Tanzania kufaidika na Mfuko wa Programu ya Maendeleo ya Kimataifa ya LFI
![](http://3.bp.blogspot.com/-hPLb-aUrFxs/VBhF9OurSnI/AAAAAAAGj9c/d45f3mfSzjM/s72-c/01.jpg)
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu kataka Wizara hiyo Dkt. Deogratius Mtasiwa alipokuwa katika mkutano na Katibu Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Fedha za Maendeleo ya Mitaji (UNCDF) nchini Judith Karl na wandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu kataka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMHE. BALOZI PHILIP MARMO AWEKA SAINI MKATABA WA MKOPO KUTOKA MFUKO WA MAENDELEO YA KIMATAIFA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fUTIJubUwxw/Xr0-7Jps3eI/AAAAAAALqOo/nGqix_dAVxocpk332gpr6XMjZQpc1-uzQCLcBGAsYHQ/s72-c/Pic-1-aAA-768x512.jpg)
WAJUMBE UMOJA WA WABUNGE WANAWAKE TANZANIA WASHIRIKI KIKAO CHA MAANDALIZI YA KUTATHMINI MAENDELEO YA PROGRAMU YA MALEZI JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-fUTIJubUwxw/Xr0-7Jps3eI/AAAAAAALqOo/nGqix_dAVxocpk332gpr6XMjZQpc1-uzQCLcBGAsYHQ/s640/Pic-1-aAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/Pic-bAA-1024x659.jpg)
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza jambo mbele ya Wajumbe wa Umoja wa Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG) wakati wa kikao cha Maandalizi ya Kutathmini Maendeleo ya Programu ya Malezi kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/Pic-2AA-1-1024x682.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gQvQvIg8ir0/U3OSkDIe7EI/AAAAAAAFhtQ/XaxMV5K_xIY/s72-c/unnamed+(26).jpg)
Mfuko wa Wanyamapori Tanzania wabuni miradi ya maendeleo
![](http://1.bp.blogspot.com/-gQvQvIg8ir0/U3OSkDIe7EI/AAAAAAAFhtQ/XaxMV5K_xIY/s1600/unnamed+(26).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DNSrrPHyBTg/U3OSln9tZSI/AAAAAAAFhtU/vKM_2RxfWBU/s1600/unnamed+(27).jpg)
9 years ago
Dewji Blog21 Nov
Jinsi Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) ulivyosaidia kujikwamua katika umasikini Tanzania
Mmoja wa wanufaikaji wa mradi wa kunusuru kaya maskini mkazi wa kijiji cha Mwanga tarafa ya Nduguti wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Agnes Samson,akionyesha mradi wa Mbuzi aliouanzisha kwa fedha za TASAF. Nyuma yake ni Mratibu wa TASAF wilaya ya Mkalama, Athumani Jumanne Dulle.
Watanzania wamekuwa wakipambana kila siku ili kijikwamua kutoka katika umasikini uliokithili wa kukosa hata milo mitatu na mahitaji muhimu kama afya , maji , malazi , mavazi na elimu. Serikali ya awamu ya nne...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EYXICsT0ySQ/XktrML4Q1CI/AAAAAAALd1g/fTqwgoYfwo81bAbUBa3GmuNa_9CGulnvwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MKURUGENZI MTENDAJI MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII AANIKA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KWA KAYA MASIKINI ZILIZOFIKIWA NA MFUKO HUO NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-EYXICsT0ySQ/XktrML4Q1CI/AAAAAAALd1g/fTqwgoYfwo81bAbUBa3GmuNa_9CGulnvwCLcBGAsYHQ/s1600/index.jpg)
MKURUGENZI Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Ladislaus Mwamanga amesema kuwa programu ya TASAF imetekelezwa katika awamu tatu na imekuwa ikitekeleza miradi mbalimbali katika ngazi ya jamii kwa lengo la kupunguza umasikini kwa msingi wa kutoa huduma za jamii katika sekta zote.
Utekelezaji huo umekuwa ukizingatia mahitaji halisi au kero za wananchi wenyewe kwa kushirikiana na vyombo vingine vya Serikali na kwamba awamu ya kwanza ya TASAF...
10 years ago
GPLMFUKO WA MAENDELEO YA JAMII TASAF WAKUTANA NA WADAU WA MAENDELEO JIJINI DSM
10 years ago
Dewji Blog21 Oct
Tanzania kuanikiza mafanikio ya LFI kwa mataifa 8
Mkuu wa ushauri wa ufundi wa Mfuko wa Umoja wa mataifa wa Ukuzaji Mitaji (UNCDF), Peter Malika akizungumza na washiriki wa mafunzo ya uandaaji wa miradi chini ya programu ya Jitihada za Mahalia za Utafutaji Fedha (LFI) unaosimamiwa na mfuko huo katika hoteli ya Serena mjini Dar es Salaam leo.(Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog).
Na Mwandishi wetu
MATAIFA manane yaliyopo katika nchi zinazoendelea zitaanikizwa mafanikio ya Tanzania katika utekelezaji wa programu ya Jitihada za Mahalia za...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BEZF91u9VOQ/VJqO6viUH1I/AAAAAAAG5f8/Lox9sldAm5E/s72-c/1220-nyota%2Balfajiri.jpg)
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii chachu ya Maendeleo Wilaya ya korogwe
![](http://4.bp.blogspot.com/-BEZF91u9VOQ/VJqO6viUH1I/AAAAAAAG5f8/Lox9sldAm5E/s1600/1220-nyota%2Balfajiri.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-F_abfF1h3Dc/VJqO7ptSFOI/AAAAAAAG5gE/ELosa9iKgS8/s1600/1239-maafisa%2Bwakiwa%2Bwatatu.jpg)