Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC azuia kilimo kwenye milima

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa amepiga marufuku wananchi kulima juu ya milima. Galawa alitoa agizo hilo juzi katika kijiji cha Miganga kilichopo wilaya ya Chamwino wakati alipotembelea mradi wa majiko banifu yanayosaidia kutunza mazingira.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT BILAL MGENI RASMI KWENYE HAFLA YA KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA MISITU YA MILIMA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal akizungumza kwenye Hafla ya kuchangisha Fedha za kuwezesha Uhifadhi wa misitu ya milima ya Toa la mashariki kwenye ahotel ya Hyatt Regency Jijini Dar es salaam. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilali akizindua Tovuti ya (EAMCEF)kwajili ya kuwezesha kuchangia kwa njia ya mtandao kwenye,Hafla ya kuchangisha Fedha za Uhifadhi wa Misitu ya Milima ya Toa ashariki iliyofanyika kwenye hotel ya Hyatt...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumaye: Serikali iwekeze kwenye kilimo

WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, amesema ili Tanzania iimarike kiuchumi ni lazima serikali iwekeze kwenye kilimo, ufugaji na tafiti zake. Alisema uwekezaji katika maeneo hayo, utasaidia kuondoa umasikini unaowakabili Watanzania...

 

10 years ago

Mwananchi

Ubia utachochea ufanisi kwenye kilimo nchini

Wapendwa wasomaji baada ya kuangalia mikakati ya BRN katika kuongeza uzalishaji na usalama wa chakula na masoko ya kilimo, wiki iliyopita, leo tunaangalia namna ubia kati ya wakulima wadogo na wakubwa utakavyosaidia kuongeza tija na uhakika wa masoko hasa kwa wakulima wadogo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania wahimizwa kuvutia wawekezaji kwenye kilimo

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Dk. Mary Nagu, amewataka Watanzania kuvutia wawekezaji kutoka nje kuwekeza kwenye kilimo, ili uchumi uweze kukua kwa Watanzania wengi. Dk....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sekta binafsi ziwekeze kwenye kilimo — SAGCOT

SERIKALI imeshauriwa kuzidi kutoa nafasi kwa sekta binafsi kuwekeza kwenye kilimo ili kuepuka kuagiza chakula nje ya nchi, hali inayosababisha uchumi kuendelea kuwa chini. Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

Habarileo

Kilombero wajipanga kwenye kilimo cha umwagiliaji

SERIKALI Wilayani Kilombero, mkoa wa Morogoro, kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya kilimo imeongeza kasi ya utekelezaji wa miradi ya Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).

 

11 years ago

Habarileo

Yaya Toure, D'Banj waungana na Kikwete kwenye kilimo

KAMPENI inayohamasisha vita dhidi ya umaskini kwa kutumia kilimo iliyoasisiwa na Rais Jakaya Kikwete na Shirika la One la Marekani, imeungwa mkono na msanii D'Banj wa Nigeria pamoja na mchezaji wa Manchester City, Yaya Toure.

 

5 years ago

Michuzi

VIJANA WAWEKEZAJI KWENYE KILIMO WATAPATIWA ARDHI SONGWE



 Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela akifunga Kongamano la Vijana katika Kilimo lililofanyika Mkoa wa Songwe na Kuhusisha vijana takribani 700 kutoka Mikoa ya Songwe, Rukwa, Mbeya na Katavi ambapo ameahidi kuwapatia ardhi vijana wanaotaka kuwekeza katika Kilimo.Vijana takribani 700 kutoka Mikoa ya Songwe, Rukwa, Mbeya na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani