Mnyika akosoa Tamisemi kuhamishiwa ofisi ya Rais
Mbunge wa jimbo la Kibamba, John Mnyika amekosoa uamuzi wa Rais John Magufuli wa kuhamishia wizara inayohusu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) chini ya ofisi yake, akidai kitendo hicho kimelenga kuvibana vyama vya upinzani ambavyo vimeshinda halmashauri nyingi nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-i_MW29iAiY0/VoJfkm5MFgI/AAAAAAAAATM/c69VrdF193A/s72-c/DSC_4362.jpg)
SERIKALI KUPITIA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII, TAMISEMI NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS MAZINGIRA NA MUUNGANO KUANZISHA PROGRAMU YA PAMOJA WA UPANDAJI MITI
![](http://3.bp.blogspot.com/-i_MW29iAiY0/VoJfkm5MFgI/AAAAAAAAATM/c69VrdF193A/s640/DSC_4362.jpg)
9 years ago
Mwananchi05 Jan
NANI NI NANI SERIKALI YA JPM: George Simbachawene, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tamisemi
9 years ago
MichuziNAIBU Waziri ofisi ya Rais, Tamisemi, Selemani Jaffo atoa siku 27 kwa wakurugenzi wa halmashauri nchini kuanza kutumia mfumo wa kielekroniki
9 years ago
Mwananchi22 Dec
NANI NI NANI SERIKALI YA JPM?: Selemani Jafo – Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora
10 years ago
Dewji Blog13 Nov
Rais Kikwete kuhamishiwa Hoteli Maalum
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ambaye anaendelea na matitabu yake nchini Marekani, jana, Jumatano, Novemba 12, 2014, anatarajiwa kutoka wodini katika Hospitali ya Johns Hopkins na kuhamishiwa kwenye Hoteli Maalum ambako ataendelea kuwa chini ya uangalizi wa madaktari.
Rais Kikwete amekuwa kwenye Hospitali ya Johns Hopkins tokea Jumamosi iliyopita wakati alipofanyikwa upasuaji wa tezi dume (prostrate) na afya yake imekuwa inaimarika kiasi cha kuanza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bWw2yLhOQNo/XlVvladRffI/AAAAAAALfZs/AYdtHBXFfqsvAeNNWAFWOsCvvP1qmiY2ACLcBGAsYHQ/s72-c/4b718d99-9ef2-405f-8472-d120ea54e217.jpg)
TAMISEMI YAKAMILISHA UJENZI WA JENGO LAO LA OFISI KUU, MAKAO MAKUU YA TARURA
Hii imejidhirisha baada ya Waziri anayeongoza wizara hiyo kuwapongeza watu wake kwa kufanikisha ujenzi wa majengo mawili ya Kisasa katika Mji wa Serikali.
Majengo hayo ni jengo la Ofisi kuu ya TAMISEMI na jengo la Makao Makuu ya TARURA.
Majengo hayo ambayo yamejengwa kwa maelekezo na usimamizi wa Waziri Jafo yamekuwa ni kivutio kikubwa...
9 years ago
Habarileo27 Sep
Magufuli akosoa mawaziri ‘wanaopora’ sifa za Rais
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi, Dk John Magufuli, amekosoa mawaziri na viongozi wanaojivunia mafanikio ya majukumu waliyokabidhiwa, wakati mafanikio hayo ni haki ya kiongozi aliyemteua katika majukumu husika.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CYqE0xCwXUo/VaYlj1IyKBI/AAAAAAACfr8/EHfv3Jfp5Z8/s72-c/03.jpg)
MGOMBEA MWENZA, SAMIA SULUHU, WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO) AWAAGA NA KUWASHUKURU WAFANYAKAZI WENZAKE OFISI YA MAKAMU WA RAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-CYqE0xCwXUo/VaYlj1IyKBI/AAAAAAACfr8/EHfv3Jfp5Z8/s640/03.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HSnE6FiMaPA/VaYnvictEfI/AAAAAAACfvg/yEb7H3eNWx8/s640/01.jpg)
Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisoma...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vIxfokiw0hM/VOMupozm4jI/AAAAAAACz6c/nOr2MbcguW8/s72-c/New%2BPicture%2B(3).png)
WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS DKT.MARY NAGU ATEMBELEA OFISI ZA TASAF
![](http://1.bp.blogspot.com/-vIxfokiw0hM/VOMupozm4jI/AAAAAAACz6c/nOr2MbcguW8/s1600/New%2BPicture%2B(3).png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wwpTPduKvcg/VOMunInZK_I/AAAAAAACz6U/Oe_x2FCEmsw/s1600/New%2BPicture%2B(1).png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1bY29WSN2do/VOMumAM9HwI/AAAAAAACz6M/_IBsSTui9mM/s1600/New%2BPicture%2B(2).png)