Sumaye: Serikali iwekeze kwenye kilimo
WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, amesema ili Tanzania iimarike kiuchumi ni lazima serikali iwekeze kwenye kilimo, ufugaji na tafiti zake. Alisema uwekezaji katika maeneo hayo, utasaidia kuondoa umasikini unaowakabili Watanzania...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
‘Serikali iwekeze masomo ya sayansi’
MPANGO wa Serikali wa Matokeo Makubwa Sasa unaweza ukafanikiwa kuleta tija ya kimaendeleo katika sekta ya elimu nchini, iwapo serikali itawekeza zaidi katika masomo ya sayansi na hisabati shuleni. Pia...
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Serikali iwekeze zaidi Idara ya Hali ya Hewa
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Sumaye awaasa waliomo kwenye ndoa
ALIYEKUWA Waziri Mkuu katika Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye, amewashauri waliomo kwenye ndoa kuvumiliana katika mambo mbalimbali ili kuepuka chuki inayoweza kusababisha mauaji. Sumaye alisema hayo juzi mjini...
11 years ago
Mwananchi29 Dec
Rushwa kwenye chaguzi, ufisadi vyamchukiza Sumaye
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Sumaye ashauri Serikali kushirikisha walimu
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Serikali yaamuru waliovamia shamba la Sumaye waondoke
10 years ago
Mwananchi13 Dec
Sumaye: Serikali ilikosea kuua vyuo vya kati
9 years ago
Habarileo04 Oct
RC azuia kilimo kwenye milima
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa amepiga marufuku wananchi kulima juu ya milima. Galawa alitoa agizo hilo juzi katika kijiji cha Miganga kilichopo wilaya ya Chamwino wakati alipotembelea mradi wa majiko banifu yanayosaidia kutunza mazingira.
9 years ago
Vijimambo22 Aug
ALICHOANDIKA JUMA MWAPACHU KWENYE UKURASA WAKE WA FACEBOOK MARA TU SUMAYE ALIPOTANGAZA KUHAMIA UKAWA
![](http://www.thecitizen.co.tz/image/view/-/1844006/highRes/508026/-/maxw/600/-/11rp2sr/-/Thinking+Differently+-+Juma+Mwapachu.jpg)
I believe earnestly that Tanzania is on a certain and definitive pathway towards a turning and tipping point in its history. It is a momentous stage where a new visionary leadership steps in and a fundamental re-definition of our country's goals and values is undertaken and executed. For all that can be said and even celebrated by global peer institutions such as the IMF and the World Bank about our country's ostensibly significant GDP economic performances in these past few...