KAMPUNI YA JAPAN YASAIDIA TAASISI YA MIFUPA (MOI) MSAADA WA VIFAA TIBA VYENYE THAMANI YA MILIONI 80.9
Mkurugenzi wa Tiba (MOI) Dkt. Samwel Swai (kulia) akipokea baadhi ya vifaa kutoka kwa Meneja wa Kampuni ya EAA Josiah Benedict leo katika viwanja vya (MOI) jijini Dar es SalaamMkurugenzi wa Tiba (MOI) Dkt. Samwel Swai akiwa katika picha ya pamoja na Meneja wa Kampuni ya EAA Josiah Benedict pamoja na baadhi ya wafanyakazi wengine waliohudhuria...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogKAMPUNI YA JAPAN YASAIDIA TAASISI YA MIFUPA (MOI) MSAADA WA VIFAA TIBA VYA MILIONI 80.9
Akipokea msaada huo, Mkurugenzi wa Tiba (MOI) Dkt. Samwel Swai amesema kuwa msaada huo utasaidia kwa kiasi kikubwa matibabu ya wagonjwa wenye ulemavu wa miguu na mikono.
Kwa upande wake Meneja wa Kampuni ya EAA Co. Ltd, Josiah Benedict amesema wameguswa na changamoto zinazowakabili watanzania ndiyo maana wameamua...
5 years ago
CCM BlogTAASISI YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA CORONA VYENYE THAMANI YA MILIONI SABA
Kiongozi wa Taasisi ya Chuo cha Mafunzo pamoja na Group la Happy Hands Zainab Bunamy (kushoto) akikabidhi msaada wa vitu...
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
Mlata atoa msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 5.7 kwa kituo cha afya cha Sokoine
Baadhi ya vifaa tiba na madawa mbalimbali yaliyotolewa msaada na Martha Mosses Mlata kwa kituo cha afya cha Sokoine mjini Singida.
Katibu wa jumuiya ya umoja wa wanawake Tanzania (UWT) mkoa wa Singida, Anjela Robert (kulia) akimkabidhi moja nguzo ya kutundikia maji ya drip, kwa ajili ya matumizi katika kituo cha afya cha Sokoine, Kaimu mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Omary Kisuda.Katibu Anjela alikabidhi msaada huo uliotolewa na Martha Mosses Mlata uliomgharimu zaidi ya shilingi 5.7...
9 years ago
Dewji Blog23 Nov
MSD yapeleka MOI vifaa vyenye thamani ya sh.milioni 251 zilizokuwa zitumike kujipongeza wabunge
Magari ya Bohari ya Dawa (MSD), yakishusha vifaa tiba Taasisi ya Moi kufuatia agizo la Rais Dk.John Magufuli kulitaka Bunge kutumia sh.milioni 15 kwa ajili ya kujipongeza na fedha zilizobaki kuzipeleka katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kukabiliana na uhaba wa vifaa tiba na magodoro.
Na Dotto Mwaibale
BOHARI ya Dawa (MSD) imeanza kupeleka Vifaa Tiba kwenye Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (MOI), Vifaa ambavyo vimenunuliwa na Ofisi ya Bunge kwa agizo alilotoa Rais Dk. John...
10 years ago
GPLMAKONDA APOKEA VIFAA VYA MICHEZO VYENYE THAMANI YA SH.MILIONI 50 KUTOKA KAMPUNI YA TSN
5 years ago
MichuziTAASISI YA DK MSUYA YAGAWA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA VYENYE THAMANI YA SH MILIONI 2.5 KWA MAKANISA MWANGA
5 years ago
CCM BlogTAASISI YA ANDALUSIA NA GROUP YA HAPPY HANDS YATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KWA MADAKTARI NA WAUGUZI VYENYE THAMANI YA SH. MILIONI SABA
Kiongozi wa Taasisi ya Andalusia na Group ya Happy Hands Zainab Bunamay (kushoto) akikabidhi msaada wa vifaa mbalimbali kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala Bi. Sophia mjema wenye dhamani ya Sh. Milioni Saba uliotole kwa niaba ya Taasisi hiyo vikiwemo vifaa...
5 years ago
MichuziTaasisi ya Vodacom Tanzania Foundation yakabidhi vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 300 kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ili kupambana na ugonjwa wa Covid-19
Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom Tanzania PLC, Hisham Hendi (kulia) akipunga mkono kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi (haonekani pichani) wakati akikabidhi kiasi cha shilingi milioni 300 kwa serikali ya Mapinduzi Zanzibar zilizotolewa na kampuni ya Vodacom leo ili kupambana na kudhibiti ongezeko la virusi vya Corona visiwani humo, ambapo walifanya makabidhiano kwa njia ya mtandao. Pembeni ni Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania Foundation,...
5 years ago
MichuziNMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA SHULE VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 15 KWA SHULE TATU ZA SEKONDARI JIJINI DAR
Hafla ya kukabidhi msaada huo ilifanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Kibamba, ambako Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam, Badru Idd alimkabidhi msaada huo Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Kisare Makori (aliyekuwa mgeni rasmi).
Alisema Kibamba Sekondari yenye...