MSD yapeleka MOI vifaa vyenye thamani ya sh.milioni 251 zilizokuwa zitumike kujipongeza wabunge
Magari ya Bohari ya Dawa (MSD), yakishusha vifaa tiba Taasisi ya Moi kufuatia agizo la Rais Dk.John Magufuli kulitaka Bunge kutumia sh.milioni 15 kwa ajili ya kujipongeza na fedha zilizobaki kuzipeleka katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kukabiliana na uhaba wa vifaa tiba na magodoro.
![](http://2.bp.blogspot.com/-DefZvP8Xads/VlGq9C1FEOI/AAAAAAAAUVo/wrGCt3G5k14/s640/IMG-20151121-WA0026.jpg)
Na Dotto Mwaibale
BOHARI ya Dawa (MSD) imeanza kupeleka Vifaa Tiba kwenye Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (MOI), Vifaa ambavyo vimenunuliwa na Ofisi ya Bunge kwa agizo alilotoa Rais Dk. John...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CXXytmoK_S8/XoSgD5zMRuI/AAAAAAALly8/isI_qge6hwsqrP2TJHXdG82-aU1BB-6mQCLcBGAsYHQ/s72-c/AA.jpg)
KAMPUNI YA JAPAN YASAIDIA TAASISI YA MIFUPA (MOI) MSAADA WA VIFAA TIBA VYENYE THAMANI YA MILIONI 80.9
![](https://1.bp.blogspot.com/-CXXytmoK_S8/XoSgD5zMRuI/AAAAAAALly8/isI_qge6hwsqrP2TJHXdG82-aU1BB-6mQCLcBGAsYHQ/s640/AA.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/BB.jpg)
Mkurugenzi wa Tiba (MOI) Dkt. Samwel Swai (kulia) akipokea baadhi ya vifaa kutoka kwa Meneja wa Kampuni ya EAA Josiah Benedict leo katika viwanja vya (MOI) jijini Dar es Salaam
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/CC.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Uf5xh_W6x9M/XpcKLAFaGjI/AAAAAAALnDc/VxfkEIwJng8JXip-jGkfp7Xb4-Lh81tkQCLcBGAsYHQ/s72-c/b41f6d79-2549-446d-a393-776172080374.jpg)
DC KATAMBI AKABIDHIWA VIFAA VYENYE THAMANI YA MILIONI 16 KUPAMBANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Uf5xh_W6x9M/XpcKLAFaGjI/AAAAAAALnDc/VxfkEIwJng8JXip-jGkfp7Xb4-Lh81tkQCLcBGAsYHQ/s640/b41f6d79-2549-446d-a393-776172080374.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-EN-L9w5VCl8/XpcIjRbS-xI/AAAAAAALnDM/n1C17pgxKhA4lRtOfGZaCgWD4vO3cgh9wCLcBGAsYHQ/s640/5063bc68-ba4f-424c-8fa4-338fbe78dceb.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MjigdAtRFR8/XpcIY5u085I/AAAAAAALnDE/UJRf28JXnx8biUpNct_XZD5eydRqzzkgwCLcBGAsYHQ/s640/47fc791e-17be-4768-b5e1-6a0047019722.jpg)
5 years ago
CCM BlogBARRICK BUZWAGI YATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA VYENYE THAMANI YA SH. MILIONI 48
Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia Mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama imetoa msaada vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 48 kwa ajili ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu...
5 years ago
CCM BlogTAASISI YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA CORONA VYENYE THAMANI YA MILIONI SABA
Kiongozi wa Taasisi ya Chuo cha Mafunzo pamoja na Group la Happy Hands Zainab Bunamy (kushoto) akikabidhi msaada wa vitu...
10 years ago
GPLMAKONDA APOKEA VIFAA VYA MICHEZO VYENYE THAMANI YA SH.MILIONI 50 KUTOKA KAMPUNI YA TSN
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA, APOKEA VIFAA VYA MICHEZO VYENYE THAMANI YA SH.MILIONI 50
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SuOBAmlJCQM/XrhLQdh1G7I/AAAAAAALpsk/VSdg2BuwCe0mUD9JoPs780Bm4FRRAlapACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-10%2Bat%2B5.00.37%2BPM.jpeg)
TAASISI YA DK MSUYA YAGAWA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA VYENYE THAMANI YA SH MILIONI 2.5 KWA MAKANISA MWANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SuOBAmlJCQM/XrhLQdh1G7I/AAAAAAALpsk/VSdg2BuwCe0mUD9JoPs780Bm4FRRAlapACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-10%2Bat%2B5.00.37%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-AL4TEt2tTy4/XrhLP1Tn8xI/AAAAAAALpsc/a6PeAVMdhHUce9zXf3zA0mnCnxPJ2OYDACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-10%2Bat%2B5.03.25%2BPM.jpeg)
10 years ago
Dewji Blog11 Sep
UNDP kupitia mradi wa DEP yakabidhi vifaa vyenye thamani ya zaidi ya sh milioni 200 kwa ofisi ya msajili wa vyama
Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi.
Na Mwandishi wetu
SERIKALI kupitia Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, imepokea msaada wa vifaa vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Teknohama), vyenye thamani ya zaidi ya sh milioni 200.
Vifaa hivyo ambavyo ni kompyuta za mezani, ‘Scanner’, ‘printer’, mashine ya kutolea nakala (photocopy), simu za mkononi, kompyuta mpakato pamoja na meza, ambavyo vimetolewa na Shirika la Kimataifa la Mradi wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP),...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4rqQ9x6Lp9g/Xp8H5_DJvII/AAAAAAAEGzg/Oyjk9RZ7pB4bjovCFtOeIimSs3s-euS4gCLcBGAsYHQ/s72-c/NHKK.jpg)
Vodacom Tanzania PLC yakabidhi vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 300 kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kupambana na ugonjwa wa Covid-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-4rqQ9x6Lp9g/Xp8H5_DJvII/AAAAAAAEGzg/Oyjk9RZ7pB4bjovCFtOeIimSs3s-euS4gCLcBGAsYHQ/s640/NHKK.jpg)