Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAUMINI WAKATOLOKI WA DMV WAMKARIBISHA PADRI HONEST MUNISHI

Pius Mtalemwa mkatoliki mwana DMV akiwa katika picha ya pamoja na Pdri Honest Munishi siku ya Jumapili Oct 12, 2014 siku waumini wa katoliki kanisa la kiswahili walipofanya hafla fupi ya kumkaribisha padri huyo Baltimore, Maryland nchini Marekani. Padri Honest Munishi amechukua nafasi ya padri Evod Shao aliyehamia Tanzania.Waumini wa Katoliki wakipata chakula katika hafla fupi ya kumkaribisha Padri Honest Munishi iliyofanyika Jumapili Oct 12, 2014 Baltimore, Maryland nchini Marekani.Waumini...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Tangazo la Misa - Kumsimika Fr. Honest Munishi, February 8, 2015, 10:00AM

Karibuni Sana Wapendwa Wote
Img3.jpg

Mnakaribishwa sana kwenye ibada ya misa takatifu itakaoongozwa na Baba Askofu kwa nia kumsimika Fr. Honest Munishi kama Paroko mpya wa kanisa Takaifu Katoliki la Mtakatifu Edward.
Ibada itafanyika katika kanisa takatifu katoliki la
Mtakatifu Edward (St Edward Parish)901 Poplar Grove St, Baltimore, MD 21216, Phone: (410) 362-2000
Tarehe 8 Februari 2015. Saa nne kamili asubuhi (10:00 AM).Karibuni sana na unaombwa uwataarifu na kuwakaribisha ndugu, marafiki na jamaa...

 

9 years ago

Vijimambo

Waumini wakatoliki wa DMV waadhimisha ibada ya misa ya Kiswahili Baltimore Md.

IMG_9991Padre Honest Munishi akiongoza ibada takatifu ya misa ya Kiswahili ambayo hufanyika mara moja kwa mwezi katika kanisa katoliki la St.Edwards huko Baltimore Md Jumapili Agosti 30,2015. IMG_9954Mwenyekiti wa Jumuiya ya wakatoliki DMV Bw.Pius Mutalemwa na mama Mutalemwa wakifuatilia ibada hiyo. IMG_9952Mrs.Kessi na mwanae wakifuatilia ibada. IMG_9956Bernadeta Kaiza akiongoza kwaya kwaya ya watoto. IMG_9975Bw.Stanley akifuatilia ibada hiyo. IMG_9977Bi.Aireen na wanawe katika ibada. IMG_9988Katibu Dan Stephen akitoa matangazo. IMG_9998Bw.Patrick...

 

10 years ago

Michuzi

Faustine Munishi kwenda sambamba na Mwaitege


MWIMBAJI wa Kimataifa anayeishi, Kenya Faustine Munishi anatarajia kumsindikiza mwenzake Bonny Mwaitege anayetarajia kuzindua albamu tatu kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.  Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama, Munishi ataungana na Mwaitege, uzinduzi utakaofanyika Agosti 2 mwaka huu.Msama alisema Munishi ni mojawapo  ya watakaomsindikiza mwimbaji huyo kwa sababu hivi sasa sambamba na Kilahiro na Kwaya ya Wakorintho wapili.  “Uzinduzi  wa  albamu tatu...

 

10 years ago

TheCitizen

Are we honest on ‘open government’?

Few years ago President Jakaya Kikwete promised more openness in the running of his government. We lauded the move. At the London Summit in 2013 and even the previous one in Brazil, few would have doubted his resolve.

 

10 years ago

TheCitizen

Wanted: transparent and honest intentions

Vodacom Tanzania’s decision to openly announce its revenue, expenditure, investment and profit as well as operational challenges for the 2014 calendar year sets high standards for companies in all sectors.

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge wa Chadema wamkaribisha Lowassa

>Baadhi ya wabunge wa Chadema wamezungumzia taarifa zinazosambaa zikieleza kuwapo mkakati wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuhamia katika chama hicho, wengi wao wakimkaribisha.

 

10 years ago

Vijimambo

PADRE MUNISHI AWEKWA WAKFU KUWA PAROKO KANISA KATOLIKI BALTIMORE MD

IMG_0279Baba padre Honest Munishi akiwekwa wakfu kuongoza kanisa la Katoliki la St.Edward Baltimore Md nchini Marekani katika misa iliyoongozwa na Askofu Dennis Madden wa jimbo la kuu la Baltimore, Jumapili Februari 8,2014. Padre Munishi amechukua nafasi iliyoachwa wazi na Padre Evod Shao aliyemaliza muda wake.IMG_0276Padre Munishi katika ibada. IMG_0284Padre Munishi akitia saini mbele ya askofu baada ya kusimikwa kuwa paroko mpya wa kanisa la Baltimore Md. IMG_0288Baba askofu wa jimbo kuu la Baltimore akimtambulisha padre...

 

9 years ago

Dewji Blog

Corruption remains a major cost for honest companies

Dan Heal

Daniel Heal, Senior Managing Director East Africa at Control Risks.

-34% of African businesses reported losing out on deals to corrupt competitors

Control Risks, the global business risk consultancy, today publishes its annual survey of business attitudes to corruption, comprising interviews with 824 companies worldwide.      

Corruption is still a major cost to international business. 34%* of respondents from Africa reported losing out on deals to corrupt competitors.

Corruption risks...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani