Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Compassion yasomesha watoto 70,000

SHIRIKA la kimataifa la Compassion linalofanya kazi na madhehebu ya Kikristo nchini, limefadhili wanafunzi 70,000 wanaosoma shule na vyuo mbalimbali ndani na nje ya nchi. Akizungumzia ufadhili huo jana alipokutana...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Compassion kusomesha wanafunzi 70,000

SHIRIKA la kimataifa la Compassion linatarajia kutumia zaidi ya sh bilioni 41 hadi Juni mwaka huu katika kutekeleza miradi yake ikiwemo kuwasomesha wanafunzi 70,087 katika shule na vyuo mbalimbali ndani...

 

10 years ago

Dewji Blog

Konyagi yasomesha watoto wa wakulima wa Zabibu Dodoma

 Mratibu wa Mpango wa Somesha mtoto wa Mkulima wa zabibu ulidhaminiwa na Tanzania Distillaries LTD (TDL) Saimon Chibehe akizungumza jambo na wakulima wa zabibu pamoja na wanafunzi wa Kata ya Handari wilayani Chamwino, Mkoani Dodoma mwishoni mwa wiki.

 Mratibu wa Mpango wa Somesha Mtoto wa Mkulima wa zabibu unaodhaminiwa na Kiwanda cha Konyagi cha  Tanzania Distillaries LTD (TDL), Saimon Chibehe akizungumza jambo akizungumza na Wazazi, Walezi ambao ni wakulima wa zabibu pamoja na wanafunzi...

 

11 years ago

Michuzi

WATOTO 287 WAFADHILIWA MASOMO NA COMPASSION IRINGA

 Mgeni Rasmi Daniel Kadinde akimkabidhi zawadi mwanafunzi Monalisa Sungwa aliyefanya vizuri katika masomo yake. Monalisa ni mmoja ya wanafunzi anayesomeshwa na Compassion. Mgeni rasmi Daniel Kadinde akizungumza na watoto wahitaji katika ukumbi wa kanisa la Anglikana Ipogoro katika siku ya shukrani.  baadhi ya watoto wenye uhitaji wakifatilia kwa makini burudani iliyokuwa ikitolewa na kwaya ya watoto wenzao wa Ebeneza.   Kwaya ya watoto Ebeneza akitumbuiza katika siku ya kutoa shukrani...

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Michuzi

COMPASSION KUTUMIA BILIONI 41.8 KWA MIRADI

Mkurugenzi wa shirika la Compassion Tanzania,Mchungaji Joseph Mayala alipokuwa akizindua miradi mbalimbali Iringa. (picha na Denis Mlowe) ======  ======  =======
Na Denis Mlowe,Iringa.
SHIRIKA la kimataifa la Compassion linalofanya kazi na madhehebu ya Kikristo nchini linatarajia kutumia zaidi ya sh. Bilioni 41.8 hadi Juni mwaka huu katika kutekeleza miradi yake ikiwemo kuwasomesha  wanafunzi 70,087 wanaosoma shule na vyuo mbalimbali ndani na nje ya nchi.   Hayo yamesemwa na Mkurugenzi...

 

10 years ago

Habarileo

Matukio 24,000 ya unyanyasaji watoto yaripotiwa

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Dk Pindi ChanaWIZARA ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto imesema kuna kesi zaidi ya 24,000 zinahusu matukio ya unyanyasaji na ukatili wa haki za watoto katika kipindi cha mwaka 2013 na Februari, mwaka jana.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watoto 50,000 wakumbwa na njaa Somalia

Zaidi ya watoto 50,000 wa Somalia wenye matatizo ya utapia mlo wamo katika hatari ya kufa, miaka mitatu tu baada ya kipindi kibaya cha ukame kukumba taifa hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watoto 35,000 kupewa chanjo Bunda

ZAIDI ya watoto 35,000 watapatiwa chanjo ya surua na kifua kikuu katika Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, katika zoezi lililoanza hivi karibuni baada ya kuzinduliwa katika Wiki ya Chanjo Duniani....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kesi 5,000 za unyanyasaji watoto zaripotiwa

ZAIDI ya kesi 5,000 za unyanyasaji wa watoto zimeripotiwa katika Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa) ambapo kati ya hizo, kesi 1,400 zimeshughulikiwa huku kesi 800 zikisuluhishwa na watoto hao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani