SBL kufadhili wanavyuo kwa 100%
KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL), kupitia mradi wa EABL Foundation, mwaka huu tena imetoa ufadhili wa masomo ya chuo kikuu kwa kugharamia kwa asilimia 100 ikiwemo karo, malazi na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TslQhVTUIaw/VDafNfPpDmI/AAAAAAAGo1o/hEpKKFSEh0s/s72-c/unnamed.jpg)
Vodacom yaadhimisha wiki ya huduma kwa wateja kwa kufadhili mradi wa ufugaji kuku
Mbali na kufadhili...
9 years ago
BBCSwahili04 Sep
IOC kufadhili michezo kwa wakimbizi
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Mwanamke jela kwa kufadhili Isis
5 years ago
Michuzi12 Mar
MAJALIWA: WANAVYUO CHINA WAENDELEA NA MASOMO KWA NJIA YA MTANDAO
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_5241-732x1024.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisalimiana Waziri Mkuu Mstaafu na Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Mizengo Peter Pinda, wakati akiwasili kwenye mahafali ya 38 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (CKHT), katika uwanja wa Ilulu mjini Lindi Machi 12, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_5253-1024x683.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eWTjwKB_gBQ/VevdeD4lJ8I/AAAAAAAAY4k/xneuq5Va010/s72-c/b3.jpg)
MGODI WA DHAHABU, BULYANHULU WATUMIA NUSU BILIONI KWA MWAKA KUFADHILI VIJANA MAFUNZO YA IMTT
![](http://2.bp.blogspot.com/-eWTjwKB_gBQ/VevdeD4lJ8I/AAAAAAAAY4k/xneuq5Va010/s640/b3.jpg)
Na K-VIS MEDIAMGODI wa dhahabu wa Bulyanhulu, BGML,...
9 years ago
Dewji Blog20 Aug
SBL yapeleka uzinduzi wa tuzo ya ubora wa thamani kwa wakazi wa Mwanza na Moshi
Mdau wa bia ya Serengeti Premium Lager Ben Rockman akijaribu kuitambua bia ya Serengeti Premium Lager, aliposhiriki kwenye shindano la kumtafuta “Serengeti Masta” wa baa ya “The dreams” ya jijini Mwanza wakati wa kusherekea uzinduzi kampeni ya tuzo ya dhahabu ya ubora wa thamani ya Monde Selection ambapo kwa mwaka huu bia ya Serengeti Premium Lager toka SBL imejinyakulia medali tatu za dhahabu kutokana na ubora wake. Kauli mbiu ya kampeni hii ikiwa ni “SERENGETI PREMIUM LAGER. TUNAIJUA...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jBpuQMMKEqw/UyhfWAce_QI/AAAAAAACc2o/4jXvKCd9gco/s72-c/Handover+-+Mbagala...Omari+Mikidadi+jpg.jpg)
SBL YAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WA WIKI WA PROMOSHENI YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jBpuQMMKEqw/UyhfWAce_QI/AAAAAAACc2o/4jXvKCd9gco/s1600/Handover+-+Mbagala...Omari+Mikidadi+jpg.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-t4f807pPbAg/UyhfYUAmO1I/AAAAAAACc20/G5c7MJtbUdk/s1600/Handover+-+Tabata...Alex+Sylvester+jpg.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Aug
SBL yazindua rasmi tuzo ya ubora wa thamani ya Monde Selection kwa wateja wake
Mkuu wa kitengo cha Kuhamasisha Masoko kwa wateja toka Kampuni ya bia ya Serengeti Bw. Alfa Mria akizungumza na wateja wa bia ya Serengeti Premium Lager wakati wa uzinduzi rasmi wa tuzo ya ubora wathamaniya Monde Selection ambapo bia ya Serengeti Premium ya SBL imetuzwa medali ya dhahabu mwaka huu wa 2015. Sherehe ya kuzindua ushindi huo kwa wateja ilifanyika katika baa ya Toroka Uje iliyopo Kimara jijini Dar es salaam.
Meneja Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti Bi. Anitha Msangi...
9 years ago
Dewji Blog23 Oct
Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) yahitimisha kampeni ya “Serengeti Masta” kwa kishindo jijini Dar
Mshiriki wa shindano la mwisho la kumtafuta Serengeti Masta kwa wilaya ya Temeke Emmanuel Nyaulingo (kulia) akipokea zawadi ya fulana kabla ya shindano hilo kuanza rasmi ambalo lililofanyika mwishoni mwa wiki katika baa ya Kisuma iliyopo Temeke jijini Dar es salaam. (kushoto) ni balozi wa bia ya Serengeti Premium Lager Caroline Vincent na anayeshudia (katikati) ni mshereheshaji wa shindano hilo Richard Godwin. Kampeni hiyo inafikia tamati jijini Dar es salaam baada ya kumalizika mikoani pia...