Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASANII WAASWA KUWA NA NIDHAMU YA MUDA

Kiongozi wa Kundi la Kudansi la Wakali Sisi lililoshinda katika Shindano la Dansi mia mia hivi karibuni Yasin Haji (Kulia) akiongea na wadau wa Sanaa waliohudhuria kwenye Jukwaa la Sanaa la Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mapema wiki hii. Kushoto ni Afisa Sanaa kutoka BASATA, Ernest Biseko. Kundi la Wakali Sisi likionesha vitu vyeo kwenye Jukwaa la Sanaa la Taifa (BASATA) mapema wiki hii.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wanafunzi waaswa kujali nidhamu

Wanamichezo wanaoshiriki michuano ya Umoja wa Shule za Sekondari Tanzania (Umisseta) wametakiwa kuzingatia nidhamu, umoja na mshikamano ndani na nje ya uwanja katika michuano hiyo iliyoanza jana kwenye viwanja vya Shirika la Elimu mjini hapa.

 

10 years ago

Mtanzania

Mr. T Touch: Nidhamu inapoteza wasanii

Mr T TouchNA MWANDISHI WETU

PRODYUZA wa muziki nchini, T Touch amesema wasanii wengi wanapotea kwenye muziki kwa kuwa hawana nidhamu ya muziki na wanaowazunguka.

“Wasanii wengi waliofanikiwa na kufikia malengo yao wana nidhamu kubwa kwa wanaowazunguka hasa wadau na mashabiki wa muziki, hapa nyumbani kuna vipaji vingi lakini vinapotea kwa kukosa nidhamu hasa wanapoanza kuona mafanikio.

“Wasanii wengi ninaokutana nao katika kazi yangu huwa na nidhamu wanapokuja kuomba kufanyakazi nami lakini baadhi yao...

 

11 years ago

Michuzi

Wanamichezo wa Tanzania warejea huku wakiijengea nchi heshima ya kuwa na nidhamu

Mwakilishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo ambaye pia ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko (kushoto) akisalimiana na baadhi ya Wanamichezo waliokuwa kwenye Mashindano ya Jumuiya ya Madola mjini Glasgow Scotland mara walipowasilia katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Juliana Yassoda akiwaelekeza jambo baadhi ya...

 

9 years ago

Michuzi

Wasanii waaswa kuendeleza ushirikiano baina yao na Serikali

cb3Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akihutubia mbele ya wadau wa sanaa (hawapo pichani)wakati wa hafla ya kufunga maonyesho ya Siku ya Msanii iliyofanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa mapema wikiendi hii jijini Dar es Salaam.cb2Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akisalimiana na Rais wa Shirikisho la wasanii wa Filamu Tanzania Bw. Simon Mwakifamba mara baada ya kuwasili katika...

 

9 years ago

Michuzi

WASANII WA KIKE WAASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII


Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Sanaa kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Leah Kihimbi akitoa hotuba katika Warsha ya siku mbili kuhusu wasanii wanawake kupinga ukatili wa kijinsia, mafunzo hayo yamefanyika ili kuhitimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia na kusheherekea siku ya msanii Tanzania iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Rais wa Shirikisho la Sanaa za Maonyesho Tanzania Agnes Lukanga akitoa mada katika warsha ya siku mbili kuhusu wasanii wanawake kupinga...

 

10 years ago

Michuzi

Jamii yatakiwa kuwa na nidhamu na usimamizi mzuri katika shughuli za kujiletea maendelo

Jamii imetakiwa kuwa na nidhamu ikiwa ni pamoja na kuwa na usimamizi mzuri katika shughuli za kujiletea maendelo.
Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo kwa wajasiriamali vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Bw. Manfred Hyera amesema chanzo cha mafanikio katika ujasiriamali nikuwa na nidhamu kwa jamii inayowazunguka kwani kwa kufanya hivyo kutawawezesha kuwaongezea kipato.
Bw.Hyera amesema kitendo cha baadhi ya wajasiriamali kutumia lugha chafu...

 

5 years ago

Michuzi

WANACHAMA WA CCM LUDEWA MKOANI NJOMBE WAASWA KUACHA KUCHAFUANA NA KUFANYA KAMPENI KABLA YA MUDA


Na Shukrani Kawogo-Michuzi TV, Njombe.

Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wilayani Ludewa Mkoani Njombe ikiwemo nafasi ya ubunge wametakiwa kuacha kuchafuana na kufanya kampeni kabla ya nafasi hizo kutangazwa kuwa wazi kwani kwa watakaobainika watachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwemo kukatwa majina yao .

Hayo aliyasema katibu wa chama hicho wilayani humo Bakari Mfaume na kuongeza kuwa kumekuwa na matamanio kwa baadhi ya wanachama...

 

10 years ago

Bongo5

Dar kuna wasanii wengi wakali ila wengi hawana nidhamu — Producer T-Touch

Miongoni mwa vitu vinavyoikamilisha ‘package’ ya msanii mzuri ukiachilia mbali kipaji ni pamoja na nidhamu ya kazi, pamoja na watu wanaomzunguka msanii wakiwemo mashabiki. Producer T-Touch amesema kuwa msanii bila kuwa na nidhamu ni ngumu kufanya vizuri hata kama ana kipaji. Akizungumza kupitia Planet Bongo ya EA Radio producer huyo aliyefanya hits ikiwemo ‘Muziki Gani’ […]

 

10 years ago

Habarileo

Wazazi waaswa kuwa karibu na watoto

WAZAZI na walezi nchini, wametakiwa kuwa karibu na watoto wao ili kuwapa malezi bora na kuwaepusha na makundi mabaya ya uhalifu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani