Mwanamke jela kwa kufadhili Isis
Mwanamke mmoja nchini Uingereza aliyeshitakiwa kwa kumfadhili mumewe aliyejiunga na vita nchini Syria, amefungwa jela miaka 2
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo08 Mar
Mwanamke jela kwa kushambulia polisi
MWANAMKE mmoja amehukumiwa na mahakama ya wilaya ya Musoma, mkoani Mara, kutumikia kifungo cha miaka mitano na miezi sita jela, baada ya kupatikana na makosa ya kutoa matusi na kushambulia askari polisi wawili waliokuwa wanataka kumkamata.
11 years ago
Habarileo18 Jan
Mwanamke aliyetapeli kwa Airtel Money jela miezi 6
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora, imemhukumu mkazi wa hapa kwenda jela miezi sita, kwa kosa la utapeli wa fedha kwa njia ya mtandao wa Airtel Money kwa mawakala mbalimbali wilayani humo.
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Mwanamke wa Indonesia anusurika kifungo jela kwa kuingiza mbwa msikitini
9 years ago
Global Publishers15 Dec
Mwanamke wa unga jela miaka 20
Anna Gemanist Mboya.
Na Makongoro Oging’
Mrembo wa madawa ya kulevya ‘unga’, Anna Gemanist Mboya mkazi wa Kijitonyama, Kinondoni jijini Dar amefungwa jela miaka 20 na kupigwa faini ya shilingi milioni 148, fedha anazotakiwa kuzilipa mara atakapomaliza kifungo.
Mrembo huyo ambaye ni mfanyabiashara, amefungwa Desemba, Mosi, mwaka huu mbele ya Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Wilfrida Koroso kwa kosa la kusafirisha madawa ya kulevya.
Kamanda wa Kikosi cha Kupambana na Kudhibiti Madawa ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TslQhVTUIaw/VDafNfPpDmI/AAAAAAAGo1o/hEpKKFSEh0s/s72-c/unnamed.jpg)
Vodacom yaadhimisha wiki ya huduma kwa wateja kwa kufadhili mradi wa ufugaji kuku
Mbali na kufadhili...
11 years ago
Habarileo20 Mar
Mwanamke aliyemtesa mtoto atupwa jela miaka 3
MWANAMKE mkazi wa Kata ya Iyela jijini hapa, Mwanahawa Nassoro (32) amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka mitatu jela baada ya kupatikana na hatia ya kunyanyasa na kumtesa mtoto. Mwanamke huyo alipandishwa katika Mahakama ya Mwanzo ya Mbeya mjini jana, akikabiliwa na shitaka la kumtesa mtoto, John Paul (3) ambaye ni mtoto wa kaka yake.
9 years ago
BBCSwahili04 Sep
IOC kufadhili michezo kwa wakimbizi
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
SBL kufadhili wanavyuo kwa 100%
KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL), kupitia mradi wa EABL Foundation, mwaka huu tena imetoa ufadhili wa masomo ya chuo kikuu kwa kugharamia kwa asilimia 100 ikiwemo karo, malazi na...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eWTjwKB_gBQ/VevdeD4lJ8I/AAAAAAAAY4k/xneuq5Va010/s72-c/b3.jpg)
MGODI WA DHAHABU, BULYANHULU WATUMIA NUSU BILIONI KWA MWAKA KUFADHILI VIJANA MAFUNZO YA IMTT
![](http://2.bp.blogspot.com/-eWTjwKB_gBQ/VevdeD4lJ8I/AAAAAAAAY4k/xneuq5Va010/s640/b3.jpg)
Na K-VIS MEDIAMGODI wa dhahabu wa Bulyanhulu, BGML,...