MONALISA, BANANA WAPATA AJALI KAZINI

HAMIDA HASSAN/Mchanganyiko MASTAA wa filamu ya Daddy’s Wedding, Yvone Sheryl ‘Monalisa’, Banana Zoro, Sandra, Mama Abdul na wenzao hivi karibuni walipata ajali walipokuwa kwenye maandalizi ya filamu hiyo kwenye mbuga ya Saadani. Staa wa filamu ya Daddy’s Wedding, Yvone Sheryl ‘Monalisa’. Ajali hiyo ilitokea katika daraja moja dogo mbugani hapo ambapo walikusanyika kwa ajili ya kushuti...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
VijimamboAJALI MBAYA ILIYOTOKEA HUKO UKONGA BANANA
10 years ago
Michuzi13 Nov
ajali kazini
.jpg)
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Kuondolewa Nchimbi , wenzake ni ajali kazini au...
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Watu milioni 337 hupata ajali kazini
UTAFITI wa Shirika la Kazi Duniani unasema jumla ya watu milioni 337 duniani hupata ajali kila mwaka katika maeneo ya kazi na kati ya hao, milioni 2.3 hufariki dunia. Makamu...
10 years ago
Vijimambo
AJALI KAZINI KOCHA ABABULIWA NA MPIRA NA KUANGUKA KAMA HAJAVAA SUTI

11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Msafara wa RC Geita wapata ajali
KATIBU Tawala wa Mkoa wa Geita, Seveline Kahitwa, amejeruhiwa vibaya na kulazimika kukimbizwa katika Hospitali Teule ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza, katika ajali iliyotokea juzi Kijiji cha Bugulula. Katika...
11 years ago
GPL
MSAFARA WA MAALIM SEIF WAPATA AJALI
10 years ago
Mtanzania21 May
Wabunge wa CUF wapata ajali Dodoma
Na Khamis Mkotya, Dodoma
WABUNGE wawili wa Chama cha Wananchi (CUF) wamepata ajali walipokuwa wakisafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma kushiriki Bunge la bajeti linaloendelea.
Wabunge hao, Mbunge wa Wete, Mbarouk Salim Ally na Mbunge wa Viti Maalumu, Riziki Omar Juma, walipata ajali hiyo ajana asubuhi katika eneo la Mikese mkoani Morogoro, baada ya gari lao kupinduka.
Mbunge wa Ole, Mohamed Rajabu Mbarouk (CUF), alithibitisha wabunge hao kupata ajali na kueleza kuwa tayari mipango ya...
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Wanavyuo Zanzibar wapata ajali Dodoma
WANAMICHEZO wa Chuo Kikuu cha Zanzibar na State University Zanzibar wamenusurika kufa baada ya gari walilokuwa wamepanda kupinduka wakati wakitoka kwenye michezo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) juzi. Pamoja na...