Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MONALISA, BANANA WAPATA AJALI KAZINI

HAMIDA HASSAN/Mchanganyiko MASTAA wa filamu ya Daddy’s Wedding, Yvone Sheryl ‘Monalisa’, Banana Zoro, Sandra, Mama Abdul na wenzao hivi karibuni walipata ajali walipokuwa kwenye maandalizi ya filamu hiyo kwenye mbuga ya Saadani. Staa wa filamu ya Daddy’s Wedding, Yvone Sheryl ‘Monalisa’. Ajali hiyo ilitokea katika daraja moja dogo mbugani hapo ambapo walikusanyika kwa ajili ya kushuti...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Vijimambo

AJALI MBAYA ILIYOTOKEA HUKO UKONGA BANANA

Inasemekana kuwa roli hili lenye contina limeangukia hiace yenye abiria huko maeneo ya banana ukongo na kusababisha vifo vya abiria waliokuwa ndani ya hiace hiyo. Habari hii tumeipata kupitia shuuda wetu aliekuwepo eneo la tukio kwa habari zaidi zitawajia kupitia hapa hapa vijimambo.

 

10 years ago

Michuzi

ajali kazini

Ankal akiwa katapakaa vumbi mwili mzima baada ya kula mwereka na kamera yake katika harakati za kazi kwenye soko la nafaka la Kibaigwa mkoani Dodoma hivi karibuni. Ankal anakwambia kwamba katika maisha lazima mtu ujiandae kwa lolote, mahali popote na wakati wowote... 

 

11 years ago

Mwananchi

Kuondolewa Nchimbi , wenzake ni ajali kazini au...

Huenda safari ya kisiasa kama za waziri kwa Dk Emmanuel Nchimbi na wenzake watatu kuwa imekamilika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watu milioni 337 hupata ajali kazini

UTAFITI wa Shirika la Kazi Duniani unasema jumla ya watu  milioni 337 duniani hupata ajali kila mwaka katika maeneo ya kazi na kati ya hao, milioni 2.3 hufariki dunia. Makamu...

 

10 years ago

Vijimambo

AJALI KAZINI KOCHA ABABULIWA NA MPIRA NA KUANGUKA KAMA HAJAVAA SUTI

Kocha alikula bonge la mweleka baada ya kupigwa na mpira wa nguvu wakati beki wake akiondosha hatari.Ilikuwa ni mechi ya Serie A kati ya timu yake ya Inter Milan dhidi ya Genoa.Kikosi cha Mancini kilimaliza dakika 90 na ushindi wa mabao 3-1.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msafara wa RC Geita wapata ajali

KATIBU Tawala wa Mkoa wa Geita, Seveline Kahitwa, amejeruhiwa vibaya na kulazimika kukimbizwa katika Hospitali Teule ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza, katika ajali iliyotokea juzi Kijiji cha Bugulula. Katika...

 

11 years ago

GPL

MSAFARA WA MAALIM SEIF WAPATA AJALI

Rais wa Zanzibar na Katibu Mkuu wa CUF, Seif Sharif Hamadi. Habari zinasema msafara wa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar na Katibu Mkuu wa CUF, Seif Sharif Hamadi umepata ajali ukihusisha magari mawili ya msafara wa kiongozi huyo ambayo jumla yake yalikuwa saba yalipogongana na lori lenye tela.  Akizungumza na mtandao huu, Mkurughenzi wa Habari wa CUf, Adam Kambaya alisema  iongozi wawili wa CUF, katibu wa wilaya ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Wabunge wa CUF wapata ajali Dodoma

Na Khamis Mkotya, Dodoma

WABUNGE wawili wa Chama cha Wananchi (CUF) wamepata ajali walipokuwa wakisafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma kushiriki Bunge la bajeti linaloendelea.

Wabunge hao, Mbunge wa Wete, Mbarouk Salim Ally na Mbunge wa Viti Maalumu, Riziki Omar Juma, walipata ajali hiyo ajana asubuhi katika eneo la Mikese mkoani Morogoro, baada ya gari lao kupinduka.

Mbunge wa Ole, Mohamed Rajabu Mbarouk (CUF), alithibitisha wabunge hao kupata ajali na kueleza kuwa tayari mipango ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanavyuo Zanzibar wapata ajali Dodoma

WANAMICHEZO wa Chuo Kikuu cha Zanzibar na State University Zanzibar wamenusurika kufa baada ya gari walilokuwa wamepanda kupinduka wakati wakitoka kwenye michezo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) juzi. Pamoja na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani