Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nzige waripotiwa kuingia Tanzania na Uganda kutoka Kenya

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania Anna Mgwira amethibitisha kuonekana kwa kundi la nzige katika baadhi ya vijiji vya Moshi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Uvamizi wa nzige: Umoja wa Mataifa watoa tahadhari ya njaa katika Ethiopia, Kenya, Uganda, Tanzania na Somalia

Kuharibiwa kwa tani za mazao na nzige kunaweza kusababisha mzozo wa chakula , wasema Umoja wa Mataifa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Madereva 25 kutoka Tanzania wamezuiwa kuingia Kenya baada ya kukutwa na corona.

Katika mkutano wake na wanahabari naibu waziri wa Afya Rashid Aman amesema kwamba maabara 2 za kuhama hama zitazinduliwa katika mpaka wa Namanga ili kuimarisha upimaji wa wagonjwa wapya.

 

5 years ago

BBCSwahili

Nzige: Wadudu waharibifu wafanywa kuwa kitoweo Uganda na Somalia

Raia wa Uganda wanaoishi kaskakazini mwa wilya ya Kitgum wanakula nzige wa jangwani ambao wameharibi mimea yao kulingana na kituo cha habari cha Uganda radio Nnetwork URN.

 

5 years ago

BBCSwahili

David Obala: Kwa nini mbunge wa Uganda alipeleka nzige bungeni?

Video ya mbunge mmoja wa Uganda aliyebeba na kupeleka nzige bungeni imesambaa katika mitandao ya kijamii.

 

11 years ago

Mtanzania

Mashoga kutoka Kenya, Uganda wakutana D’Salaam

Dar es Salaam

Eneo la katikati ya Jiji la Dar es Salaam

Na Hadia Khamis

MASHOGA kutoka nchi tatu za Afrika Mashariki wamekutana kwa siku mbili jijini Dar es Salaam.

Taarifa zilizopatikana jijini Dar es Salaam, zinasema mashoga hao walikutana juzi katika Ukumbi wa Kivukoni 3 ulioko katika Hoteli ya Serena na kuwashirikisha wasichana wanaofanya mapenzi kinyume na maumbile.

Kwa mujibu wa taarifa hizo, mashoga hao wapatao 50 walitoka katika nchi za Kenya na Uganda na waliungana na wenzao wa Tanzania.

Katika...

 

10 years ago

Habarileo

Magari 150 Tanzania yazuiwa kuingia Kenya

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro NyalanduMAGARI zaidi ya 150 yanayofanya safari za kupeleka wageni na watalii maarufu ‘Shuttle’ kati ya jijini Arusha na Moshi kwenda katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyata nchini Kenya yamezuiliwa kuingia katika uwanja huo toka Desemba 22 mwaka jana.

 

11 years ago

Michuzi

Maisha Plus Update: Washiriki kutoka Rwanda, Burundi, Kenya na Uganda wako Moro

 

WASHIRIKI wa shindano la Maisha Plus ambayo kwa mwaka 2014 inatambulika kwa jina la Maisha Plus Rekebisha, kutoka nchini Kenya, Rwanda,Uganda na Burundi tayari wameshawasili nchini na jana wameelekea wako mkoani Morogoro kushiriki shughuli za kijamii.
Mratibu wa onyesho hilo, Ally Masoud Kipanya amesema hili ni kundi la tatu kushiriki shughuli za kijamii, ambapo kundi la kwanza lilikuwa Iringa, kisha la pili likaenda Zanzibar na hili la tatu linaenda Morogoro kushiriki shughuli za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani