Nzige waripotiwa kuingia Tanzania na Uganda kutoka Kenya
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania Anna Mgwira amethibitisha kuonekana kwa kundi la nzige katika baadhi ya vijiji vya Moshi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili14 Feb
Uvamizi wa nzige: Umoja wa Mataifa watoa tahadhari ya njaa katika Ethiopia, Kenya, Uganda, Tanzania na Somalia
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya Corona: Madereva 25 kutoka Tanzania wamezuiwa kuingia Kenya baada ya kukutwa na corona.
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
Nzige: Wadudu waharibifu wafanywa kuwa kitoweo Uganda na Somalia
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
David Obala: Kwa nini mbunge wa Uganda alipeleka nzige bungeni?
11 years ago
Mtanzania04 Aug
Mashoga kutoka Kenya, Uganda wakutana D’Salaam
![Dar es Salaam](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/dar-es-salaam.jpg)
Eneo la katikati ya Jiji la Dar es Salaam
Na Hadia Khamis
MASHOGA kutoka nchi tatu za Afrika Mashariki wamekutana kwa siku mbili jijini Dar es Salaam.
Taarifa zilizopatikana jijini Dar es Salaam, zinasema mashoga hao walikutana juzi katika Ukumbi wa Kivukoni 3 ulioko katika Hoteli ya Serena na kuwashirikisha wasichana wanaofanya mapenzi kinyume na maumbile.
Kwa mujibu wa taarifa hizo, mashoga hao wapatao 50 walitoka katika nchi za Kenya na Uganda na waliungana na wenzao wa Tanzania.
Katika...
10 years ago
Habarileo11 Jan
Magari 150 Tanzania yazuiwa kuingia Kenya
MAGARI zaidi ya 150 yanayofanya safari za kupeleka wageni na watalii maarufu ‘Shuttle’ kati ya jijini Arusha na Moshi kwenda katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyata nchini Kenya yamezuiliwa kuingia katika uwanja huo toka Desemba 22 mwaka jana.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PzFqtTlxjlk/UyiHFfWu9II/AAAAAAAAMZk/LwwVmRpplGI/s72-c/Masoud+Kipanya.jpg)
Maisha Plus Update: Washiriki kutoka Rwanda, Burundi, Kenya na Uganda wako Moro
![](http://2.bp.blogspot.com/-PzFqtTlxjlk/UyiHFfWu9II/AAAAAAAAMZk/LwwVmRpplGI/s1600/Masoud+Kipanya.jpg)
WASHIRIKI wa shindano la Maisha Plus ambayo kwa mwaka 2014 inatambulika kwa jina la Maisha Plus Rekebisha, kutoka nchini Kenya, Rwanda,Uganda na Burundi tayari wameshawasili nchini na jana wameelekea wako mkoani Morogoro kushiriki shughuli za kijamii.
Mratibu wa onyesho hilo, Ally Masoud Kipanya amesema hili ni kundi la tatu kushiriki shughuli za kijamii, ambapo kundi la kwanza lilikuwa Iringa, kisha la pili likaenda Zanzibar na hili la tatu linaenda Morogoro kushiriki shughuli za...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/ct9EeL1YJLU/default.jpg)