Rais Kikwete umeyasikia ya Tamisemi?
Tumelazimika tena leo katika kipindi kisichozidi wiki mbili kuzungumzia ufisadi unaoendelea kuitafuna Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi). Mwishoni mwa mwezi uliopita, tulichapisha habari za kushtusha kwamba Sh644 milioni kati ya Sh35 bilioni zilizotolewa na wahisani kutoka nchi sita za Magharibi kugharimia awamu ya pili ya Mpango wa Maboresho ya Serikali za Mitaa (LGRP) zimetafunwa na mafisadi wizarani humo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboRais Kikwete afungua Mkutano wa Wadau wa Barabara wa TAMISEMI
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Mnyika akosoa Tamisemi kuhamishiwa ofisi ya Rais
Mbunge wa jimbo la Kibamba, John Mnyika amekosoa uamuzi wa Rais John Magufuli wa kuhamishia wizara inayohusu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) chini ya ofisi yake, akidai kitendo hicho kimelenga kuvibana vyama vya upinzani ambavyo vimeshinda halmashauri nyingi nchini.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s72-c/shemeji.jpg)
Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s640/shemeji.jpg)
RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.
Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-i_MW29iAiY0/VoJfkm5MFgI/AAAAAAAAATM/c69VrdF193A/s72-c/DSC_4362.jpg)
SERIKALI KUPITIA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII, TAMISEMI NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS MAZINGIRA NA MUUNGANO KUANZISHA PROGRAMU YA PAMOJA WA UPANDAJI MITI
![](http://3.bp.blogspot.com/-i_MW29iAiY0/VoJfkm5MFgI/AAAAAAAAATM/c69VrdF193A/s640/DSC_4362.jpg)
9 years ago
Mwananchi05 Jan
NANI NI NANI SERIKALI YA JPM: George Simbachawene, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tamisemi
George Boniface Taguluvala Simbachawene ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) katika Serikali ya Awamu ya Tano.
9 years ago
MichuziNAIBU Waziri ofisi ya Rais, Tamisemi, Selemani Jaffo atoa siku 27 kwa wakurugenzi wa halmashauri nchini kuanza kutumia mfumo wa kielekroniki
9 years ago
Mwananchi22 Dec
NANI NI NANI SERIKALI YA JPM?: Selemani Jafo – Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora
Jafo Selemani Saidi ndiye Naibu Waziri wa TAMISEMI, Utumishi na Utawala Bora. Wizara hii iko chini ya Ofisi ya Rais katika Serikali ya Awamu ya Tano, ameteuliwa katika baraza la mwanzo la mawaziri la Rais John Magufuli.
10 years ago
VijimamboRAIS JACOB ZUMA AKUTANA NA RAIS KIKWETE IKULU-MAKAMU WA RAIS AMSINDIKIZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-MA1_ZFohI7c/VJgW4lraY4I/AAAAAAAAZho/geWMTtNN3d0/s640/D92A4124.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wEfe-eW_P48/U_G8E8LO3SI/AAAAAAACnmE/9JtU4Jjc6N8/s72-c/unnamed.jpg)
Rais Kikwete azungumza na Rais Zuma na Rais Kabila Zimbabwe
![](http://3.bp.blogspot.com/-wEfe-eW_P48/U_G8E8LO3SI/AAAAAAACnmE/9JtU4Jjc6N8/s1600/unnamed.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania