‘Serikali iwekeze masomo ya sayansi’
MPANGO wa Serikali wa Matokeo Makubwa Sasa unaweza ukafanikiwa kuleta tija ya kimaendeleo katika sekta ya elimu nchini, iwapo serikali itawekeza zaidi katika masomo ya sayansi na hisabati shuleni. Pia...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Wito wa Serikali kwa wazazi; Wahamasisheni watoto wa kike kupenda masomo ya sayansi
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Sumaye: Serikali iwekeze kwenye kilimo
WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, amesema ili Tanzania iimarike kiuchumi ni lazima serikali iwekeze kwenye kilimo, ufugaji na tafiti zake. Alisema uwekezaji katika maeneo hayo, utasaidia kuondoa umasikini unaowakabili Watanzania...
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Serikali iwekeze zaidi Idara ya Hali ya Hewa
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Wanafunzi wahimizwa masomo ya sayansi
WANAFUNZI wa shule mbalimbali nchini wametakiwa kujifunza masomo ya sayansi kutokana na umuhimu wake katika ugunduzi wa vitu ili kusaidia taifa kimaendeleo. Imeelezwa kuwa idadi kubwa ya wanafunzi na walimu...
9 years ago
Habarileo19 Sep
Wahimizwa kutokwepa masomo ya sayansi
WANAFUNZI nchini wametakiwa kuongeza juhudi katika masomo ya sayansi na kuacha tabia ya kuyakwepa masomo hayo.
10 years ago
Habarileo23 Sep
Wahandisi wahamasisha masomo ya sayansi
TAASISI ya Wahandisi Tanzania (IET) imeshauri Serikali kuanzisha kampeni za kuhamasisha masomo ya sayansi na teknolojia katika shule za msingi na sekondari kuwezesha taifa kuwa na wataalamu wa kutosha kutoka katika eneo hilo.
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Maabara nyenzo muhimu masomo ya sayansi
WATAALAM wa sayansi hawawezi kupatikana nchini kama serikali haitayapa masomo hayo kipaumbele na kujenga maabara shuleni. Ni shule chache nchini ambazo zimekuwa zikifaulisha wanafunzi masomo ya sayansi, hii ni kutokana...
10 years ago
Habarileo26 Mar
Kinana awashauri wanafunzi kusoma masomo ya sayansi
WANAFUNZI nchini wameshauriwa kusoma masomo ya sayansi ili kujiweka katika mazingira mazuri ya kuajiriwa na taasisi za ndani na nje ya nchi kwa urahisi.
10 years ago
Habarileo27 Mar
Mbinu mpya masomo ya sayansi kuwavuta wanafunzi
SERIKALI imesema inatarajia kuwepo mabadiliko makubwa katika ufundishaji wa masomo ya sayansi na wanafunzi kupenda somo hilo baada ya walimu 2,000 wa sayansi kupatiwa mafunzo ya mbinu za kufundisha somo hilo.