Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KHA! UNAMZALISHA KAMA UNATAKA KUTENGENEZA TIMU YA MPIRA?

Haya tena mamie mwari ndo naingia tena,  najua umenisubiri sana baada ya wiki jana kukupeni mambo ya kuandaa mahanjumati. Nataka kukwambia mwari wangu hakuna kitu muhimu ndani ya nyumba kama kuandaa chakula cha mumeo kwa utulivu ili aamini cha nyumbani kitamu, siyo kumlipulia na kuona chakula kwa mama lishe ndicho kitamu. Jamani mwari wangu tuone aibu unapoamua kumpikia mumeo, tuliza akili yote kwenye chungu kuhakikisha nyanya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Timu ya mpira wa pete kujifua Zanzibar

Timu ya mpira wa pete ya Tanzania itaweka kambi Zanzibar ili kujiandaa na michuano ya Afrika nchini Namibia tarehe 28 mwezi ujao.

 

10 years ago

Dewji Blog

Timu ya mpira wa pete Ikulu yawapa kichapo Ukaguzi

01

Wachezaji wa timu ya mpira wa pete ya Ikulu wakiwa wamejipanga tayari kuanza mechi yao dhidi ya timu ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali uliochezwa leo uwanja wa Jamhuri Morogoro.

Na Eleuteri Mangi –MAELEZO

Timu ya mpira wa pete ya Ikulu imeendeleza kichapo kwa timu pinzani inyokutana nazo katika mashindano ya SHIMIWI yanayoendelea mjini Morogoro.

Ikiwa imekamilika katika idara zote, timu ya Ikulu imetakata vilivyo kwa kuwafunga Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali...

 

10 years ago

Dewji Blog

Timu ya Ikulu mpira wa miguu yatinga hatua ya pili SHIMIWI

01

Wachezaji wa timu ya Ikulu wakiwa pamoja kuomba dua kabla ya kuanza mchezo wao dhidi ya timu ya RAS Simiyu katika mashindano ya SHIMIWI leo uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.

Na Eleuteri Mangi-MAELEZO

Timu ya mpira wa miguu ya Ikulu imedhihirisha ubora wake katika mashindano ya  Shirikisho la Michezo ya watumishi inayoshirikisha Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) kwa kumaliza mechi nne katika kundi B bila kuruhusu nyavu zake kutikiswa.

Ubora huo unaifanya timu ya Ikulu kuwa ni timu...

 

10 years ago

Mwananchi

Ushabiki wetu wa timu za mpira za kizungu unatupa mtihani gani ?

>Kwa nini hatujawahi kusikia mshabiki wa mpira Spain, Argentina  au Ujerumani akishangilia timu zetu? Vipi hatusikii Mzungu akijiua baada ya Simba kuifunga Yanga au Azam kuitoa  Simba ulingoni?

 

11 years ago

Bongo5

Teknolojia: LG kutengeneza TV nyembamba kama karatasi zenye uwezo wa kuviringishwa

Kampuni ya LG Electronics ya Korea kusini imetangaza kuwa iko mbioni kutengeneza TV zenye wembamba kama wa karatasi, na ambazo zinaweza kukunjwa au kuviringishwa bila kuharibika. Kampuni hiyo imesema kwa sasa inatengeneza toleo lenye ukubwa wa inchi 18 na kuongeza kuwa toleo la inchi 60 litaingia sokoni ifikapo 2017. “We are confident that by 2017, […]

 

11 years ago

GPL

VIDEO: JINSI YA KUTENGENEZA JUISI YA MAJANI YA PAPAI KAMA DAWA YA DENGUE!

In this video I am showing how to prepare papaya leaf juice using a stone slab/roller which helps in increasing platelet for dengue patient. This video is in continuation with my earlier video at http://www.youtube.com/watch?v=7yZgSZ.... As all of us know that there is no medicines for dengue & no specific treatment. Treatment are given only after observing the patient. In most of the dengue patient it is seen that the platelet...

 

10 years ago

Michuzi

TTB na Timu ya mpira wa miguu ya Sunderland (SAFC) zatangaza utalii wa Tanzania Uingereza

Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imeshirikiana na Timu ya mpira wa miguu ya Sunderland (SAFC) ya nchini Uingereza katika uzinduzi wa utangazaji utalii wa Tanzania pamoja na kuhamasisha uwekezaji kwenye sekta ya michezo (Destination Partner in Tourism and Sports Development). Uzinduzi huo ulifanyika tarehe 29 Novemba, 2014 kwenye kiwanja kinachomilikiwa na timu ya Sunderland “Stadium of Light”
Kwenye tukio hilo ambalo lilihudhuriwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mheshimiwa Balozi Peter...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI KAMALA AKABIDHI TIMU ZA VIJANA WA TANZANIA UBELGIJI JEZI ZA MPIRA WA MIGUU

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (aliyevaa miwani) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa timu za mpira wa miguu za vijana wa Tanzania Ubelgiji baada ya kuwakabidhi jezi za mpira wa miguu. Balozi Kamala amewashukuru vijana hao kutangaza Tanzania vizuri na kudumisha umoja na ushirikiano miongoni mwao.

 

9 years ago

Michuzi

GEPF YAIPIGA JEKI TIMU YA MPIRA WA MIGUU YA STAKISHARI JIJINI DAR ES SALAAM

 Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa Mfuko wa Mafao ya Kustaafu  (GEPF) Aloyce Ntukamazina akikabidhi msaada wa vifaa vya michezo kwa  Mwenyekiti wa timu ya Stakishari Nick Myava, jijijni Dar es Salaam Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa Mfuko wa Mafao ya Kustaafu  (GEPF) Aloyce Ntukamazina akimkabidhi Mipira  Captin wa timu ya Stakishari Ally Myambo leo jijijni Dar es Salaam Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa Mfuko wa Mafao ya Kustaafu  (GEPF) Aloyce Ntukamazina akimkabidhi  fedha kwa ajili ya kusaidia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani