Bia ya Kibo Gold Lager ya SBL yashinda tuzo ya medali ya dhahabu ya ubora duniani ya Monde Selection
Na Mwandishi wetu
BIA ya Kibo Gold Lager imechaguliwa kuwa mshindi wa medali ya dhahabu kwa ubora duniani inayotolewa na ‘Monde Selection’. Kibo ilipokea utambulisho huo wa kimataifa wakati wa sherehe za 53 za kila mwaka zilizofanyika huko Bordeaux, Ufaransa.
‘Monde Selection’ ni tuzo zinazotolewa kila mwaka tangu mwaka 1961, kwa ajili ya bidhaa za vinywaji na chakula. Huendeshwa na kampuni ya Biashara ijulikanayo kama ‘International Institute for Quality Selections’ ya Brussels, Ubelgiji....
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
BIA YA KIBO GOLD LAGER YA SERENGETI BREWERIES LTD YASHINDA TUZO YA MEDALI YA DHAHABU YA UBORA DUNIANI YA MONDE SELECTION.

‘Monde Selection’ ni tuzo zinazotolewa kila mwaka tangu mwaka 1961, kwa ajili ya bidhaa za vinywaji na chakula. Huendeshwa na kampuni ya Biashara ijulikanayo kama ‘International Institute for Quality Selections’ ya Brussels, Ubelgiji. Bidhaa hizo...
10 years ago
Dewji Blog10 Aug
SBL yazindua rasmi tuzo ya ubora wa thamani ya Monde Selection kwa wateja wake
Mkuu wa kitengo cha Kuhamasisha Masoko kwa wateja toka Kampuni ya bia ya Serengeti Bw. Alfa Mria akizungumza na wateja wa bia ya Serengeti Premium Lager wakati wa uzinduzi rasmi wa tuzo ya ubora wathamaniya Monde Selection ambapo bia ya Serengeti Premium ya SBL imetuzwa medali ya dhahabu mwaka huu wa 2015. Sherehe ya kuzindua ushindi huo kwa wateja ilifanyika katika baa ya Toroka Uje iliyopo Kimara jijini Dar es salaam.
Meneja Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti Bi. Anitha Msangi...
11 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Bia ya Kibo Gold yashinda tuzo
BIA ya Kibo Gold imechaguliwa kuwa mshindi wa medali ya dhahabu kwa ubora duniani inayotolewa na ‘Monde Selection’. Kibo ilipokea utambulisho huo wa kimataifa katika sherehe za 53 za kila...
11 years ago
Michuzi
BIA YA SAFARI LAGER YASHINDA TUZO LA UBORA KIMATAIFA 2014


Kampuni ya Bia Tanzania(TBL) kupitia bia yake ya Safari Lager leo...
11 years ago
Michuzi
NDOVU SPECIAL MALT YASHINDA TUZO YA MONDE SELECTION 2014


11 years ago
Michuzi
Safari Lager na Ndovu Special Malt zapata tuzo za Monde Selection nchini Ufaransa


11 years ago
MichuziBIA YA SAFARI LAGER NA NDOVU SPECIAL MALT ZAREJEA NCHINI NA TUZO YA UBORA WA KIMATAIFA 2014 “INTERNATIONAL HIGH QUALITY TROPHY”
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
SBL yapeleka uzinduzi wa tuzo ya ubora wa thamani kwa wakazi wa Mwanza na Moshi
Mdau wa bia ya Serengeti Premium Lager Ben Rockman akijaribu kuitambua bia ya Serengeti Premium Lager, aliposhiriki kwenye shindano la kumtafuta “Serengeti Masta” wa baa ya “The dreams” ya jijini Mwanza wakati wa kusherekea uzinduzi kampeni ya tuzo ya dhahabu ya ubora wa thamani ya Monde Selection ambapo kwa mwaka huu bia ya Serengeti Premium Lager toka SBL imejinyakulia medali tatu za dhahabu kutokana na ubora wake. Kauli mbiu ya kampeni hii ikiwa ni “SERENGETI PREMIUM LAGER. TUNAIJUA...
5 years ago
Michuzi
TBL YASHINDA TUZO YA KIZIBO CHA DHAHABU, KUKIONESHA KWA WATANZANIA
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Meneja wa Brand za TBL, Pamela Kikuli alisema kuwa, TBL imefurahi kupata tuzo hiyo ambayo alisema kuwa imeongeza heshima katika jina la kampuni na bidhaa zake na kwamba wataendelea kuzalisha bidhaa zenye ubora ili kukidhi mahitaji ya wateja wake nchini kote.
“Kwakweli tumefurahi sana kupata tuzo hii ambayo ni ya...