Mfuko wa Wanyamapori Tanzania wabuni miradi ya maendeleo
![](http://1.bp.blogspot.com/-gQvQvIg8ir0/U3OSkDIe7EI/AAAAAAAFhtQ/XaxMV5K_xIY/s72-c/unnamed+(26).jpg)
Kaimu mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Kuhifadhi Wanyamapori Bw. John Muya akiwaeleza waandishi wa habari mafanikio yaliyofikiwa na Mfuko huo katika Kupambana na Ujangili katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
Kaimu mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Kuhifadhi Wanyamapori Bw. John Muya akitoa wito kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kushiriki katika mapambano dhidi ya ujangili ili kulinda rasilimali za Taifa ambazo ziko hatarini Kutoweka,Kulia kwake ni Afisa Habari wa Idara ya Habari...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xOY1FTblYL0/VTdBEfNcW3I/AAAAAAAHSb4/TW4kUw7i4Ic/s72-c/Pix%2B1.jpg)
Miradi inayokopesheka chanzo cha kupata Mkopo kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Vijana — Riwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-xOY1FTblYL0/VTdBEfNcW3I/AAAAAAAHSb4/TW4kUw7i4Ic/s1600/Pix%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZSKFhkl36PQ/VTdBEVLmUvI/AAAAAAAHSbw/NelnzHcYeg8/s1600/Pix%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hPLb-aUrFxs/VBhF9OurSnI/AAAAAAAGj9c/d45f3mfSzjM/s72-c/01.jpg)
Tanzania kufaidika na Mfuko wa Programu ya Maendeleo ya Kimataifa ya LFI
![](http://3.bp.blogspot.com/-hPLb-aUrFxs/VBhF9OurSnI/AAAAAAAGj9c/d45f3mfSzjM/s1600/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-biNt2wvakAo/VBhFRzgM-WI/AAAAAAAGj9M/U9LTb6cBxgo/s1600/02.jpg)
9 years ago
VijimamboMKUTANO KATI YA SERIKALI YA TANZANIA NA YA JAPANI JUU YA MIRADI YA MAENDELEO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3p3KMvhdZmY/VMCs0bPld0I/AAAAAAAG-1k/mxPAP9T0878/s72-c/3.jpg)
Wananchi wa maeneo ya miradi ya maji watakiwa kutozembea kujadili maendeleo ya miradi
![](http://1.bp.blogspot.com/-3p3KMvhdZmY/VMCs0bPld0I/AAAAAAAG-1k/mxPAP9T0878/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jzdmupVD07I/VMCswcuD1RI/AAAAAAAG-0w/iflIDowcVMc/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DiQhVYP9zj0/VMCs2uskuQI/AAAAAAAG-2U/EiFI6RtU3Is/s1600/7.jpg)
9 years ago
Dewji Blog21 Nov
Jinsi Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) ulivyosaidia kujikwamua katika umasikini Tanzania
Mmoja wa wanufaikaji wa mradi wa kunusuru kaya maskini mkazi wa kijiji cha Mwanga tarafa ya Nduguti wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Agnes Samson,akionyesha mradi wa Mbuzi aliouanzisha kwa fedha za TASAF. Nyuma yake ni Mratibu wa TASAF wilaya ya Mkalama, Athumani Jumanne Dulle.
Watanzania wamekuwa wakipambana kila siku ili kijikwamua kutoka katika umasikini uliokithili wa kukosa hata milo mitatu na mahitaji muhimu kama afya , maji , malazi , mavazi na elimu. Serikali ya awamu ya nne...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EYXICsT0ySQ/XktrML4Q1CI/AAAAAAALd1g/fTqwgoYfwo81bAbUBa3GmuNa_9CGulnvwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MKURUGENZI MTENDAJI MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII AANIKA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KWA KAYA MASIKINI ZILIZOFIKIWA NA MFUKO HUO NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-EYXICsT0ySQ/XktrML4Q1CI/AAAAAAALd1g/fTqwgoYfwo81bAbUBa3GmuNa_9CGulnvwCLcBGAsYHQ/s1600/index.jpg)
MKURUGENZI Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Ladislaus Mwamanga amesema kuwa programu ya TASAF imetekelezwa katika awamu tatu na imekuwa ikitekeleza miradi mbalimbali katika ngazi ya jamii kwa lengo la kupunguza umasikini kwa msingi wa kutoa huduma za jamii katika sekta zote.
Utekelezaji huo umekuwa ukizingatia mahitaji halisi au kero za wananchi wenyewe kwa kushirikiana na vyombo vingine vya Serikali na kwamba awamu ya kwanza ya TASAF...
10 years ago
GPLMFUKO WA MAENDELEO YA JAMII TASAF WAKUTANA NA WADAU WA MAENDELEO JIJINI DSM
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10