Faustine Munishi kwenda sambamba na Mwaitege
![](http://1.bp.blogspot.com/-KE3JCdvi5do/VaT7Hid73bI/AAAAAAAC8gI/dLio0Thz4zk/s72-c/aduivcd.jpg)
MWIMBAJI wa Kimataifa anayeishi, Kenya Faustine Munishi anatarajia kumsindikiza mwenzake Bonny Mwaitege anayetarajia kuzindua albamu tatu kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama, Munishi ataungana na Mwaitege, uzinduzi utakaofanyika Agosti 2 mwaka huu.Msama alisema Munishi ni mojawapo ya watakaomsindikiza mwimbaji huyo kwa sababu hivi sasa sambamba na Kilahiro na Kwaya ya Wakorintho wapili. “Uzinduzi wa albamu tatu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-k9DlK-dsVwk/ViSWwWDZFeI/AAAAAAAIA0Q/x1MwOSYqvVQ/s72-c/001.jpg)
WANAFUNZI WAASWA KWENDA SAMBAMBA NA TEKNOLOJIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-k9DlK-dsVwk/ViSWwWDZFeI/AAAAAAAIA0Q/x1MwOSYqvVQ/s640/001.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jOOhqeh8mpM/ViSWws3XtzI/AAAAAAAIA0U/sVB0MzdRvO8/s640/002.jpg)
11 years ago
GPLMASOMO NA MICHEZO INAVYOKWENDA SAMBAMBA
10 years ago
Vijimambo13 Oct
WAUMINI WAKATOLOKI WA DMV WAMKARIBISHA PADRI HONEST MUNISHI
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t35.0-12/10723027_972332669460490_1614579063_o.jpg?oh=dfba629c491d1a7aa0438788b5db49f8&oe=543D5CAF&__gda__=1413321487_a9bd5bb2a244a7ad0726ce7b91752c94)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t35.0-12/10720798_972332599460497_1405124213_o.jpg?oh=a0241b3ad2ae2a4cc0ae76af314deb67&oe=543C9DBA&__gda__=1413318298_528e18881ad8eff1ba20e98f17484493)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10572337_972332652793825_602635312_o.jpg?oh=b57bb9f210d7bd2712d3bbd0b5ade65a&oe=543DABE6&__gda__=1413306491_11bdf0448b7c13230e2a29c5810ad18c)
10 years ago
Vijimambo17 Jan
Tangazo la Misa - Kumsimika Fr. Honest Munishi, February 8, 2015, 10:00AM
Mnakaribishwa sana kwenye ibada ya misa takatifu itakaoongozwa na Baba Askofu kwa nia kumsimika Fr. Honest Munishi kama Paroko mpya wa kanisa Takaifu Katoliki la Mtakatifu Edward.
Ibada itafanyika katika kanisa takatifu katoliki la
Mtakatifu Edward (St Edward Parish)901 Poplar Grove St, Baltimore, MD 21216, Phone: (410) 362-2000
Tarehe 8 Februari 2015. Saa nne kamili asubuhi (10:00 AM).Karibuni sana na unaombwa uwataarifu na kuwakaribisha ndugu, marafiki na jamaa...
10 years ago
GPL25 Apr
10 years ago
Vijimambo11 Feb
PADRE MUNISHI AWEKWA WAKFU KUWA PAROKO KANISA KATOLIKI BALTIMORE MD
![IMG_0279](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/02/img_0279.jpg?w=714)
![IMG_0276](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/02/img_0276.jpg?w=714)
![IMG_0284](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/02/img_0284.jpg?w=714)
![IMG_0288](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/02/img_0288.jpg?w=714)
10 years ago
Dewji Blog14 Dec
Neno la leo: kwenda kupiga kura ni kwenda kuchagua
Blogger Maggid Mjengwa.
Ndugu zangu,
Leo ni siku ya kupiga kura kwenye Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji. Huu ni Uchaguzi Muhimu sana katika nchi. Uchaguzi huu ndio MSINGI wa siasa kubwa za Kitaifa.
Siasa ya nchi inaanzia kwenye Mtaa, Kijiji na Kitongoji. Na hakika, siku ya leo ilipaswa uwe ni uchaguzi pia kwa ngazi ya Manispaa na Halmshauri, kwa maana ya kuwachagua Madiwani.
Inahusu Serikali za Mitaa ( Local Goverment). Nimepata kuandika, kuwa Mahtama Ghandhi alipata kusema, kuwa...
10 years ago
Mwananchi02 Aug
Mwaitege kuwashika mashabiki
9 years ago
MichuziHAPPY BIRTHDAY BLOGGER FAUSTINE RUTA
Blogger mpiganaji wa Bukoba Faustine Ruta anapenda kumshukuru Mungu kwa kumfikisha leo hii Sept. 24, siku yake ya kuzaliwa. Anasema hakika Mungu ni mwema kwa kila jambo. Anaishukukuru familia yake, ndugu, jamaa, marafiki na majirani kwa kumsindikiza vyema katika safari yake hii ya maisha."Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kuishuhudia siku hii. Ni neema kubwa. Hakika napaswa kutambua kwamba kila siku katika maisha yangu ni dhamana ambayo natakiwa niitumie kwa mambo mema", Faustine amesema...