Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mr. T Touch: Nidhamu inapoteza wasanii

Mr T TouchNA MWANDISHI WETU

PRODYUZA wa muziki nchini, T Touch amesema wasanii wengi wanapotea kwenye muziki kwa kuwa hawana nidhamu ya muziki na wanaowazunguka.

“Wasanii wengi waliofanikiwa na kufikia malengo yao wana nidhamu kubwa kwa wanaowazunguka hasa wadau na mashabiki wa muziki, hapa nyumbani kuna vipaji vingi lakini vinapotea kwa kukosa nidhamu hasa wanapoanza kuona mafanikio.

“Wasanii wengi ninaokutana nao katika kazi yangu huwa na nidhamu wanapokuja kuomba kufanyakazi nami lakini baadhi yao...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Dar kuna wasanii wengi wakali ila wengi hawana nidhamu — Producer T-Touch

Miongoni mwa vitu vinavyoikamilisha ‘package’ ya msanii mzuri ukiachilia mbali kipaji ni pamoja na nidhamu ya kazi, pamoja na watu wanaomzunguka msanii wakiwemo mashabiki. Producer T-Touch amesema kuwa msanii bila kuwa na nidhamu ni ngumu kufanya vizuri hata kama ana kipaji. Akizungumza kupitia Planet Bongo ya EA Radio producer huyo aliyefanya hits ikiwemo ‘Muziki Gani’ […]

 

10 years ago

GPL

WASANII WAASWA KUWA NA NIDHAMU YA MUDA

Kiongozi wa Kundi la Kudansi la Wakali Sisi lililoshinda katika Shindano la Dansi mia mia hivi karibuni Yasin Haji (Kulia) akiongea na wadau wa Sanaa waliohudhuria kwenye Jukwaa la Sanaa la Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mapema wiki hii. Kushoto ni Afisa Sanaa kutoka BASATA, Ernest Biseko. Kundi la Wakali Sisi likionesha vitu vyeo kwenye Jukwaa la Sanaa la Taifa (BASATA) mapema wiki hii.… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

LHRC: Adhabu ya kifo inapoteza nguvu kazi

MKURUGENZI wa Utetezi na Maboresho kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Harold Sungusia, amesema adhabu ya kunyongwa inachangia kupoteza nguvu kazi nchini. Sungusia alitoa kauli hiyo mjini...

 

9 years ago

Bongo5

Inspector Haroun adai Bongo Flava inapoteza utambulisho wake

Msanii mkongwe, Inspector Haroun amesema muziki wa Bongo Flava unaenda ukipotea kutokana na wasanii kudokoa vionjo vya muziki wa nje. Hitmaker huyo wa Mtoto wa Geti Kali, alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio wiki iliyopita kuwa wasanii wanafanya vizuri kwa melody za kudokoa hivyo wanatakiwa kuchukua tahadhari. “Siku hizi vijana wanafanya vizuri, […]

 

11 years ago

TheCitizen

Please don’t touch our salaries

Following the great performance of Mwisho wa Lami Secondary School in last year’s KCSE, as a community, we continued celebrating over last weekend.

 

9 years ago

Bongo5

Music: Pia Mia — Touch

Msanii Pia Mia baada ya kufanya vizuri na wimbo ‘Do It Again’ ambao amewashirikisha Chris Brown na Tyga, msanii huyo ametoa wimbo mpya unaitwa “Touch.” Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Video: Pia Mia — Touch

pm-touch

After hitting the beach with Chris Brown and Tyga (“Do It Again”), Pia Mia turns up the heat once again in the video for “Touch.” Directed by Dave Meyers (Janet Jackson, Missy Elliott), the smoldering clip finds the 19-year-old blonde beauty performing against the colorful backdrop of Venice, Calif.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka...

 

10 years ago

BBC

West's 'light touch' failed Libya

How West's 'light touch' intervention brought about collapse

 

9 years ago

TheCitizen

Don’t touch residents, CDA told

Residents of Makulu Ward on the road leadig to the University of Dodoma (Udom) can now sleep peacefully after President Jakaya Kikwete yesterday directed the Capital Development Authority (CDA) not to relocate them.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani