Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umoja wa Mataifa waonya njaa Somalia

Umoja wa Mataifa umeonya kwamba huenda nchi ya Somalia ikatumbukia tena katika janga la njaa kama lililotokea mwaka wa 2011

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Umoja wa Mataifa waonya juu ya baa la njaa la 'Kibiblia'

Namba ya watu watakaokumbwa na baa la njaa duniani kuongezeka mara mbili.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uvamizi wa nzige: Umoja wa Mataifa watoa tahadhari ya njaa katika Ethiopia, Kenya, Uganda, Tanzania na Somalia

Kuharibiwa kwa tani za mazao na nzige kunaweza kusababisha mzozo wa chakula , wasema Umoja wa Mataifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Umoja wa Mataifa waonya hatari ya Ebola

Umoja wa Mataifa umesema ugonjwa wa Ebola bado unaweza kuendelea kusambaa duniani kote iwapo hautadhibitiwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watoto 50,000 wakumbwa na njaa Somalia

Zaidi ya watoto 50,000 wa Somalia wenye matatizo ya utapia mlo wamo katika hatari ya kufa, miaka mitatu tu baada ya kipindi kibaya cha ukame kukumba taifa hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 9 wa Umoja wa Mataifa wauawa

Ujumbe wa Umoja wa mataifa nchini Mali unasema kuwa wanajeshi tisa wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wameuawa nchini Mali.

 

9 years ago

Mtanzania

Chadema yamshtaki JK Umoja wa Mataifa

Mallya-wa-Chadema--620x309NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM

MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mallya, amesema wamemshtaki Rais Jakaya Kikwete kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-Moon, kutokana na kauli ya kuwatisha wanaotaka kulinda kura kwamba wataona.

Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu sheria inavyoruhusu wananchi wenye shughuli za aina gani wakae ndani ya mita 200 na wale wanaoruhusiwa kukaa nje ya mita 200.

“Kifungu cha sheria...

 

10 years ago

BBCSwahili

Umoja wa Mataifa kuchunguza kashfa

Umoja wa Mataifa umeunda kamati huru kuchunguza kashfa ya udhalilishaji watoto nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati

 

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA KUTOKA UMOJA WA MATAIFA

Balozi Tuvako Manongi ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Sita ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, akimkaribisha Rais wa Baraza Kuu la 69 la Umoja wa Mataifa, Bw. Sam Kutesa ( wa kwanza kushoto) kuwazungumza wajumbe wa Kamati hiyo ya Sita ambayo jukumu lake ni kuratibu na kuendesha mijadala yote inayohusu masuala ya sheria. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndiyo mwenyekiti wa Kamati hiyo kwa kipindi cha mwaka moja. Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa amekuwa akitembelea na...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete anguruma Umoja wa Mataifa

RAIS Jakaya Kikwete amesema kwamba Tanzania iko tayari kushirikiana na wanachama wote wa Umoja wa Mataifa (UN) kufikia makubaliano ya malengo mapya ya maendeleo baada ya malengo ya awali (Malengo ya Milenia- MDG) kufikia hatima yake mwaka wa kesho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani