Urusi yatumia kawi kuishurutisha Ukraine
Marekani imelaani kile imekitaja kuwa hatua ya Urusi kutumia kaiwi kama chombo cha kuishurutisha Ukraine.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili26 Apr
Urusi kuingilia walioshikiliwa Ukraine
Ujumbe wa Urusi umesema watafanya kila njia kuhakikisha waangalizi wa kijeshi wa Umoja wa Ulaya walioshikiliwa Ukraine wanaachiliwa.
11 years ago
BBCSwahili11 Aug
EU yaonya Urusi isiingie Ukraine
EU imeonya Urusi isitume majeshi yake ndani ya Ukraine kwa kisingio cha kutoa misaada.
11 years ago
BBCSwahili04 Apr
Urusi yawanasa raiya 25 wa Ukraine
Kitengo cha usalama wa ndani cha Urusi Kimewatia mbaroni raiya 25 kutoka Ukraine kwa uchochezi.
10 years ago
BBCSwahili27 Aug
Ukraine na Urusi zafanya mazungumzo
Marais wa Urusi na Ukraine wamekuwa na mazungumzo ya kwanza ya moja kwa moja kuhusu mgogoro wa Ukraine,
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Urusi yapingwa dhidi ya Ukraine
Viongozi wa kundi la G7 wamefungua mkutano wao wa mwaka nchini Ujerumani kusini,wakipinga vitendo vya Urusi kwa nchi ya Ukraine.
11 years ago
BBCSwahili03 Mar
G7 yailaani Urusi kuihusu Ukraine
Kundi la mataifa ya G7 laitaka Urusi kushughulikia wasiwasi wake kuihusu Ukraine kwa njia ya mazungumzo au kupitia mpatanishi.
11 years ago
BBCSwahili14 Mar
Urusi:hatutaki vita na Ukraine
Urusi imesema haina mpango wa kuingia vitani na Ukraine,hata hivyo inaunga mkono mpango wa upigaji kura ya maoni mjini Crimea
10 years ago
BBCSwahili14 Aug
Msafara wa Urusi waelekea Kusini Ukraine
Msafara wa Msaada kutoka Urusi umeondoka kuelekea Kusini mwa Ukraine licha ya vitisho kutoka Kiev
11 years ago
BBCSwahili21 Apr
Urusi yadai Ukraine inakiuka mkataba
Waziri wa mambo ya nje wa Urusi, Sergei Lavrov, ametuhumu maafisa wakuu wa Kiev kwa kuvunja mkataba uliofikiwa wiki jana mjini Geneva kusuluhisha mgogoro wa Ukraine.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania