WAUMINI WAKATOLOKI WA DMV WAMKARIBISHA PADRI HONEST MUNISHI
Pius Mtalemwa mkatoliki mwana DMV akiwa katika picha ya pamoja na Pdri Honest Munishi siku ya Jumapili Oct 12, 2014 siku waumini wa katoliki kanisa la kiswahili walipofanya hafla fupi ya kumkaribisha padri huyo Baltimore, Maryland nchini Marekani. Padri Honest Munishi amechukua nafasi ya padri Evod Shao aliyehamia Tanzania.
Waumini wa Katoliki wakipata chakula katika hafla fupi ya kumkaribisha Padri Honest Munishi iliyofanyika Jumapili Oct 12, 2014 Baltimore, Maryland nchini Marekani.
Waumini...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo17 Jan
Tangazo la Misa - Kumsimika Fr. Honest Munishi, February 8, 2015, 10:00AM
Mnakaribishwa sana kwenye ibada ya misa takatifu itakaoongozwa na Baba Askofu kwa nia kumsimika Fr. Honest Munishi kama Paroko mpya wa kanisa Takaifu Katoliki la Mtakatifu Edward.
Ibada itafanyika katika kanisa takatifu katoliki la
Mtakatifu Edward (St Edward Parish)901 Poplar Grove St, Baltimore, MD 21216, Phone: (410) 362-2000
Tarehe 8 Februari 2015. Saa nne kamili asubuhi (10:00 AM).Karibuni sana na unaombwa uwataarifu na kuwakaribisha ndugu, marafiki na jamaa...
9 years ago
Vijimambo31 Aug
Waumini wakatoliki wa DMV waadhimisha ibada ya misa ya Kiswahili Baltimore Md.
![IMG_9991](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/08/img_9991.jpg?w=714)
![IMG_9954](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/08/img_9954.jpg?w=714)
![IMG_9952](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/08/img_9952.jpg?w=714)
![IMG_9956](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/08/img_9956.jpg?w=714)
![IMG_9975](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/08/img_9975.jpg?w=714)
![IMG_9977](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/08/img_9977.jpg?w=714)
![IMG_9988](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/08/img_9988.jpg?w=714)
![IMG_9998](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/08/img_9998.jpg?w=714)
11 years ago
Michuzi22 Jul
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KE3JCdvi5do/VaT7Hid73bI/AAAAAAAC8gI/dLio0Thz4zk/s72-c/aduivcd.jpg)
Faustine Munishi kwenda sambamba na Mwaitege
![](http://1.bp.blogspot.com/-KE3JCdvi5do/VaT7Hid73bI/AAAAAAAC8gI/dLio0Thz4zk/s400/aduivcd.jpg)
MWIMBAJI wa Kimataifa anayeishi, Kenya Faustine Munishi anatarajia kumsindikiza mwenzake Bonny Mwaitege anayetarajia kuzindua albamu tatu kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama, Munishi ataungana na Mwaitege, uzinduzi utakaofanyika Agosti 2 mwaka huu.Msama alisema Munishi ni mojawapo ya watakaomsindikiza mwimbaji huyo kwa sababu hivi sasa sambamba na Kilahiro na Kwaya ya Wakorintho wapili. “Uzinduzi wa albamu tatu...
10 years ago
TheCitizen17 May
Are we honest on ‘open government’?
10 years ago
TheCitizen19 Feb
Wanted: transparent and honest intentions
10 years ago
Mwananchi21 Jul
Wabunge wa Chadema wamkaribisha Lowassa
10 years ago
Vijimambo11 Feb
PADRE MUNISHI AWEKWA WAKFU KUWA PAROKO KANISA KATOLIKI BALTIMORE MD
![IMG_0279](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/02/img_0279.jpg?w=714)
![IMG_0276](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/02/img_0276.jpg?w=714)
![IMG_0284](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/02/img_0284.jpg?w=714)
![IMG_0288](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/02/img_0288.jpg?w=714)
9 years ago
Dewji Blog13 Oct
Corruption remains a major cost for honest companies
Daniel Heal, Senior Managing Director East Africa at Control Risks.
-34% of African businesses reported losing out on deals to corrupt competitors
Control Risks, the global business risk consultancy, today publishes its annual survey of business attitudes to corruption, comprising interviews with 824 companies worldwide.
Corruption is still a major cost to international business. 34%* of respondents from Africa reported losing out on deals to corrupt competitors.
Corruption risks...