RATIBA YA EPL YATOLEWA
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Ratiba ya mechi za EPL yatolewa
Chelsea itaanza utetezi wa taji la ligi ya Uingereza wakati itakapoikaribisha nyumbani Swansea katika wikiendi ya tarehe 8-9 mwezi Agosti.
10 years ago
GPL9 years ago
Global Publishers02 Jan
10 years ago
Africanjam.ComRATIBA KAMILI YA LIGI KUU YA UINGEREZA "EPL" 2015/16
Msimu mpya wa ligi kuu ya Uingereza 2015-2016 maaufu kama EPL unatarajia kuanza kutimua vumbi mwezi Agosti 8 mwaka huu kwa vilabu vyote 20 ambavyo vinashiriki ligi hiyo kukipiga kwenye siku ya kwanza ya ufunguzi wa ligi hiyo ambapo klabu ya Chelsea waliibuka mabingwa wa msimu uliopita wa 2014-2015.
Ratiba ya msimu mzima wa EPL 2015-2016
August 8Bournemouth v Aston VillaArsenal v West Ham UnitedChelsea v Swansea CityEverton v WatfordLeicester City v SunderlandManchester United v Tottenham...
Ratiba ya msimu mzima wa EPL 2015-2016
August 8Bournemouth v Aston VillaArsenal v West Ham UnitedChelsea v Swansea CityEverton v WatfordLeicester City v SunderlandManchester United v Tottenham...
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Twiga Stars yatolewa
Ndoto ya Tanzania kucheza fainali za Afrika za wanawake mwaka huu zimefutika baada ya Twiga Stars kulazimishwa sare 1-1 na Zambia na hivyo kuondolewa kutolewa kwa jumla ya mabao 3-2 jana kwenye Uwanja Azam Complex.
10 years ago
BBCSwahili10 Mar
Man U yatolewa kombe la FA na Arsenal
Timu ya Arsenal usiku wa kuamkia leo imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la FA baada ya kuwalaza mahasimu wao Manchester United kwa jumla ya mabao 2 - 1.
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Tahadhari ya njaa yatolewa Kenya
Serikali ya Kenya imetoa tahadhari kuhusu tisho la nja kwa idadi kubwa ya watu kutokana na upungufu wa chakula.
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
Picha ya mshambuliaji yatolewa Thailand
Polisi nchini Thailand wametoa picha ya mwanamme mmoja ambaye anahusishwa na mlipuko ambao uliukumba mjini wa Bangkok
10 years ago
BBCSwahili06 Nov
Chanjo ya Ebola yatolewa Mali
Kundi la wafanyakazi wa afya nchini Mali leo wanapewa chanjo ya majaribio dhidi ya ugonjwa wa Ebola.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania