnPDXaIA4wDLusAYPTQNDZDO7E2aAeMV/breakingnews.gif)
MSAFARA WA MAALIM SEIF WAPATA AJALI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vshXEK8U-ijr9JRW*DZGJyEvy*wMj6T*XO9nvKnrR1Hi76QqFNhap8z*r2i-JBGB5D0TvFx*G8J6EbF3G6prX*vsqxE3scj2/MONA.jpg)
MONALISA, BANANA WAPATA AJALI KAZINI
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Mwenge wapata ajali, polisi watatu wajeruhiwa
10 years ago
Mwananchi07 Jun
Msafara wa Makongoro Nyerere wapata ajali Kigoma