RC azuia kilimo kwenye milima
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa amepiga marufuku wananchi kulima juu ya milima. Galawa alitoa agizo hilo juzi katika kijiji cha Miganga kilichopo wilaya ya Chamwino wakati alipotembelea mradi wa majiko banifu yanayosaidia kutunza mazingira.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT BILAL MGENI RASMI KWENYE HAFLA YA KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA MISITU YA MILIMA
.jpg)

11 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Sumaye: Serikali iwekeze kwenye kilimo
WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, amesema ili Tanzania iimarike kiuchumi ni lazima serikali iwekeze kwenye kilimo, ufugaji na tafiti zake. Alisema uwekezaji katika maeneo hayo, utasaidia kuondoa umasikini unaowakabili Watanzania...
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Ubia utachochea ufanisi kwenye kilimo nchini
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Watanzania wahimizwa kuvutia wawekezaji kwenye kilimo
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Dk. Mary Nagu, amewataka Watanzania kuvutia wawekezaji kutoka nje kuwekeza kwenye kilimo, ili uchumi uweze kukua kwa Watanzania wengi. Dk....
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Sekta binafsi ziwekeze kwenye kilimo — SAGCOT
SERIKALI imeshauriwa kuzidi kutoa nafasi kwa sekta binafsi kuwekeza kwenye kilimo ili kuepuka kuagiza chakula nje ya nchi, hali inayosababisha uchumi kuendelea kuwa chini. Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam...
11 years ago
Habarileo27 Jul
Kilombero wajipanga kwenye kilimo cha umwagiliaji
SERIKALI Wilayani Kilombero, mkoa wa Morogoro, kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya kilimo imeongeza kasi ya utekelezaji wa miradi ya Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).
11 years ago
Habarileo30 Jan
Yaya Toure, D'Banj waungana na Kikwete kwenye kilimo
KAMPENI inayohamasisha vita dhidi ya umaskini kwa kutumia kilimo iliyoasisiwa na Rais Jakaya Kikwete na Shirika la One la Marekani, imeungwa mkono na msanii D'Banj wa Nigeria pamoja na mchezaji wa Manchester City, Yaya Toure.
5 years ago
Michuzi
VIJANA WAWEKEZAJI KWENYE KILIMO WATAPATIWA ARDHI SONGWE


11 years ago
Michuzi13 Jun