Shule ya bweni kwa watoto wa Kihadzabe wafadhiliwa maji
Wanafunzi wa Kihadzabe, wakiwa ndani ya bweni, wanakosoma katika shule ya msingi Munguli, iliyopo wilaya ya Mkalama, Mkoani Singida, baada ya agizo la Mkuu wa Mkoa huo Dk. Parseko Kone kuamuru wajengewe bweni, ili waondokane na maisha ya kale, kwa kuishi wakitegemea nyama, asali, mizizi na matunda pori, kama chakula chao kikuu-(Picha na Nathaniel Limu-Singida).
Na Nathaniel Limu, Mkalama
ZAIDI ya watu 6,000, wakazi wa kijiji cha Munguli, Wilaya ya Mkalama, Mkoani Singida, watanufaika na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2cXxy9CVMPI/Vm0bllfNbgI/AAAAAAAIMDs/JuBoH6swHI0/s72-c/78e1c2bf00cd50c3fd896c202f216097.jpg)
Zitto Kabwe akabidhi bweni la wanafunzi Shule ya watoto wenye ulemavu wa ngozi Buhangija, Shinyanga
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H3iL1BbWqp4/U8-VogWUAsI/AAAAAAAF5Gc/4knu8KMuk8g/s72-c/20140723_084815_resized.jpg)
Bweni la shule ya Sekondari Erikisongo Wilayani Monduli lateketea kwa moto leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-H3iL1BbWqp4/U8-VogWUAsI/AAAAAAAF5Gc/4knu8KMuk8g/s1600/20140723_084815_resized.jpg)
Moto huo ambao inaelezwa chanzo chake ni hitilafu ya umeme ilitokea wakati wanafunzi wote wako darasani.
Hakuna mtu yoyote aliyedhurika lakini mali kadhaa za wanafunzi zimeteketea. Kikosi Cha zimamoto kutoka Arusha kilifika wakati tayari mabweni hayo yameshateketea.
Mbunge wa Jimbo la Monduli Mh Edward Lowassa...
11 years ago
MichuziWATOTO 287 WAFADHILIWA MASOMO NA COMPASSION IRINGA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yJtHe949c48/VLzaMmWxLFI/AAAAAAAG-Tg/Q1yLYYDdlKg/s72-c/1.jpg)
DORIS MOLLEL KATIKA UZINDUZI WA BWENI LA KWANZA KWA WATOTO WA JAMII YA HADZABE, SINGIDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-yJtHe949c48/VLzaMmWxLFI/AAAAAAAG-Tg/Q1yLYYDdlKg/s1600/1.jpg)
9 years ago
VijimamboBUNGE LA WATOTO OYSTERBAY SHULE YA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE
Abdallah Waziri - ambaye ni mmoja wa watoto wa mitaani aliyerudishwa shule kwenye kikao cha leo.
Abdallah Waziri, Asia Mtibua na Mwalimu Gaudensia Igoshalimo wakimkaribisha Abdallah Waziri shuleni.
Mmoja wa wajumbe akitoa maoni yake katika kikao cha bunge katika shule ya oysterbay mkoani manyara
Mbunge Nasri Selemani akifuatilia hoja kwa makini.wakati kikao cha bunge la watoto likiendelea katika shule ya oysterbay mkoani manyara
Mbunge Nasri Selemani ambaye alikuwa ni mfanyakazi wa...
9 years ago
MichuziBUNGE LA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
Mwananchi02 Jun
Shule za msingi za bweni na athari za kimalezi
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YXqZcdi_dc0/VXEUmVRB6yI/AAAAAAAAQbk/7Gf4yNVatsE/s72-c/E86A9273%2B%2528800x533%2529.jpg)
TANAPA YAJENGA BWENI LA WASICHANA SHULE YA SEKONDARI KISHUMUNDU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-YXqZcdi_dc0/VXEUmVRB6yI/AAAAAAAAQbk/7Gf4yNVatsE/s640/E86A9273%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cXcTO2kK-mE/VXEUq1BIXSI/AAAAAAAAQb4/RYO8Yg0WQ7w/s640/E86A9286%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo10 Feb
MOTO WATEKETEZA BWENI LA WASICHANA SHULE YA SEKONDARI IDODI, IRINGA