Ushabiki wetu wa timu za mpira za kizungu unatupa mtihani gani ?
>Kwa nini hatujawahi kusikia mshabiki wa mpira Spain, Argentina au Ujerumani akishangilia timu zetu? Vipi hatusikii Mzungu akijiua baada ya Simba kuifunga Yanga au Azam kuitoa Simba ulingoni?
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-6qThBqLSmxY/VLCqm62OwxI/AAAAAAADVIg/ZruchJxBxh4/s72-c/10906308_10152680537202659_5784232182740264257_n.jpg)
TUWAPENDE WATOTO WETU BILA KUJALI WAMEZALIWA NA KASORO GANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-6qThBqLSmxY/VLCqm62OwxI/AAAAAAADVIg/ZruchJxBxh4/s1600/10906308_10152680537202659_5784232182740264257_n.jpg)
10 years ago
Mwananchi21 Apr
Njaa shuleni, tunapeleka ujumbe gani kwa watoto wetu?
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Mtihani wa timu ngeni Ligi Kuu na nyayo za Mbeya City 2013/14
TIMU ngeni katika Ligi Kuu ya msimu ujao ambao utaanza Septemba 20, ni Ndanda FC ya Mtwara, Polisi ya Morogoro na Stand United ya Shinyanga zikiziba nafasi ya zilizoshuka ambazo...
10 years ago
BBCSwahili07 May
Timu ya mpira wa pete kujifua Zanzibar
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Timu ya mpira wa pete Ikulu yawapa kichapo Ukaguzi
Wachezaji wa timu ya mpira wa pete ya Ikulu wakiwa wamejipanga tayari kuanza mechi yao dhidi ya timu ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali uliochezwa leo uwanja wa Jamhuri Morogoro.
Na Eleuteri Mangi –MAELEZO
Timu ya mpira wa pete ya Ikulu imeendeleza kichapo kwa timu pinzani inyokutana nazo katika mashindano ya SHIMIWI yanayoendelea mjini Morogoro.
Ikiwa imekamilika katika idara zote, timu ya Ikulu imetakata vilivyo kwa kuwafunga Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtEwrb-mAQBNx60NwYRMOfXcHNp76IpFBaNjStx4*ckVjcq13zi2SjC6fum9-gt*qZr2iPc5OCQiieTRqZiXfZVyB/article23067411936CB27000005DC94_634x504.jpg?width=650)
KHA! UNAMZALISHA KAMA UNATAKA KUTENGENEZA TIMU YA MPIRA?
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Timu ya Ikulu mpira wa miguu yatinga hatua ya pili SHIMIWI
Wachezaji wa timu ya Ikulu wakiwa pamoja kuomba dua kabla ya kuanza mchezo wao dhidi ya timu ya RAS Simiyu katika mashindano ya SHIMIWI leo uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Timu ya mpira wa miguu ya Ikulu imedhihirisha ubora wake katika mashindano ya Shirikisho la Michezo ya watumishi inayoshirikisha Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) kwa kumaliza mechi nne katika kundi B bila kuruhusu nyavu zake kutikiswa.
Ubora huo unaifanya timu ya Ikulu kuwa ni timu...
11 years ago
Dewji Blog14 Jul
David Beckham aonyesha wazi ushabiki wake kwa Argentina baada ya kuwavisha watoto wake jezi za timu hiyo
Family outing: David Beckham and his three sons Brooklyn, Cruz and Romeo were all in attendance – with the boys all wearing Argentina kits.
Family ties: Beckham’s youngest son Cruz was also showing his support for Argentina in the team’s dark blue away kit.
Switched allegiances: David Beckham was in the crowd for the final with his young sons, including Romeo, 11, who was wearing an Argentina shirt.
Stars of the game: Former Brazilian internationals Kaka and Pele with Beckham before the...