Wabunge wataka utekelezaji changamoto zilizobainika Wizara ya Maliasili na Utalii.
Na Joyce Mwakalinga
Dodoma.
Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira imeitaka Wizara ya Maliasili na Utalii kuwasilisha mbele ya kamati hiyo matumizi ya fedha zaidi ya shilingi bilioni 3.5 zilizokuwa zimekusanywa kwa ajili ya kuwalipa posho askari walioshiriki katika operesheni tokomeza.
Sanjari na agizo hilo pia imemtaka mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kufanya uchunguzi maalum wa jinsi pesa hizo zilivyotumika.
Agizo hilo lilitolewa na Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9QukCEcOBR4/VNMWdyTa_VI/AAAAAAAHB28/aQs2M_CQ12Q/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
wizara ya MALIASILI NA UTALII YAENDELEA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-9QukCEcOBR4/VNMWdyTa_VI/AAAAAAAHB28/aQs2M_CQ12Q/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-j7r7uCWsPuk/VNMWePSG52I/AAAAAAAHB3E/9iqTQcT3_vM/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PRhlQc6LAME/VNMWeLsGGmI/AAAAAAAHB3A/oR3FlEbFBxw/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tkrARHvgfeU/XtfkdeLBeCI/AAAAAAALsig/kxvC5meI7pMzeBo3XF089lWN6lIwPWo-gCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-06-03%2Bat%2B20.55.36.png)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GBviTye4gMo/VlcXH4cbmDI/AAAAAAAAABw/vEIx6JjZ5uM/s72-c/IMG_1452.jpg)
WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAFANYA MKUTANO NA WADAU WA SEKTA YA MALIASILI NCHINI KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO
![](http://3.bp.blogspot.com/-GBviTye4gMo/VlcXH4cbmDI/AAAAAAAAABw/vEIx6JjZ5uM/s640/IMG_1452.jpg)
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
Je Waziri wa Maliasili na Utalii ataweza kukabiliana na changamoto zinazoikabili sekta?
Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Siku chache zilizopita baada ya Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa kutangazwa, Tanzania tunatarajia Dk John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atatangaza rasmi baraza lake la Mawaziri. Kila sekta itakuwa imeshikiliwa na Mawaziri ambao Rais ameridhishwa nao katika kukidhi viwango vya kuendesha sekta hizo na katika kurudisha matumaini ya watanzania.
Kati ya Wizara muhimu zinazokuza uchumi wa nchi...
10 years ago
Michuzi28 Oct
TAARIFA KUTOKA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII
KASHFA IKULU;
· Nyalandu atumia Leseni ya Rais kuua wanyamapori 704 bure,
· Watakaouawa wamo pia tembo 8, chui 8, Simba 8, ndege,
· Wauaji ni Wamarekani marafiki wa Waziri wa Maliasili.
I.
Wizara ya Maliasili na Utalii inapenda kuwafahamisha Umma kuwa, tuhuma hizi si za kweli. Tuhuma hizi zimetolewa na watu wenye nia ovu na...
10 years ago
Habarileo03 Apr
Wabunge wataka utekelezaji sheria uhalifu wa mtandao
WABUNGE wamekemea vitendo vilivyokithiri vya uhalifu wa mtandao nchini, na kutaka Muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao wa mwaka 2015, uliopitishwa, Sheria yake itumike ipasavyo, ili kudhibiti uhalifu huo wa mtandao.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-y5w5n9r6Dc4/XsE_y9z154I/AAAAAAABD30/Aac0s5LPCckndfOHIJm5p2oVXySe9MGnACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200517-WA0020.jpg)
WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAONYA UVAMIZI USHOROBA WA WANYAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-y5w5n9r6Dc4/XsE_y9z154I/AAAAAAABD30/Aac0s5LPCckndfOHIJm5p2oVXySe9MGnACLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200517-WA0020.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-u9Mk0KU8i1Q/XsE_ysoRVTI/AAAAAAABD3w/2S9SCcGmAP4e1uNnUO_-fXjiY5uHke2vwCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200517-WA0021.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_vA48DckVIo/XsE_y5FzmgI/AAAAAAABD34/RXIjEJdesDgWWsfD6ixueHsHHjZUw2sjQCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200517-WA0022.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ookn5Evuhf4/XsE_1YYv-wI/AAAAAAABD38/RkShcWMeLKImV0syPl8_mMUgMdIkz0VcgCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200517-WA0023.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-7God4X-xLVU/Xtf2ZZ9LpOI/AAAAAAALsjY/Fx1OPFzKJ7UhdldmVAnjaYOF2vjYkY7LwCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-06-03%2Bat%2B10.11.49%2BPM.png)
11 years ago
Michuzi10 May