Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ataka wanavyuo kuiamini CCM

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewahakikishia wanavyuo kwamba changamoto zote wanazokabiliana nazo ikiwamo suala la mikopo pamoja na mazingira yasiyo rafiki kwao, vitaendelea kufanyiwa ufumbuzi na serikali.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Katibu wa CCM mkoani Iringa awaonya wanavyuo kujiusisha na maswala ya siasa

IMG_20141209_163002

Katibu wa Chama cha Mapinduzi mkoani Iringa, HASSANI MTENGA akiwahutubia wananchi wa mataa wa Zemtema mjini Iringa.

Na Fredy Mgunda, Iringa

Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM mkoani Iringa HASSANI MTENGA, amefungua rasmi kampeni za uchaguzi wa Serikali za mitaa katika mtaa wa semtema  mkoani Iringa.

Akiwahutubia mamia ya wananchi wa mtaa wa Semtema MTENGA aliwataka wananchi wa eneo hilo kuwa makini wakati wa kuchagua kiongozi katika uchaguzi utakaofanyika tarehe 14/12/2014.

MTENGA alisema...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU WA CCM MKOANI IRINGA AWAONYA WANAVYUO KUJIHUSISHA NA MASWALA YA SIASA

katibu wa chama cha mapinduzi mkoani Iringa, HASSANI MTENGA akiwahutubia wananchi wa mataa wa semtema mjini iringa  wananchi wa mtaa wa semtema wakimsikiliza katibu wa  ccm mkoa HASSAN MTENGA hapa wakiwa makini wakisikiliza maneno matamu wakati wa mkutano huo
Na Fredy Mgunda, Iringa. Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM mkoani Iringa HASSANI MTENGA, amefungua rasmi kampeni za uchaguzi wa Serikali za mitaa katika mtaa wa semtema  mkoani Iringa.

Akiwahutubia mamia ya wananchi wa mtaa wa semtema...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watakiwa kuiamini bioteknolojia

WATANZANIA wametakiwa kuiamini na kuikubali Bioteknolojia mpya ambayo itatumika katika kilimo hapa nchini na kuinua uchumi wa nchi. Kauli hiyo imetolewa jana na Mtafiti wa Bioteknolojia nchini kutoka Kituo cha...

 

5 years ago

BBCSwahili

11 years ago

Habarileo

Wanavyuo wawasihi Ukawa kurejea bungeni

Freeman MboweWANAFUNZI kutoka vyuo 10 vya elimu ya juu nchini, wamewasihi wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kurejea ndani ya Bunge Maalumu la Katiba kuendelea na majadiliano.

 

10 years ago

Tanzania Daima

SBL kufadhili wanavyuo kwa 100%

KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL), kupitia mradi wa EABL Foundation, mwaka huu tena imetoa ufadhili wa masomo ya chuo kikuu kwa kugharamia kwa asilimia 100 ikiwemo karo, malazi na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanavyuo Zanzibar wapata ajali Dodoma

WANAMICHEZO wa Chuo Kikuu cha Zanzibar na State University Zanzibar wamenusurika kufa baada ya gari walilokuwa wamepanda kupinduka wakati wakitoka kwenye michezo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) juzi. Pamoja na...

 

11 years ago

Habarileo

Kigoda ataka CCM kumaliza makundi

 Dk Abdallah KigodaMJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taifa, Dk Abdallah Kigoda, amewataka wanachama wa chama hicho kumaliza makundi na tofauti zao, kabla ya uchaguzi mkuu ujao ili chama kiweze kuendelea kushika dola daima, na wala kisije kuwa chama cha upinzani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani