SBL yapeleka uzinduzi wa tuzo ya ubora wa thamani kwa wakazi wa Mwanza na Moshi
Mdau wa bia ya Serengeti Premium Lager Ben Rockman akijaribu kuitambua bia ya Serengeti Premium Lager, aliposhiriki kwenye shindano la kumtafuta “Serengeti Masta” wa baa ya “The dreams” ya jijini Mwanza wakati wa kusherekea uzinduzi kampeni ya tuzo ya dhahabu ya ubora wa thamani ya Monde Selection ambapo kwa mwaka huu bia ya Serengeti Premium Lager toka SBL imejinyakulia medali tatu za dhahabu kutokana na ubora wake. Kauli mbiu ya kampeni hii ikiwa ni “SERENGETI PREMIUM LAGER. TUNAIJUA...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Aug
SBL yazindua rasmi tuzo ya ubora wa thamani ya Monde Selection kwa wateja wake
Mkuu wa kitengo cha Kuhamasisha Masoko kwa wateja toka Kampuni ya bia ya Serengeti Bw. Alfa Mria akizungumza na wateja wa bia ya Serengeti Premium Lager wakati wa uzinduzi rasmi wa tuzo ya ubora wathamaniya Monde Selection ambapo bia ya Serengeti Premium ya SBL imetuzwa medali ya dhahabu mwaka huu wa 2015. Sherehe ya kuzindua ushindi huo kwa wateja ilifanyika katika baa ya Toroka Uje iliyopo Kimara jijini Dar es salaam.
Meneja Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti Bi. Anitha Msangi...
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Bia ya Kibo Gold Lager ya SBL yashinda tuzo ya medali ya dhahabu ya ubora duniani ya Monde Selection
Na Mwandishi wetu
BIA ya Kibo Gold Lager imechaguliwa kuwa mshindi wa medali ya dhahabu kwa ubora duniani inayotolewa na ‘Monde Selection’. Kibo ilipokea utambulisho huo wa kimataifa wakati wa sherehe za 53 za kila mwaka zilizofanyika huko Bordeaux, Ufaransa.
‘Monde Selection’ ni tuzo zinazotolewa kila mwaka tangu mwaka 1961, kwa ajili ya bidhaa za vinywaji na chakula. Huendeshwa na kampuni ya Biashara ijulikanayo kama ‘International Institute for Quality Selections’ ya Brussels, Ubelgiji....
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s72-c/_MG_7312.jpg)
WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAJITOKEZA KUMLAKI KWA SHANGWE DKT MAGUFULI JIJINI MWANZA LEO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s640/_MG_7312.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MJ0d-8ABhd4/VapnUSkWzlI/AAAAAAAC8sA/OSmdrUOCa9A/s640/_MG_7339.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s72-c/_MG_7312.jpg)
MAELFU WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAJITOKEZA KUMLAKI KWA SHANGWE DKT MAGUFULI JIJINI MWANZA LEO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s640/_MG_7312.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MJ0d-8ABhd4/VapnUSkWzlI/AAAAAAAC8sA/OSmdrUOCa9A/s640/_MG_7339.jpg)
9 years ago
Dewji Blog23 Nov
MSD yapeleka MOI vifaa vyenye thamani ya sh.milioni 251 zilizokuwa zitumike kujipongeza wabunge
![](http://1.bp.blogspot.com/-D-YrSb5389c/VlGq9GXzvGI/AAAAAAAAUVs/sZFJp3Jd2Oc/s640/IMG-20151121-WA0016.jpg)
Magari ya Bohari ya Dawa (MSD), yakishusha vifaa tiba Taasisi ya Moi kufuatia agizo la Rais Dk.John Magufuli kulitaka Bunge kutumia sh.milioni 15 kwa ajili ya kujipongeza na fedha zilizobaki kuzipeleka katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kukabiliana na uhaba wa vifaa tiba na magodoro.
![](http://2.bp.blogspot.com/-DefZvP8Xads/VlGq9C1FEOI/AAAAAAAAUVo/wrGCt3G5k14/s640/IMG-20151121-WA0026.jpg)
Na Dotto Mwaibale
BOHARI ya Dawa (MSD) imeanza kupeleka Vifaa Tiba kwenye Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (MOI), Vifaa ambavyo vimenunuliwa na Ofisi ya Bunge kwa agizo alilotoa Rais Dk. John...
10 years ago
Dewji Blog01 Jan
Mwanza Queens waichapa Mara Queens Goli 6 kwa 1 katika mechi ya uzinduzi wa Women Taifa Cup jijini Mwanza leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-DL59ireTssc/VKVmwlHxNfI/AAAAAAAAds0/DcxR81oF1U4/s1600/IMG-20150101-WA0063.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8gGfnzdlELY/VKVmZb_-3GI/AAAAAAAAdsE/geupwHG02DE/s1600/IMG-20150101-WA0057.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_8c2vkIZEN0/VKVmBEPiLII/AAAAAAAAdr8/Hz-b-iqYLdY/s72-c/IMG-20150101-WA0055.jpg)
MWANZA QUEENS WAICHAPA MARA QUEENS GOLI 6 KWA 1 KATIKA MECHI YA UZINDUZI WA WOMEN TAIFA CUP MCHEZO ULIOCHEZWA JIJINI MWANZA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-_8c2vkIZEN0/VKVmBEPiLII/AAAAAAAAdr8/Hz-b-iqYLdY/s1600/IMG-20150101-WA0055.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DL59ireTssc/VKVmwlHxNfI/AAAAAAAAds0/DcxR81oF1U4/s1600/IMG-20150101-WA0063.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8gGfnzdlELY/VKVmZb_-3GI/AAAAAAAAdsE/geupwHG02DE/s1600/IMG-20150101-WA0057.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-05vzWfqUKcM/VUCgeah7rpI/AAAAAAAHT_Y/BlJxgQzDYPE/s72-c/5.jpg)
CLOUDS FM YASHINDA TENA TUZO YA UBORA YA SUPERBRAND KWA MARA YA TATU AFRIKA MASHARIKI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-05vzWfqUKcM/VUCgeah7rpI/AAAAAAAHT_Y/BlJxgQzDYPE/s1600/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uCthXoIYQC8/VUCiHiSTPPI/AAAAAAAHT_g/ViYtsWFmkrg/s1600/_MG_0868.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 May
Clouds FM yashinda tena tuzo ya ubora ya Superbrand kwa mara ya tatu Afrika Mashariki
![](http://1.bp.blogspot.com/-05vzWfqUKcM/VUCgeah7rpI/AAAAAAAHT_Y/BlJxgQzDYPE/s1600/5.jpg)
Picha ya pamoja ya baadhi ya makapuni binafsi waliopewa tuzo bora za viwango,kutoka shoto ni Bi.Dorothy Mashamsham kutoka kampuni ya Mafuta ya PetrolFuel,Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One Bi Joyce Mhaville, Mkurugenzi wa Uzalishaji na Vipindi Clouds Media Group Bwa.Ruge Mutahaba, Meneja Masoko Bwa. Elisa Ernest kutoka kampuni ya bima ya Alliance Insurance.
![](http://4.bp.blogspot.com/-uCthXoIYQC8/VUCiHiSTPPI/AAAAAAAHT_g/ViYtsWFmkrg/s1600/_MG_0868.jpg)