Yaya Toure, D'Banj waungana na Kikwete kwenye kilimo
KAMPENI inayohamasisha vita dhidi ya umaskini kwa kutumia kilimo iliyoasisiwa na Rais Jakaya Kikwete na Shirika la One la Marekani, imeungwa mkono na msanii D'Banj wa Nigeria pamoja na mchezaji wa Manchester City, Yaya Toure.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania