VIDEO;RC SHIGELA WA TANGA APIGA MARUFUKU MAGARI YA KENYA KUINGIA TANZANIA
![](https://img.youtube.com/vi/ct9EeL1YJLU/default.jpg)
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Jan
Magari 150 Tanzania yazuiwa kuingia Kenya
MAGARI zaidi ya 150 yanayofanya safari za kupeleka wageni na watalii maarufu ‘Shuttle’ kati ya jijini Arusha na Moshi kwenda katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyata nchini Kenya yamezuiliwa kuingia katika uwanja huo toka Desemba 22 mwaka jana.
10 years ago
MichuziBREAKING NEWZZZZ: MAGARI YA KITALII YA TANZANIA RUKSA KUINGIA UWANJA WA JOMO KENYATTA, NA SAFARI ZA KENYA AIRWAYS KUENDELEA KUWA 42
11 years ago
Habarileo14 May
Magari ya vioo vya giza marufuku Kenya
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini Kenya, David Kimaiyo, ameagiza kukamatwa kwa magari yote ya abiria yenye vioo vya giza. Lengo la hatua hiyo ni kudhibiti uvamizi na mashambulizi ya mara kwa mara, yanayofanywa na vikundi vya kigaidi kutoka nchi jirani ya Somalia.
10 years ago
Habarileo18 Jan
Magari ya Tanzania ruksa kuingia Jomo Kenyatta
SERIKALI za Tanzania na Kenya zimekubaliana kwa pamoja kuondoa zuio la magari ya watalii na wageni kuingia katika viwanja vya ndege vya nchi hizo mbili kuanzia juzi.
10 years ago
Vijimambo22 Mar
MAGARI YA KITALII YA TANZANIA RUKSA KUINGIA UWANJA WA JOMO KENYATTA: WAZIRI MEMBE
10 years ago
Dewji Blog19 Jan
NYALANDU azima marufuku magari ya Tanzania JKIA
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu.
Na Mwandishi wetu
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema serikali ya Kenya imekubali kuyaruhusu magari ya abiria na watalii kutoka Tanzania, kuingia ndani ya Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi.
Awali, Serikali ya Kenya iliyazuia magari hayo kuingia uwanjani hapo huku ukiyatoza ushuru kwa yale yanayoingia, jambo ambalo lililalamikiwa na wafanyabiashara wa Tanzania.
Marufuku hiyo ya Kenya kwa magari ya Tanzania,...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Nzige waripotiwa kuingia Tanzania na Uganda kutoka Kenya
10 years ago
Habarileo21 Mar
Mazungumzo magari ya Tanzania, Kenya yavunjika
MAZUNGUMZO ya Watendaji na Mawaziri wa Tanzania na Kenya kuhusu kuzuiwa kwa magari ya kitalii ya Tanzania kuingia katika Uwanja wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, yamevunjika.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oJ-Wp7ooyeg/VNofehXY64I/AAAAAAAHC20/dizl26-m_z4/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Mwakyembe azungumzia Kenya Kuzuia Magari ya Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-oJ-Wp7ooyeg/VNofehXY64I/AAAAAAAHC20/dizl26-m_z4/s1600/unnamed%2B(19).jpg)