Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dude asema anakubaliana na Steps kuuza filamu moja Tsh 1,500

Masanii wa filamu nchini Dude, amefunguka kwa kusema kuwa kwa kuwa serikali imeshindwa kupambana na wezi wa kazi za wasanii ni bora bei ya Steps Tsh 1500 iyendelee ili kuiyokoa tasinia hiyo. Dude ameiambia leo Bongo5 kuwa hakuna njia kwa sasa ya kuweza kupambana na maharamia wa kazi za wasanii zaidi kushusha bei ya filamu. […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Dude akubaliana na bei ya Tshs. 1500 kwa filamu. Asema ndio njia pekee ya kupambana na uharamia.

Masanii wa filamu nchini Dude, amefunguka kwa kusema kuwa kwa kuwa serikali imeshindwa kupambana na wezi wa kazi za wasanii ni bora bei ya Steps Tsh 1500 iyendelee ili kuiyokoa tasinia hiyo.

Dude ameiambia tovuti ya Bongo5 kuwa hakuna njia kwa sasa ya kuweza kupambana na maharamia wa kazi za wasanii zaidi kushusha bei ya filamu.

“Tumeshindwa kuwathibiti pirates, watu wanasambaza kazi, wanauza kazi kwa bei rahisi, leo hii ukienda Buguruni unapata kazi kwa elfu mbili, elfu moja mia tano,...

 

10 years ago

Michuzi

Bodi ya Filamu yakutana na Viongozi wa Kampuni ya Steps kujadili Maendeleo ya Tansia ya Filamu Nchini.

 Vijana,Utamaduni na Michezo  Bw.Patrick Kipangula  (kulia) wakati wa kikao cha kujadili maendeleo ya tansia ya filamu na wadau kutoka Kampuni ya Steps Entertainment kushoto ni Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Filamu Bw.Sylvester Sengerema. Mkurugenzi wa Kampuni ya Steps Entertainment Bw.Delish Solanki (kushoto) akizungumza na viongozi wa Bodi ya Filamu (hawapo katika picha) katika kikao cha kujadili maendeleo ya tansia ya filamu nchini Bw.Claude Nyalaba (kulia) na Bw.Carles Johns (katikati)...

 

10 years ago

GPL

STEPS ISHU SIYO KUUZA BUKUBUKU, TUTAWAMALIZAJE MAHARAMIA?

KWENU wasambazaji wakongwe wa sinema za Kibongo, Kampuni ya Steps Entertainment. Bila shaka mko poa na mnaendelea na shughuli zenu za kusambaza kazi za wasanii wetu wa Bongo Movies.
Binafsi mimi ni mzima wa afya, naendelea vizuri na majukumu yangu ya kila siku. Kwa heshima ya pekee naomba niutambue uwepo wa Mkurugenzi wa Steps, Diresh Solanki, umechangia kwa kiasi fulani kukuza sanaa nchini. Dhumuni la barua hii ni kutaka...

 

11 years ago

Michuzi

PROFESA ANA TIBAIJUKA AKABIDHI RASMI ZAWADI YAKE YA TSH.9,500,000 MAMA SHUJAA WA CHAKULA

Mgeni Rasmi Waziri wa Nyumba Ardhi na maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka akimkabidhi zawadi ya Tsh 5,000,000 Mshindi wa Mama Shujaa wa Chakula 2014 Bahati Muriga kutoka Nansio Ukerewe Mwanza. Mshindi wa Mama Shujaa wa Chakula 2014 Bahati Muriga kutoka Nansio Ukerewe Mwanza akionesha zawadi yake ya Tsh 5,000,000 aliyokabidhiwa na Waziri wa Nyumba Ardhi na maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka  Afisa Mradi wa UKIMWI kutoka OXFAM Ester Mhagama akipokea zawadi ya Tsh 2,500,000...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani