Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIDEO: JINSI YA KUTENGENEZA JUISI YA MAJANI YA PAPAI KAMA DAWA YA DENGUE!

In this video I am showing how to prepare papaya leaf juice using a stone slab/roller which helps in increasing platelet for dengue patient. This video is in continuation with my earlier video at http://www.youtube.com/watch?v=7yZgSZ.... As all of us know that there is no medicines for dengue & no specific treatment. Treatment are given only after observing the patient. In most of the dengue patient it is seen that the platelet...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JUISI YA MAJANI YA PAPAI: KIBOKO YA DENGUE

Ugonjwa wa Homa ya Dengue (dengi) umeibuka nchini katika siku za hivi karibuni na kuwa tishio. Ripoti za awali kuhusu Dengi kwa mwaka huu, ziliibuka kwa kishindo baada ya kuwakumba hadi wasanii maarufu. Ni ugonjwa ambao umekuwepo kwa miaka mingi na huwa unajirudia mara kwa mara, lakini kwa mwaka huu umekuja kwa kishindo zaidi. Ugonjwa huu husumbua sana katika nchi za Asia zenye watu wengi, hasa nchini Malyasia ambako imeelezwa...

 

10 years ago

Bongo5

Nisher ataja pesa aliyolipwa kama director kwenye video ya kwanza kutengeneza

Kila kitu kikubwa huanzia kwenye hatua ya chini, kama ni msanii basi lazima utakuta wakati anaanza alifanya show nyingi za bure, kama ni producer wa muziki basi utakuta ametenegezea wasanii wengi mastaa nyimbo bure ili ajitangaze. Safari ya director wa video Nisher kutoka Arusha pia ilianzia katika hatua za kufanya video bure hadi sasa amefikia […]

 

9 years ago

Global Publishers

Jinsi ya kutengeneza kachori

0000150_kachoriMambo vipi mpenzi msomaji wa safu hii ya Mahanjumati, kama kawaida tunaandika kutokana na maombi yenu ambapo tunajifunza kutengeneza kachori, karibu tuwe pamoja.

MAHITAJI

Viazi

Kitunguu swaumu

Chumvi                                                                 

Pilipili ya kusaga                                                 

Ndimu                                                                 

Mafuta ya kupikia

Unga wa dengu au ngano

KUTAYARISHA NA KUPIKA

Chemsha viazi mpaka viive...

 

10 years ago

Vijimambo

MIRIAM KINUNDA NA UPISHI WAKE WA JINSI YA KUTENGENEZA TUI LA NAZI


Modern Swahili Recipes For The West, cookbook is now Available at Amazon World-wide. Check Amazon in your country. Also in USA you can get at Walmart and Barnes and Noble Online or ask your nearest store. Now on sale at Amazon USA http://www.amazon.com/dp/0988735903/ Thank you Miriam Kinunda Author of Taste of Tanzania Cookbook

 

10 years ago

Michuzi

FAHAMU JINSI KITAMBI KINAVYO PATIKANA NA JINSI DAWA ASILIA YA MKATAA KITAMBI INAVYO ONDOA KITAMBI

Kitambi  ni  ile  hali  ya  tumbo  kuwa kubwa  na  kuchomoza  kwa  mbele  na  wakati mwingine  kufikia  hatua  ya  kunin’ginia. JINSI  KITAMBI  KINAVYO  PATIKANAKwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, mwili wa binadamu una seli kati  ya bilioni 50  hadi 200 za mafuta zilizogawanyika katika  sehemu  mbalimbali  za  mwili wa binadamu. Kwa wanawake  seli hizo  zipo sana katika maeneo ya matiti, kwenye  nyonga, kiunoni na kwenye makalio.
Kwa upande  wa  wanaume seli  hizo...

 

11 years ago

Habarileo

Mabasi yalipa 65,000/- kupuliza dawa ya dengue

MABASI yaendayo mikoani yanalipa Sh 65,000 kwa ajili ya kupuliza dawa ndani ya magari hayo ikiwa ni hatua ya kupambana na ugonjwa wa dengue nchini.

 

11 years ago

Habarileo

NIMR kutengeneza dawa kwa teknolojia ya chembehai

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Dk. Mwele Malecela akichangia mada wakati wa Kongamano la Wanasayansi Watafiti Dar es Salaam jana. Watafiti mbalimbali walikuwa wakiwasilisha ripoti za utafiti wao na kujadiliwa kwa pamoja. (Picha na Mroki Mroki).TAASISI ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), imesema inatarajia kuanza kutengeneza dawa za binadamu zitokanazo na mimea kwa kutumia teknolojia ya kisasa ya kutumia chembe hai ya mimea bila kukata mti husika.

 

11 years ago

Mwananchi

TIBA: Kondo la nyuma linapoliwa, kutengeneza dawa, vipodozi

>Ni kama sahani ya kwanza ya mlo kwa mtu yeyote kabla hajazaliwa. Ni eneo la kwanza lenye manufaa  kwa viumbe wengi wakiwa bado hawajauona ulimwengu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani