KIFO CHA MILIONEA MOSHI, USHIRIKINA WATAJWA
![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91slcWivm*LfUpAs8uxh3*WixFhNYUsF0FIMDbfT9uT5wNC0XR4y9FfxpY6yOfNcgsd6FAshaYwuUh0VwrUZKjKtGA/11.jpg)
Na mwandishi wetu, Moshi MWEZI mmoja baada ya mfanyabiashara wa Arusha, Timoth Mroki (36) kujiua kwa kujipiga risasi, mfanyabiashara milionea mwingine maarufu wa Moshi, Augustino Mallya (40), naye Jumatatu iliyopita alijiua kwa kujipiga risasi akiwa nyumbani kwake eneo la Karanga, mjini Moshi huku ushirikina ukitajwa. Mfanyabiashara milionea maarufu wa Moshi, Augustino Mallya (40) aliyejiua kwa risasi. Baadhi ya watu waliokuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*67Uoec4vv2EHt7ZZZPpwuVa-zAWFdHX7aUXTEye5t*t8EA9-UixXdO3lpZoWywsz*fmIdgrv0a71lrBT4Sp*BIEPxnS*THv/Punda.jpg?width=650)
MTOTO AIBWA NA PUNDA, USHIRIKINA WATAJWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxxKxygJH9TMyGf5STh20uAE1momrdwVJck5MVMyYKx0kg*kc45OBzfVFcUXKBjjSSzfIM4Slg78itNu15K2Eg3U/mahabusu.jpg?width=650)
MAHABUSU KUVUA NGUO KORTINI, USHIRIKINA WATAJWA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QOwA3H--RtQ/U1VAqKk_nsI/AAAAAAAAFWo/FSbnbPLRrwk/s72-c/Untitled-1.jpg)
TAARIFA RASMI KWA UMMA YA KIFO CHA MKUU WA WILAYA YA KALAMBO MHE. MOSHI CHANG'A, KUZIKWA JUMATANO MKOANI IRINGA
MKOA WA RUKWA Anuani ya simu:”REGCOM” Simu Na:(025)-2802138/2802144 Fax Na. (025) 2802217 Baruapepe: rasrukwa@yahoo.com
![](http://2.bp.blogspot.com/-QOwA3H--RtQ/U1VAqKk_nsI/AAAAAAAAFWo/FSbnbPLRrwk/s1600/Untitled-1.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella M. Manyanya (Mb) kwa masikitiko makubwa anapenda kuwajulisha juu msiba mkubwa ulioukumba Mkoa wetu wa Rukwa wa kuondokewa na Mkuu wa...
5 years ago
BBCSwahili30 May
Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Picha ya Lowassa yasababisha kifo Moshi
9 years ago
Habarileo10 Oct
Umbumbumbu watajwa chanzo cha ajali
KUKOSEKANA kwa uelewa juu ya hatari na madhara yanayoweza kusababishwa na kemikali kumetajwa kuwa ni chanzo kikubwa cha ajali mbalimbali hapa nchini.
10 years ago
Vijimambo06 Mar
EXCLUSIVE INTERVIEW: 'USHIRIKINA CHANZO CHA MAUAJI YA WATU WENYE ALBINISM' - DK. ALLY POSSI
10 years ago
Dewji Blog06 Mar
EXCLUSIVE INTERVIEW: ‘Ushirikina chanzo cha mauaji ya watu wenye Albinism’ — Dk. Ally Possi
Na Andrew Chale wa modewji blog
Dk. Ally Possi ambaye ni Mhadhiri wa chuo kikuu cha Ardhi, Dar es Salaam. Akielezea na kuchambua kwa kina kuhusiana na wimbi la mateso na mauaji dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi wenye albinism.
Mo dewjiblog, iliamua kufanya mahojiano maalum ilikukuletea wewe msomaji wetu unayeperuzi mtandao wako bora kabisa kujua na kuelewa na nini kifanyike ikiwemo mimi na wewe katika kuchukua hatua.
Suala la mauaji dhidi ya watu wenye albinism:
“JAMII yenye ushirikina...
10 years ago
GPLWANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2015 WATAJWA