Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Washutumiwa kwa kulea wanafunzi wasio na nidhamu

WAMILIKI wa shule na vyuo visivyo vya Serikali, wamelalamikia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, kwa kulea wanafunzi wasio na nidhamu mashuleni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi wasio na uwezo kulipiwa ada

SERIKALI kupitia halmashauri zote nchini ina mpango wa kuwasaidia na kuwalipia ada na michango mingine wanafunzi ambao wazazi wao hawana uwezo. Kauli hiyoilitolewa bungeni jana na Waziri wa Elimu na...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanafunzi waaswa kujali nidhamu

Wanamichezo wanaoshiriki michuano ya Umoja wa Shule za Sekondari Tanzania (Umisseta) wametakiwa kuzingatia nidhamu, umoja na mshikamano ndani na nje ya uwanja katika michuano hiyo iliyoanza jana kwenye viwanja vya Shirika la Elimu mjini hapa.

 

10 years ago

Michuzi

miss tanga 2014 awasaidia vifaa vya shule wanafunzi wasio na uwezo

MREMBO wa mkoa wa Tanga 2014/15,Diana Festo ametoa zawadi za vifaa vya shule kwa wanafunzi wasio jiweza katika shule za msingi Wilayani Pangani,ili kufanikisha azma yake ya kuwataka wanafunzi kutambua umuhimu wa elimu na kuweka juhudi na kuzingatia masomo..
Shule ambazo zilipata nafasi ya kutembelewa na Mrembo huyo na kufanikiwa kupata vifaa hivyo ni ni shule ya msingi Pangani,Funguni, Mwela na shule ya msingi Mwembeni ambazo zote zinapatikana katika wilaya hiyo ya Pangani,huku vifaa...

 

10 years ago

Mtanzania

Saba wakamatwa kwa kulea watoto Moshi

NA UPENDO MOSHA, MOSHI

JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu saba wanaodaiwa kuwa ni wamiliki wa vituo vitatu vilivyogundulika kuhifadhi watoto 147 kwa siri Katika Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Geofrey Kamwela, alitoa taarifa hiyo jana, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.

Alisema kwamba, watu hao wanashikiliwa kwa kosa la kulea watoto katika mazingira hatarishi na kusababisha wengine wasiendelee na masomo kinyume cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Kituo cha kulea tembo yatima kina tija kwa Taifa?

Katika hali ya kawaida, Watanzania wamezoea kusikia au kuona vituo vya kulea watoto yatima, ambavyo vimesambaa karibu nchi nzima.

 

10 years ago

Michuzi

JWTZ lasherehekea Miaka 50 kwa kuvisaidia vituo vya kulea watoto yatima

Mkurugenzi wa Ustawi wa Jamii wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania Brigedia Jenerali Sarah Wambali akisoma risala ya kumkamribisha Mgeni rasmi katika hafla ya kusherekea miaka 50 ya Jeshi hilo leo jijini Dar es Salaam, ambapo wanatarajia kutoa misaada ya vyakula na vifaaa mbalimbali kwa vituo vya kulelea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu. Mkurugenzi wa Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleao ya Jamii ,Jinsia na Watoto Meshack Ndasikoi ambaye ni mgeni rasmi katika hafla ya...

 

10 years ago

GPL

MAMLAKA YA USAFIRI WA ANAGA TANZANIA( TCAA) WATOA MSAADA WA VITU MBALIMBALI KWA KITUO CHA KULEA YATIMA

Mshauri wa Kituo cha kule watoto yatima wanaoishi katika mazingira magumu  cha New Hope family   Maiko Lugendo ,( kulia) akimuonyesha  Afisa habari wa Mamka ya usafiri wa anga Tanzania (TCAA) Ali Changwila wakati walipokwenda kutoa msaada wa vitu mbalimbali vikiwemo vyakula kwa ajili ya kusherehekea mwaka mpya  kwenye  kituo hicho kilichopo  Mwasonga  Kata ya Kisarawe 2  Kigamboni  jijini Dar es...

 

9 years ago

BBCSwahili

UN yawafutwa kazi 5 kwa utovu wa nidhamu

Wafanyikazi 4 wa umoja wa mataifa wamefutwa kazi baada ya kutizama filamu ya ngono kwenye mtandao wa intanet wa shirika hilo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani