Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JB Atoa Tahadhari Kuhusu ya Matapeli Hawa

Tahadhari: kuna watu wametengeneza akaunti feki yenye picha zangu.na wanasema kwamba Jerusalem inahitaji wasanii wapya.na wanawapigia simu watu huku wakiwatoza kiasi cha tsh 45000 hadi laki kama ada ya kujiandikisha.watu hawa ni matapeli.na wamechukua hela nyingi kwa watu.jamani hatuna utaratibu huo na usikubali kutoa pesa...Fb watu wanaitumia vibaya sana..

By:JB on Instagram

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Baraka Shelukindo atoa tahadhari juu ya matapeli wa mitandaoni

unnamed (4)

Dear Friends

Napenda kutoa taarifa kwamba kumekuwa na tapeli mmoja ambae amekuwa akitumia picha zangu kwa kufungua facebook accounts kwa majina mbali mbali kama Justin Stan,James Brown,Onesmo,Felister Julius, Anthony Yohana au Yohana Anthony na mengineyo mengi.

Mtu huyu amekuwa akijenga urafiki na watu wasiotambua kuwa ni TAPELI katika mtandao wa kijamii wa Facebook

Urafiki ukiwa umekamilika kwa maana ya friends request kutoka kwake and acceptance kutoka kwa victim amekuwa akiwaambia...

 

10 years ago

GPL

BARAKA SHELUKINDO ATOA TAHADHARI JUU YA MATAPELI WA MITANDAONI‏

Dear Friends,  Napenda kutoa taarifa kwamba kumekuwa na tapeli mmoja ambae amekuwa akitumia picha zangu kwa kufungua facebook accounts kwa majina mbalimbali kama Justin Stan, James Brown,Onesmo,Felister Julius, Anthony Yohana au Yohana Anthony na mengineyo mengi. Mtu huyu amekuwa akijenga urafiki na watu wasiotambua kuwa ni TAPELI katika mtandao wa kijamii wa Facebook Urafiki ukiwa umekamilika kwa maana ya friends request...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Matapeli hawa wasakwe

MOJA ya habari zilizimo kwenye Gazeti hili leo, inazungumzia kuibuka kwa kundi la matapeli linaloliza watu mamilioni ya fedha kwa kisingizio kwamba wanaweza kuwasaidia kupata ajira katika baadhi ya idara...

 

10 years ago

Bongo Movies

Natasha Atoa Wito Kwa Makampuni ya Filamu Kufanya Kazi na Watoto Hawa

Staa wa Bongo Movies, Susan Humba ‘Natasha’ amewataka wenye makampuni ya uandaaji wa filamu za bongo kuwatumia watoto wenye vipaji ambao wana ulemavu wa viungo.

Natasha alitoa kauli hiyo kwa watoto hao wenye ulemavu wa viungo wanaosoma Shule ya Sekondari Jangwani, jijini Dar es Salaam, baada ya kuonyesha uwezo wao wa kuigiza mbele yake.

Wanafunzi hao walionesha vipaji vyao mwishoni mwa wiki iliyopita, wakati wa uzinduzi wa shirika lisilo la kiserikali la Save Vulnerable Foundation (SVF),...

 

5 years ago

CCM Blog

DC TANO MWERA ATUMA UJUMBE WA PASAKA, ATOA TAHADHARI DHIDI YA CORONA BUSEGA

BUSEGA, Simiyu
MKUU wa Wilaya ya Busega iliyopo Mkoani Simiyu ametoa ujumbe wa Pasaka kwa Wananchi wote na kuhimiza wananchi kuzingatia tahadhari zinazotolewa na Wataalamu wa Afya.

"Nachukua nafasi hii kuwatakia Kheri ya Pasaka wana Busega na Watanzania wote kwa ujumla. 

Tusherehekee sikukuu zetu kwa uangalifu mkubwa huku tukifata maelekezo ya Wataalam wetu wa Afya, epuka mikusanyiko isiyokuwa ya lazima, tuzingatie kunawa mikono kila wakati, au kutumia vitakasa mikono ( sanitizer).

"Kaa nyumbani...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Zanzibar atoa tahadhari juu ya ugonjwa wa KIPINDUPINDU.

KIPINDUWMkurugenzi Kinga na elimu ya afya Dkt. Mohd Dahoma akizungumza na waandishi wa Habari  Ofisini kwake.

KIPINDUZMkurugenzi Kinga na elimu ya afya Dkt. Mohd Dahoma akizungumza na waandishi wa Habari  Ofisini kwake Wizara ya Afya juu tahadhari ya ukonjwa wa Kipindupindu hivyo amewashauri wananchi kununua chakula kilicho hifadhiwa vizuri ama chakula kimoto na kujiepusha kutumia juice zinazotengenezwa kienyeji. Picha zote na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.

Na Ramadhani Ali/Maelezo Zanzibar 

[ZANZIBAR]....

 

11 years ago

BBCSwahili

UG yatoa tahadhari kuhusu Al Shabaab

Uganda imetoa tahadhari kwamba kundi la wanamgambo la Al Shabaab linapanga kutumia malori ya mafuta kama mabomu katika mashambulizi yao nchini humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani