Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto 50,000 wakumbwa na njaa Somalia

Zaidi ya watoto 50,000 wa Somalia wenye matatizo ya utapia mlo wamo katika hatari ya kufa, miaka mitatu tu baada ya kipindi kibaya cha ukame kukumba taifa hilo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Milioni 20 wakumbwa na njaa Sahel

Umoja wa Mataifa unaomba zaidi ya dola bilioni 2 kuweza kuwapa watu milioni 20 chakula katika kanda ya Sahel barani Afrika.

 

11 years ago

BBCSwahili

Umoja wa Mataifa waonya njaa Somalia

Umoja wa Mataifa umeonya kwamba huenda nchi ya Somalia ikatumbukia tena katika janga la njaa kama lililotokea mwaka wa 2011

 

5 years ago

BBCSwahili

Uvamizi wa nzige: Umoja wa Mataifa watoa tahadhari ya njaa katika Ethiopia, Kenya, Uganda, Tanzania na Somalia

Kuharibiwa kwa tani za mazao na nzige kunaweza kusababisha mzozo wa chakula , wasema Umoja wa Mataifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Njaa shuleni, tunapeleka ujumbe gani kwa watoto?

Hoja yangu wiki iliyopita ni Serikali kutelekeza shule zake hadi inafikia hatua ya kukosa chakula na shule kufungwa ili watoto warudi nyumbani kukaa bila cha kufanya.

 

10 years ago

Mwananchi

Njaa shuleni, tunapeleka ujumbe gani kwa watoto wetu?

WIKI kadha zilizopita tulishuhudia watoto wetu wakikatishwa masomo na kurudishwa nyumbani kwa sababu ya kukosa chakula shuleni. Pia baadhi ya shule na vyuo mlo wao ulibadilishwa; wakalizimika kula chakula mara chache ya utaratibu uliozoeleka au kula chakula chenye viwango duni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto elfu 250 huenda wakafa kwa njaa Sudan

Takriban watoto laki mbili u nusu wamo katika hatari ya kufa katika kipindi cha miezi kadhaa ijayo iwapo mashirika ya utoaji misaada, hayatafikisha misaada kwa watu walio na mahitaji.

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

5 years ago

BBCSwahili

Watoto wenye miaka mitatu na minne wabakwa Somalia

Binamu wawili walivamiwa na wabakaji wakati wakirejea kutoka shule na sasa wanahitaji kufanyiwa upasuaji mkubwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Compassion yasomesha watoto 70,000

SHIRIKA la kimataifa la Compassion linalofanya kazi na madhehebu ya Kikristo nchini, limefadhili wanafunzi 70,000 wanaosoma shule na vyuo mbalimbali ndani na nje ya nchi. Akizungumzia ufadhili huo jana alipokutana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani