WATOTO 287 WAFADHILIWA MASOMO NA COMPASSION IRINGA
Mgeni Rasmi Daniel Kadinde akimkabidhi zawadi mwanafunzi Monalisa Sungwa aliyefanya vizuri katika masomo yake. Monalisa ni mmoja ya wanafunzi anayesomeshwa na Compassion.
Mgeni rasmi Daniel Kadinde akizungumza na watoto wahitaji katika ukumbi wa kanisa la Anglikana Ipogoro katika siku ya shukrani.
baadhi ya watoto wenye uhitaji wakifatilia kwa makini burudani iliyokuwa ikitolewa na kwaya ya watoto wenzao wa Ebeneza.
Kwaya ya watoto Ebeneza akitumbuiza katika siku ya kutoa shukrani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Feb
Compassion yasomesha watoto 70,000
SHIRIKA la kimataifa la Compassion linalofanya kazi na madhehebu ya Kikristo nchini, limefadhili wanafunzi 70,000 wanaosoma shule na vyuo mbalimbali ndani na nje ya nchi. Akizungumzia ufadhili huo jana alipokutana...
10 years ago
Dewji Blog26 May
Shule ya bweni kwa watoto wa Kihadzabe wafadhiliwa maji
Wanafunzi wa Kihadzabe, wakiwa ndani ya bweni, wanakosoma katika shule ya msingi Munguli, iliyopo wilaya ya Mkalama, Mkoani Singida, baada ya agizo la Mkuu wa Mkoa huo Dk. Parseko Kone kuamuru wajengewe bweni, ili waondokane na maisha ya kale, kwa kuishi wakitegemea nyama, asali, mizizi na matunda pori, kama chakula chao kikuu-(Picha na Nathaniel Limu-Singida).
Na Nathaniel Limu, Mkalama
ZAIDI ya watu 6,000, wakazi wa kijiji cha Munguli, Wilaya ya Mkalama, Mkoani Singida, watanufaika na...
9 years ago
BBCSwahili08 Sep
Visa vya watoto kukatiza masomo Tanzania
11 years ago
MichuziWAZAZI WEZESHENI WATOTO WAKIKE KUPENDA MASOMO YA SAYANSI - MAEMBE
9 years ago
StarTV31 Dec
Serikali za Vijiji kuwachukulia hatua wazazi, walezi wa watoto watakaoshindwa kuhudhuria masomo
Serikali za Vijiji mkoani Singida zimetakiwa kuhakikisha kuwa zinawachukulia hatua za kisheria wazazi na walezi wa watoto watakaoshindwa kuhudhuria masomo hadi kuhitimu baada ya kuandikishwa kuanza elimu ya msingi pamoja na waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwakani.
Mkuu wa mkoa huo Dokta Parseko Kone ametoa agizo hilo baada ya kubainika kuwa katika Wilaya ya Mkalama pekee, jumla ya wanafunzi 383 wa shule za Msingi na Sekondari wameacha masomo yao kwa kipindi cha kuanzia Januari...
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Wito wa Serikali kwa wazazi; Wahamasisheni watoto wa kike kupenda masomo ya sayansi
10 years ago
Mwananchi17 Mar
Takukuru yatangaza majina 287 ya wala rushwa
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8YBLXHGhe3s/VkC9PoEBv8I/AAAAAAAAFb8/_kACxmKx1J8/s72-c/BL1.jpg)
KAMPUNI YA TTCL YAWASAIDIA WATOTO VIFAA VYA MASOMO KITUO CHA AWALI LUKEMA VINGUNGUTI
![](http://4.bp.blogspot.com/-8YBLXHGhe3s/VkC9PoEBv8I/AAAAAAAAFb8/_kACxmKx1J8/s640/BL1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PGdbcnS0S9s/VkC9U4RVQiI/AAAAAAAAFcY/xgkCd8kbmu8/s640/BL5.jpg)
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
Utafiti: Wanamgambo wafadhiliwa S.Kusini