Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATOTO 287 WAFADHILIWA MASOMO NA COMPASSION IRINGA

 Mgeni Rasmi Daniel Kadinde akimkabidhi zawadi mwanafunzi Monalisa Sungwa aliyefanya vizuri katika masomo yake. Monalisa ni mmoja ya wanafunzi anayesomeshwa na Compassion. Mgeni rasmi Daniel Kadinde akizungumza na watoto wahitaji katika ukumbi wa kanisa la Anglikana Ipogoro katika siku ya shukrani.  baadhi ya watoto wenye uhitaji wakifatilia kwa makini burudani iliyokuwa ikitolewa na kwaya ya watoto wenzao wa Ebeneza.   Kwaya ya watoto Ebeneza akitumbuiza katika siku ya kutoa shukrani...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Compassion yasomesha watoto 70,000

SHIRIKA la kimataifa la Compassion linalofanya kazi na madhehebu ya Kikristo nchini, limefadhili wanafunzi 70,000 wanaosoma shule na vyuo mbalimbali ndani na nje ya nchi. Akizungumzia ufadhili huo jana alipokutana...

 

10 years ago

Dewji Blog

Shule ya bweni kwa watoto wa Kihadzabe wafadhiliwa maji

IMG_0106

Wanafunzi wa Kihadzabe, wakiwa ndani ya bweni, wanakosoma katika shule ya msingi Munguli, iliyopo wilaya ya Mkalama, Mkoani Singida, baada ya agizo la Mkuu wa Mkoa huo Dk. Parseko Kone kuamuru wajengewe bweni, ili waondokane na maisha ya kale, kwa kuishi wakitegemea nyama, asali, mizizi na matunda pori, kama chakula chao kikuu-(Picha na Nathaniel Limu-Singida).

IMG_0107

 

Na Nathaniel Limu, Mkalama

ZAIDI ya watu 6,000, wakazi wa kijiji cha Munguli, Wilaya ya Mkalama, Mkoani Singida, watanufaika na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Visa vya watoto kukatiza masomo Tanzania

Visa vya watoto kukatiza masomo yao nchini Tanzania vimekuwa vikipigiwa kelele na asasi mbalimbali.

 

11 years ago

Michuzi

WAZAZI WEZESHENI WATOTO WAKIKE KUPENDA MASOMO YA SAYANSI - MAEMBE

Katibu Mkuu, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Bibi. Anna T. Maembe akisisita haja na umuhimu wa wazazi kuwawezesha watoto wao wa kike kuyapenda masomo ya sayansi, teknolojia, uhandisi na hesabu ( STEM) badala ya kuliachia jukumu hilo serikali au walimu. Alikuwa akizungumza katika mkutano wa pembezoni ulioandaliwa kwa pamoja kati ya Tanzania, Uingereza na Kampuni ya Kimataifa ya GlaxoSmithkline ili kujadili fursa na changamoto za mwanafunzi wa kike katika masomo...

 

9 years ago

StarTV

Serikali za Vijiji kuwachukulia hatua wazazi, walezi wa watoto watakaoshindwa kuhudhuria masomo

Serikali za Vijiji mkoani Singida zimetakiwa kuhakikisha kuwa zinawachukulia hatua za kisheria wazazi na walezi wa watoto watakaoshindwa kuhudhuria masomo hadi kuhitimu baada ya kuandikishwa kuanza elimu ya msingi pamoja na waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwakani.

Mkuu wa mkoa huo Dokta Parseko Kone ametoa agizo hilo baada ya kubainika kuwa katika Wilaya ya Mkalama pekee, jumla ya wanafunzi 383 wa shule za Msingi na Sekondari wameacha masomo yao kwa kipindi cha kuanzia Januari...

 

11 years ago

Mwananchi

Wito wa Serikali kwa wazazi; Wahamasisheni watoto wa kike kupenda masomo ya sayansi

>Suala la wanafunzi wa kike kutochangamkia au kuyapenda  masomo ya  sayansi,  teknolojia,  uhandisi na hesabu, ni changamoto inayozikumba  nchi  nyingi duniani ikiwamo Tanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Takukuru yatangaza majina 287 ya wala rushwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imetangaza katika tovuti yake majina 287 ya washtakiwa waliopatikana na hatia katika kesi za rushwa.

 

9 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA TTCL YAWASAIDIA WATOTO VIFAA VYA MASOMO KITUO CHA AWALI LUKEMA VINGUNGUTI


Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL), Nicodemus Mushi (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi wa Shirika lisilokuwa la Serikali la LUKEMA Community Development and Training Services baadhi ya vibao maalumu kwa ajili ya kujifunzia wanafunzi wa darasa la awali.Wanafunzi wa darasa la awali wa kituo cha LUKEMA kinachomilikiwa na Shirika lisilokuwa la Serikali la LUKEMA Community Development and Training Services kilichopo jijini Dar es Salaam wakifurahia madaftari waliyopewa na TTCL...

 

10 years ago

BBCSwahili

Utafiti: Wanamgambo wafadhiliwa S.Kusini

Wanamgambo wa Sudani Kusini wanaelezwa kufadhiliwa na Kampuni ya Mafuta

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani