Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Faustine Munishi kwenda sambamba na Mwaitege


MWIMBAJI wa Kimataifa anayeishi, Kenya Faustine Munishi anatarajia kumsindikiza mwenzake Bonny Mwaitege anayetarajia kuzindua albamu tatu kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.  Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama, Munishi ataungana na Mwaitege, uzinduzi utakaofanyika Agosti 2 mwaka huu.Msama alisema Munishi ni mojawapo  ya watakaomsindikiza mwimbaji huyo kwa sababu hivi sasa sambamba na Kilahiro na Kwaya ya Wakorintho wapili.  “Uzinduzi  wa  albamu tatu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WAASWA KWENDA SAMBAMBA NA TEKNOLOJIA

  Balozi Mwanaidi Majaar(kulia) akijadiliana jambo na mgeni rasmi wa mahafali ya 13 ya shule ya sekondari Shimbwe iliyopo Moshi vijijini, Ofisa Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Georgia Mutagahywa (kushoto) mara baada ya kutembelea chumba cha mafunzo ya Kompyuta katika shule hiyo.
 Mgeni rasmi katika mahafali ya 13 ya kidato cha nne katika shule ya sekondari Shimbwe iliyopo Uru wilayani Moshi vijijini,Ofisa Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Georgia...

 

11 years ago

GPL

MASOMO NA MICHEZO INAVYOKWENDA SAMBAMBA

Wanafunzi wakijichangamsha kwa kucheza soka. Kamera ya Global leo imewanasa wanafunzi wa shule ya msingi Majimatitu-Mbagala jijini Dar, wakifanya mazoezi nyakati za asubuhi kwa kucheza soka. (Picha na: Denis…

 

10 years ago

Vijimambo

WAUMINI WAKATOLOKI WA DMV WAMKARIBISHA PADRI HONEST MUNISHI

Pius Mtalemwa mkatoliki mwana DMV akiwa katika picha ya pamoja na Pdri Honest Munishi siku ya Jumapili Oct 12, 2014 siku waumini wa katoliki kanisa la kiswahili walipofanya hafla fupi ya kumkaribisha padri huyo Baltimore, Maryland nchini Marekani. Padri Honest Munishi amechukua nafasi ya padri Evod Shao aliyehamia Tanzania.Waumini wa Katoliki wakipata chakula katika hafla fupi ya kumkaribisha Padri Honest Munishi iliyofanyika Jumapili Oct 12, 2014 Baltimore, Maryland nchini Marekani.Waumini...

 

10 years ago

Vijimambo

Tangazo la Misa - Kumsimika Fr. Honest Munishi, February 8, 2015, 10:00AM

Karibuni Sana Wapendwa Wote
Img3.jpg

Mnakaribishwa sana kwenye ibada ya misa takatifu itakaoongozwa na Baba Askofu kwa nia kumsimika Fr. Honest Munishi kama Paroko mpya wa kanisa Takaifu Katoliki la Mtakatifu Edward.
Ibada itafanyika katika kanisa takatifu katoliki la
Mtakatifu Edward (St Edward Parish)901 Poplar Grove St, Baltimore, MD 21216, Phone: (410) 362-2000
Tarehe 8 Februari 2015. Saa nne kamili asubuhi (10:00 AM).Karibuni sana na unaombwa uwataarifu na kuwakaribisha ndugu, marafiki na jamaa...

 

10 years ago

Vijimambo

PADRE MUNISHI AWEKWA WAKFU KUWA PAROKO KANISA KATOLIKI BALTIMORE MD

IMG_0279Baba padre Honest Munishi akiwekwa wakfu kuongoza kanisa la Katoliki la St.Edward Baltimore Md nchini Marekani katika misa iliyoongozwa na Askofu Dennis Madden wa jimbo la kuu la Baltimore, Jumapili Februari 8,2014. Padre Munishi amechukua nafasi iliyoachwa wazi na Padre Evod Shao aliyemaliza muda wake.IMG_0276Padre Munishi katika ibada. IMG_0284Padre Munishi akitia saini mbele ya askofu baada ya kusimikwa kuwa paroko mpya wa kanisa la Baltimore Md. IMG_0288Baba askofu wa jimbo kuu la Baltimore akimtambulisha padre...

 

10 years ago

Dewji Blog

Neno la leo: kwenda kupiga kura ni kwenda kuchagua

0,,16820284_303,00

Blogger Maggid Mjengwa.

Ndugu zangu,

Leo ni siku ya kupiga kura kwenye Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji. Huu ni Uchaguzi Muhimu sana katika nchi. Uchaguzi huu ndio MSINGI wa siasa kubwa za Kitaifa.

Siasa ya nchi inaanzia kwenye Mtaa, Kijiji na Kitongoji. Na hakika, siku ya leo ilipaswa uwe ni uchaguzi pia kwa ngazi ya Manispaa na Halmshauri, kwa maana ya kuwachagua Madiwani.

Inahusu Serikali za Mitaa ( Local Goverment). Nimepata kuandika, kuwa Mahtama Ghandhi alipata kusema, kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwaitege kuwashika mashabiki

Mwimbaji nguli wa muziki wa Injili nchini, Boniface Mwaitege amesema shughuli ya uzinduzi wa albamu zake tatu inayotarajiwa kufanyika leo jijini Dar es Salaam itaambatana na matukio kadhaa kwa ajili ya hadhara.

 

9 years ago

Michuzi

HAPPY BIRTHDAY BLOGGER FAUSTINE RUTA



Blogger mpiganaji wa Bukoba Faustine Ruta anapenda kumshukuru Mungu kwa kumfikisha leo hii Sept. 24, siku yake ya kuzaliwa. Anasema hakika Mungu ni mwema kwa kila jambo. Anaishukukuru familia yake, ndugu,  jamaa, marafiki na majirani kwa kumsindikiza vyema katika safari yake hii ya maisha."Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kuishuhudia siku hii. Ni neema kubwa. Hakika napaswa kutambua kwamba kila siku katika maisha yangu ni dhamana ambayo natakiwa niitumie kwa mambo mema", Faustine amesema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani