Njombe:World Benki,Tamisemi watembelea stendi na soko,wakutana na changamoto
![](https://1.bp.blogspot.com/-dvNY-cf-qIo/XnSVNb0bJbI/AAAAAAALkhg/EdhfbBiJOIMSLx26Nr8hWzx-TtQwUGCuQCLcBGAsYHQ/s72-c/thumb_326_800x420_0_0_auto.jpg)
Na Amiri kilagalila,Njombe
Timu ya wataalamu kutoka Benki ya Dunia na Ofisi ya Rais TAMISEMI imekagua mwenendo wa shughuli za ujenzi wa soko na stendi halmashauri ya mji wa Njombe ikiwa ni hatua za mwishoni kuelekea kumalizika kwa programu hiyo inayofadhiliwa na benki ya Dunia na kukagua mapendekezo ya mradi mpya wa barabara zinazotarajiwa kuingizwa kwenye mpango katika Programu zijazo.
Changamoto kubwa iliyobainika katika utekelezaji wa miradi hiyo ni kuchelewa kwa msamaha wa kodi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4UwDfNjITo4/XnWwMNIWe3I/AAAAAAALknA/hFluiYsP7boeSFOBtlp_Xg3nTBP60YZWQCLcBGAsYHQ/s72-c/thumb_328_800x420_0_0_auto.jpg)
Njombe:Wataalamu wazunguka Stendi,Sokoni kutoa elimu ya virusi vya Corona
Na Amiri kilagalila,Njombe
Kufuatia uwepo ugonjwa wa virusi vya Corona nchini Tanzania,halmashauri ya mji Njombe imeanza kutoa elimu kwa wananchi wa halmashauri hiyo ili kuweza kuchukua hatua stahiki za kuepukana na maambukizi zaidi ambapo Idara ya afya imeanza kutoa elimu katika maeneo ya stendi,masoko,taasisi za kifedha na hoteli kuhusu dalili na njia za kujikinga na virusi hao.
Mganga mkuu wa halmashauri ya mji wa Njombe Dkt.Yesaya Mwasubila amewataka wananchi kuhakikisha kuwa wananawa...
5 years ago
CCM Blog10 years ago
Dewji Blog20 Sep
TAMISEMI kuanzisha benki ya maendeleo, bilioni 50 kutumika
Mjumbe wa Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa, George Lubeleje ( wa tatu kulia).Picha na Maktaba.
Na Mwandishi wetu
Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa inatarajia kuanzisha Benki ya maendeleo ya Serikali za Mitaa ambayo pamoja na mambo mengine Jukumu lake la Msingi litakuwa ni Kutoa Mikopo yenye masharti nafuu kwenye Halmashauri kwa ajili ya kutekeleza miradi inayolenga kuchochea shughuli za kiuchumi, kuongeza ajira na Mapato ya Halmashauri ili kujiletea Maendeleo ndani ya Halmashauri na...
9 years ago
MichuziNaibu Katibu Mkuu wa TAMISEMI akagua hali ya mazingira ya soko la Temeke Sterio, jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-3g2gtthl8oo/VmGEoI-lFxI/AAAAAAAIKKo/xzNWNlVk2u0/s640/5.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wmHrjiWYEc8/XpcWIVHJ6wI/AAAAAAALnEc/OBsxrfgUk6wtLyzSwLH1DILV0SFybHz8QCLcBGAsYHQ/s72-c/hqdefault.jpg)
KUDHIBITI UTOROSHWAJI WA MADINI SOKO LAZINDULIWA MKOANI NJOMBE
![](https://1.bp.blogspot.com/-wmHrjiWYEc8/XpcWIVHJ6wI/AAAAAAALnEc/OBsxrfgUk6wtLyzSwLH1DILV0SFybHz8QCLcBGAsYHQ/s640/hqdefault.jpg)
Akizungumza katika uzinduzi huo mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka amesema kuwepo kwa soko hilo la madini itasaidia wachimbaji hao kutumia fursa na njia zilizosahihi kulipa mapato kwa serikali.
“Kuanzisha soko la madini katika mkoa wetu inakuwa ni...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1BKMOfx2hEU/VD7R0RL_ydI/AAAAAAAGqww/BXnPxyQGdqo/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
kikao cha pamoja baina ya TAMISEMI, Benki ya Dunia, DANIDA na watendaji kutoka halmashauri
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
Manufaa, changamoto za Soko la Pamoja Afrika Mashariki
JULAI Mosi, mwaka 2010 Mataifa ya Afrika Mashariki yalikubaliana kuanzishwa kwa Soko la pamoja la Afrika Mashariki baada ya wakuu wa nchi hizo wanachama; Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nY7zc2FvKic/Xs4Y98FiuKI/AAAAAAALrq8/-uJWKnjhTUc21KSmgQ5NHdaVxRsHeioJQCLcBGAsYHQ/s72-c/furaha.jpg)
KAMPUNI YA ASAS YAKABIDHI STENDI KUU YA IGUMBILO NA STENDI YA ZAMANI MTAMBO WA KUNAWIA MIKONO
NA DENIS MLOWE,IRINGA
STENDI kuu ya Igumbilo na stendi ya zamani zimekabidhiwa msaada wa mashine ya kunawia mikono ya kisasa kutoka kwa kampuni ya Asas ya mjini Iringa ikiwa ni mwendelezo wa kampuni hiyo kusaidia jamii kupambana na kuenea kwa virusi vya coroni mkoani hapa.
Msaada huo wa mashine mbili za kisasa ambazo zinazinatumia miguu kuweza kutoa maji na vitakasa mikono ni kubwa zinazoweza kuhudumia watu zaidi ya watano kwa wakati mmoja zimekabidhiwa na mwakilishi wa kampuni hiyo, Afisa...
10 years ago
GPLWANAHABARI NA WAMILIKI WA VYOMBO VYA HABARI WA EAC WAKUTANA KUJADILI CHANGAMOTO ZA NCHI ZAO