Wabunge wa CUF wapata ajali Dodoma
Na Khamis Mkotya, Dodoma
WABUNGE wawili wa Chama cha Wananchi (CUF) wamepata ajali walipokuwa wakisafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma kushiriki Bunge la bajeti linaloendelea.
Wabunge hao, Mbunge wa Wete, Mbarouk Salim Ally na Mbunge wa Viti Maalumu, Riziki Omar Juma, walipata ajali hiyo ajana asubuhi katika eneo la Mikese mkoani Morogoro, baada ya gari lao kupinduka.
Mbunge wa Ole, Mohamed Rajabu Mbarouk (CUF), alithibitisha wabunge hao kupata ajali na kueleza kuwa tayari mipango ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Wanavyuo Zanzibar wapata ajali Dodoma
WANAMICHEZO wa Chuo Kikuu cha Zanzibar na State University Zanzibar wamenusurika kufa baada ya gari walilokuwa wamepanda kupinduka wakati wakitoka kwenye michezo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) juzi. Pamoja na...
10 years ago
GPLWAFUASI WA CUF WAPATA DHAMANA
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Wafuasi 30 wa CUF wapata dhamana Kisutu
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Msafara wa RC Geita wapata ajali
KATIBU Tawala wa Mkoa wa Geita, Seveline Kahitwa, amejeruhiwa vibaya na kulazimika kukimbizwa katika Hospitali Teule ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza, katika ajali iliyotokea juzi Kijiji cha Bugulula. Katika...
9 years ago
MichuziMsafara wa Spika wapata ajali Njombe
11 years ago
GPLYANGA WAPATA AJALI MIKESE, MORO
10 years ago
GPLMSAFARA WA MAALIM SEIF WAPATA AJALI
10 years ago
GPLMONALISA, BANANA WAPATA AJALI KAZINI
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Mwenge wapata ajali, polisi watatu wajeruhiwa