Timu ya mpira wa pete kujifua Zanzibar
Timu ya mpira wa pete ya Tanzania itaweka kambi Zanzibar ili kujiandaa na michuano ya Afrika nchini Namibia tarehe 28 mwezi ujao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Timu ya mpira wa pete Ikulu yawapa kichapo Ukaguzi
Wachezaji wa timu ya mpira wa pete ya Ikulu wakiwa wamejipanga tayari kuanza mechi yao dhidi ya timu ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali uliochezwa leo uwanja wa Jamhuri Morogoro.
Na Eleuteri Mangi –MAELEZO
Timu ya mpira wa pete ya Ikulu imeendeleza kichapo kwa timu pinzani inyokutana nazo katika mashindano ya SHIMIWI yanayoendelea mjini Morogoro.
Ikiwa imekamilika katika idara zote, timu ya Ikulu imetakata vilivyo kwa kuwafunga Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali...
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Michuano ya mpira wa pete ni Namibia.
10 years ago
StarTV15 Apr
Michuano ya mpira wa pete kufanyika Namibia.
Michuano ya Afrika ya mpira wa pete (netball) inategemewa kufanyika nchini Namibia na Tanzania imesema inajipanga kwa ajili ya kushiriki.
Kwa mujibu wa viongozi wa chama cha netball nchini Tanzania (Chaneta), timu ya taifa itachaguliwa muda wowote kwa ajili ya kuanza maandalizi. Michuano hiyo itafanyika mwezi June.
Ushiriki wa Tanzania na timu nyingine utasaidia kupanda viwango vya dunia.
Katika viwango vilivyotolewa na shirikisho la dunia (IFNA) mwezi April mwaka huu, Tanzania ipo nafasi ya...
10 years ago
BBCSwahili07 Aug
Michuano ya dunia Mpira wa pete kuanza
11 years ago
MichuziUTUMISHI YANYAKUA KOMBE KUPITIA MPIRA WA PETE MASHINDANO YA MEI MOSI 2014
Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma imetawazwa rasmi kuwa bingwa wa mpira wa Pete wa Mashindano ya Mei Mosi 2014.
Utumishi imefanikiwa kuwa bingwa baada ya kuisambaratisha timu ya Wizara ya Uchukuzi kwa ushindi wa magoli 33 dhidi ya 21. Mchezo huo wa fainali ulifanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro. Katika mchezo huo mchezaji Fatuma Machenga (GS) wa Ofisi ya Rais Utumishi ndiye aliyekua tishio kwa kuongoza wachezaji wa timu yake kufanikisha ushindi...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-LLaakZ_okyw/VVXYjs6Te0I/AAAAAAABZZg/BeRSsFY--kw/s72-c/3.jpg)
TIMU YA TANZANIA "TAIFA STARS" YAENDELEA KUJIFUA
![](http://4.bp.blogspot.com/-LLaakZ_okyw/VVXYjs6Te0I/AAAAAAABZZg/BeRSsFY--kw/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2osnNF70-B0/VVXYlpCK9rI/AAAAAAABZZs/j7ofU4yPoa4/s640/8.jpg)
Kocha mkuu wa timu ya Taifa Stars Mart Nooij amesema vijana wake wanaendelea vizuri na mazoezi, ikiwa leo ni siku ya pili kufanya mazoezi baada ya ...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JWe3dXBN65E/VhLd6bFjPHI/AAAAAAADAVk/PV432man6d0/s72-c/121.jpg)
IDARA YA UHAMIAJI YAWA BINGWA MICHUANO YA MPIRA WA PETE KLABU BINGWA TANZANIA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtEwrb-mAQBNx60NwYRMOfXcHNp76IpFBaNjStx4*ckVjcq13zi2SjC6fum9-gt*qZr2iPc5OCQiieTRqZiXfZVyB/article23067411936CB27000005DC94_634x504.jpg?width=650)
KHA! UNAMZALISHA KAMA UNATAKA KUTENGENEZA TIMU YA MPIRA?
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fOPdXHGg36o/Vd2v7g9NK6I/AAAAAAAH0K4/e3s6pin_3Hc/s72-c/1.jpg)
TIMU YA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI MKOA WA DAR, YAENDELEA KUJIFUA UWANJA WA KARUME KUJIANDAA KUWASAMBARATISHA WENZAO WA ARUSHA MWEZI UJAO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-fOPdXHGg36o/Vd2v7g9NK6I/AAAAAAAH0K4/e3s6pin_3Hc/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z36_hzm3vZs/Vd2v-5x7SzI/AAAAAAAH0Lw/cnDEx-rvP4k/s640/3.jpg)