Watoto elfu 250 huenda wakafa kwa njaa Sudan
Takriban watoto laki mbili u nusu wamo katika hatari ya kufa katika kipindi cha miezi kadhaa ijayo iwapo mashirika ya utoaji misaada, hayatafikisha misaada kwa watu walio na mahitaji.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Apr
Njaa shuleni, tunapeleka ujumbe gani kwa watoto?
Hoja yangu wiki iliyopita ni Serikali kutelekeza shule zake hadi inafikia hatua ya kukosa chakula na shule kufungwa ili watoto warudi nyumbani kukaa bila cha kufanya.
10 years ago
Mwananchi21 Apr
Njaa shuleni, tunapeleka ujumbe gani kwa watoto wetu?
WIKI kadha zilizopita tulishuhudia watoto wetu wakikatishwa masomo na kurudishwa nyumbani kwa sababu ya kukosa chakula shuleni. Pia baadhi ya shule na vyuo mlo wao ulibadilishwa; wakalizimika kula chakula mara chache ya utaratibu uliozoeleka au kula chakula chenye viwango duni.
10 years ago
BBCSwahili09 Sep
Sudan kusini na tishio la njaa
Kufuatia zaidi ya miezi 8 ya mapigano Sudan Kusini, sasa inakabiliwa na tishio la baa la njaa.
10 years ago
BBCSwahili11 Sep
Mbioni kupambana na njaa Sudan.K
Haijatimu hata miaka minne tangu Sudan Kusini ilipojitenga na Sudan, lakini watu wanaotoa misaada wako mbioni kuzuia njaa.
11 years ago
BBCSwahili22 May
Njaa Sudan Kusini inaweza kuzuilika
Mratibu wa masuala ya kibinadamu wa UN, Valerie Amos ameonya, kuna uwezekano mdogo wa kuzuia baa la njaa Sudan Kusini.
10 years ago
BBCSwahili25 Sep
Sudan kusini yaepuka baa la njaa
Ripoti ya hivi punde inaonesha kuwa Sudan kusini imeepuka makali ya njaa licha ya kukumbwa na vita
10 years ago
BBCSwahili05 Dec
Serikali yakana tishio la njaa Sudan.K
Waziri wa mashauri ya Nchi za kigeni wa Sudan Kusini amepuuzilia mbali tahadhari zilizotolewa kuwa taifa hilo changa limo katika hatari ya kukumbwa na baa la njaa.
11 years ago
BBCSwahili19 May
Sudan Kusini inakumbwa na tisho la njaa
Rais wa Sudan kusini Salva Kirr ameonya kuwa taifa lake linakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula kufuatia vita vikali vinavyoendelea nchini humo.
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Hofu ya baa la njaa Sudan Kusini
Mashirika ya kimataifa ya misaada yameonya kuwa huenda Sudan Kusini ikakabiliwa na baa la njaa iwapo, mapigano hayatasitishwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania