Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AJALI KAZINI KOCHA ABABULIWA NA MPIRA NA KUANGUKA KAMA HAJAVAA SUTI

Kocha alikula bonge la mweleka baada ya kupigwa na mpira wa nguvu wakati beki wake akiondosha hatari.Ilikuwa ni mechi ya Serie A kati ya timu yake ya Inter Milan dhidi ya Genoa.Kikosi cha Mancini kilimaliza dakika 90 na ushindi wa mabao 3-1.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SIDHANI KAMA SHIDA NI SUTI AU WEWE UNASEMAJE?

The suit wasn't the problem, it was the lack of attention to detail, he may do the same thing which  is the no one does.

 

10 years ago

Michuzi

ajali kazini

Ankal akiwa katapakaa vumbi mwili mzima baada ya kula mwereka na kamera yake katika harakati za kazi kwenye soko la nafaka la Kibaigwa mkoani Dodoma hivi karibuni. Ankal anakwambia kwamba katika maisha lazima mtu ujiandae kwa lolote, mahali popote na wakati wowote... 

 

11 years ago

Mwananchi

Kuondolewa Nchimbi , wenzake ni ajali kazini au...

Huenda safari ya kisiasa kama za waziri kwa Dk Emmanuel Nchimbi na wenzake watatu kuwa imekamilika.

 

10 years ago

GPL

MONALISA, BANANA WAPATA AJALI KAZINI

HAMIDA HASSAN/Mchanganyiko MASTAA wa filamu ya Daddy’s Wedding, Yvone Sheryl ‘Monalisa’, Banana Zoro, Sandra, Mama Abdul na wenzao hivi karibuni walipata ajali walipokuwa kwenye maandalizi ya filamu hiyo kwenye mbuga ya Saadani. Staa wa filamu ya Daddy’s Wedding, Yvone Sheryl ‘Monalisa’. Ajali hiyo ilitokea katika daraja moja dogo mbugani hapo ambapo walikusanyika kwa ajili ya kushuti...

 

9 years ago

MillardAyo

Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote

Wanasema usafiri wa ndege ni usafiri salama zaidi duniani…. kwenye hii jamaa wamewaza ni jinsi gani abiria wanaweza kutolewa kwenye ndege bila shida… kwenye hii video hapa chini utaweza kujionea mwenyewe… ili kuitazama video subiria sekunde kadhaa itatokea. A inovação na tecnologia e indústria aeronáutica continua a surpreender. Este modelo apresenta uma estrutura completa maciça […]

The post Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote appeared...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watu milioni 337 hupata ajali kazini

UTAFITI wa Shirika la Kazi Duniani unasema jumla ya watu  milioni 337 duniani hupata ajali kila mwaka katika maeneo ya kazi na kati ya hao, milioni 2.3 hufariki dunia. Makamu...

 

10 years ago

GPL

KHA! UNAMZALISHA KAMA UNATAKA KUTENGENEZA TIMU YA MPIRA?

Haya tena mamie mwari ndo naingia tena,  najua umenisubiri sana baada ya wiki jana kukupeni mambo ya kuandaa mahanjumati. Nataka kukwambia mwari wangu hakuna kitu muhimu ndani ya nyumba kama kuandaa chakula cha mumeo kwa utulivu ili aamini cha nyumbani kitamu, siyo kumlipulia na kuona chakula kwa mama lishe ndicho kitamu. Jamani mwari wangu tuone aibu unapoamua kumpikia mumeo, tuliza akili yote kwenye chungu kuhakikisha nyanya...

 

10 years ago

Mwananchi

HONDOHONDO: Kama ni mpira, CCM ni wachezaji wanaokasirisha mashabiki nchini

>Kuna wachezaji wengi wa mpira wa miguu wanaoudhi, lakini wanashangiliwa kwa sababu ya majina yao. Baada ya kupiga chenga mabeki wote, pengine hata makipa, hupiga mashuti nje ya goli na kuwaacha watazamaji wakishangaa “aaaaaaaaah”.

 

10 years ago

Michuzi

Kocha wa Zanzibar Cosmos Seif Mbuzi Aongeza Juhudi ya kunyanyua Kiwango cha Mpira wa Miguu Zenj

Kocha wa timu ya Zanzibar Cosmos Seif Mbuzi akiwa katika Mazoezi ya kawaida kwenye viwanja vya mpira wa Miguu Mnazi Mmoja Mjini Zanzibar siku ya Jumanne Aug 26,2014. Kocha wa timu ya Zanzibar Cosmos Seif  Mbuzi akiwafundisha na vijana wake jinsi ya kufunga magoli ya mbali katika Mazoezi kwenye viwanja vya mpira wa Miguu Mnazi Mmoja Mjini Zanzibar siku ya Jumanne Aug 26,2014.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani