Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wito wa Serikali kwa wazazi; Wahamasisheni watoto wa kike kupenda masomo ya sayansi

>Suala la wanafunzi wa kike kutochangamkia au kuyapenda  masomo ya  sayansi,  teknolojia,  uhandisi na hesabu, ni changamoto inayozikumba  nchi  nyingi duniani ikiwamo Tanzania.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WAZAZI WEZESHENI WATOTO WAKIKE KUPENDA MASOMO YA SAYANSI - MAEMBE

Katibu Mkuu, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Bibi. Anna T. Maembe akisisita haja na umuhimu wa wazazi kuwawezesha watoto wao wa kike kuyapenda masomo ya sayansi, teknolojia, uhandisi na hesabu ( STEM) badala ya kuliachia jukumu hilo serikali au walimu. Alikuwa akizungumza katika mkutano wa pembezoni ulioandaliwa kwa pamoja kati ya Tanzania, Uingereza na Kampuni ya Kimataifa ya GlaxoSmithkline ili kujadili fursa na changamoto za mwanafunzi wa kike katika masomo...

 

9 years ago

StarTV

Serikali za Vijiji kuwachukulia hatua wazazi, walezi wa watoto watakaoshindwa kuhudhuria masomo

Serikali za Vijiji mkoani Singida zimetakiwa kuhakikisha kuwa zinawachukulia hatua za kisheria wazazi na walezi wa watoto watakaoshindwa kuhudhuria masomo hadi kuhitimu baada ya kuandikishwa kuanza elimu ya msingi pamoja na waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwakani.

Mkuu wa mkoa huo Dokta Parseko Kone ametoa agizo hilo baada ya kubainika kuwa katika Wilaya ya Mkalama pekee, jumla ya wanafunzi 383 wa shule za Msingi na Sekondari wameacha masomo yao kwa kipindi cha kuanzia Januari...

 

5 years ago

CCM Blog

MAJALIWA:TUTAENDELEA KUCHUKUA HATUA KWA WATAKAOKATISHA MASOMO KWA WATOTO WA KIKE

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai (wa tatu kulia) wakiweka jiwe la Msingi la Shule ya Sekondari ya Wachana  ya Bunge  iliyojengwa na wabunge na kukabidhiwa kwa Serikali Juni 14, 2020. Kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Selemani Jafo na wa pili kulia ni Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson Mwansasu. Kushoto ni Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekinolojia, Profesa Joyce Ndalichako na wapili kushoto ni Mbunge wa Urambo na Mwenyekiti wa Umoja wa Wabunge...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali iwekeze masomo ya sayansi’

MPANGO wa Serikali wa Matokeo Makubwa Sasa unaweza ukafanikiwa kuleta tija ya kimaendeleo katika sekta ya elimu nchini, iwapo serikali itawekeza zaidi katika masomo ya sayansi na hisabati shuleni. Pia...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wito watolewa wazazi kuwajengea maadili mema watoto

DSC01148

Diwani wa kata ya Issuna  wilaya ya Ikungi,Stephano Misai,akizungumza kwenye mahafali ya kwanza ya darasa la saba  shule ya msingi Unyahati iliyopo kijiji cha Muungano .Mgeni rasmi huyo amezitaka shule za msingi na sekondari zenye bahati ya kuwa karibu na huduma ya umeme, kuweka nishati hiyo kwa ajili ya wanafunzi kujifunza kompyuta. Wa kwanza kushoto (aliyekaa) ni Chiku Alli raia wa Norway aliyekusanya fedha kutoka kwa raia wa Norway na kugharamia ujenzi wa shule ya Unyahati. Kulia ni...

 

10 years ago

Habarileo

Tunu Pinda na rai ya watoto wa kike kusoma sayansi

MKE wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Tunu Pinda, ametoa rai kwa watoto wa kike nchini kuthubutu kusoma masomo ya sayansi kwa sababu wanaweza.

 

9 years ago

StarTV

Wazazi, walezi waaswa kuwasomesha watoto Wa Kike Kigoma

Wazazi na walezi nchini wamekumbushwa umuhimu wa kumuwezesha mtoto wa kike kupata elimu sawa na wa kiume jambo litakalosaidia kundi hilo kutumia fursa zinazoendela kujitokeza kujiletea maendeleo yao binafsi, familia na Taifa kwa ujumla.

Aidha kasi ya sasa ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi yanalifanya suala la elimu kuwa jambo  linalohitajika zaidi kupewa kipaumbele kwa  ustawi wa Taifa lolote duniani.

Hayo yamebaniishwa   katika mahafari ya kwanza ya kidaoto cha nne kwa shule ya sekondari...

 

11 years ago

Michuzi

Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia yatoa wito kwa wananchi kuzingatia matumizi ya tehama


 Kaimu Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia bi Prisca Ulomi akitoa wito kwa wananchi kuzingatia matumizi sahihi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)  wakati wa mkutano  na waandishi wa habari leo jijini Dar es salam . Kaimu Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Bi Prisca Ulomi akiwaeleza waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu hatua iliyofikiwa na Serikali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali iwabane wazazi wanaoficha watoto walemavu’

SERIKALI mkoani Pwani imeombwa kuwachukulia hatua kali za kisheria wazazi wenye tabia ya kuwaficha watoto wenye ulemavu kwani kitendo hicho kinasababisha  kuwanyima haki zao za msingi ikiwemo ya kupata elimu....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani