Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tusigeuze nchi gwaride la kijeshi

KATIKA siku za nyuma Watanzania wengi, Bara na Visiwani, walionekana kupumua pale Serikali ambayo ilikuwa ikipenda kutumia amri, badala ya sheria ilipoonekana kuwa na uvumiivu kwa watu kujieleza na kutoa maoni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

China yaonyesha uwezo wake wa kijeshi kwa gwaride la nguvu

China ina kila sababu ya kusheherekea siku hii kwa shangwe baada ya historia kuwapitisha hatua ya kuwa taifa maskini na sasa ni taifa la pili duniani kwa kuwa na uchumi mkubwa duniani.

 

9 years ago

GPL

TUSIGEUZE UCHAGUZI KUWA MTAJI WA KUCHUMIA FEDHA

Mwenyekiti wa Nec, Jaji Damian Lubuva. TUMSHUKURU Mungu kwa kuwa nchi yetu ya Tanzania kwa mara nyingine tena inaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu, Oktoba 25, mwaka huu tukiwa na amani, hivyo ahimidiwe daima.Nasema hivyo kwa kuwa baadhi ya vijana waliofikisha miaka 18 hivi karibuni hawajawahi kushiriki kwenye uchaguzi wowote na uchaguzi huu ni wa kwanza kwao. Vijana hawa na watu wengine, wanahitaji kujifunza au kukumbushwa juu ya mambo...

 

10 years ago

Mwananchi

JK akagua gwaride la mwisho la Uhuru

Rais Jakaya Kikwete jana alikagua gwaride la Uhuru la vikosi vya ulinzi na usalama ambavyo baadaye vilipita mbele yake kutoa heshima ikiwa ni maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanganyika.

 

10 years ago

Mwananchi

Anwar Sadat: Rais aliyeuawa akikagua gwaride la heshima

Miaka 34 tangu alipouawa, taifa la Misri linamkumbuka mmoja wa viongozi wake, rais wa tatu Anwar Sadat.

 

10 years ago

Michuzi

Memorial Day 2015: Taswira mbalimbali za Mamia ya wananchi walivyohudhuria gwaride kitaifa kwaajili ya mashujaa wa Marekan

Joe Mantegna na Gary Sinise  kwenye gari la Pili kushoto wakiwa katika ufunguzi wa Sherehe za National Memorial Day Parade Siku ya Jumatatu May 25, 2015 Jijini Washington DC. (Picha zote na Swahilivilla.Blog)Cheif wa Swahilivilla Abou Shatry  Swahilivilla akisalimiana  na kamanda wa Naval Wilaya Washington DC,  Adm. Markham K. Rich, baada ya  gwaride la kitaifa kwaajili kuwapongeza mashujaa wa Marekani  Cheif wa Swahilivilla Abou Shatry alipoungana na Mamia ya wananchi waliokusanyika katika...

 

10 years ago

Dewji Blog

Memorial Day 2015: Taswira mbalimbali za Mamia ya wananchi walivyohudhuria gwaride kitaifa kwa ajili ya mashujaa wa Marekani

Joe Mantegna na Gary Sinise  kwenye gari la Pili kushoto wakiwa katika ufunguzi wa Sherehe za National Memorial Day Parade Siku ya Jumatatu May 25, 2015 Jijini Washington DC. (Picha zote na Swahilivilla.Blog) Kushoto: Joe Mantegna akiwa katika mwendo wa National Memorial Day Parade Siku ya Jumatatu May 25, 2015 katika barabara ya Pennsylvania Avenue Jijini Washington DC  Mmoja katika ya wageni rasmi katika Parade 2015 Chef Robert Irvine pia alikuepo katika National Memorial Day Parade...

 

10 years ago

Vijimambo

Yanga yajifua kijeshi


Wachezaji wa Yanga mazoezini 
Ilikuwa pale pembezoni mwa Hospitali ya Aga Khan ambapo kikosi hicho kikiwa chini ya makocha wao, Hans Pluijm na Charles Boniface Mkwasa kilifanya mazoezi hayo makali yaliyolenga kuimarisha nguvu kwa wachezaji hao.YANGA kweli imepania msimu ujao. Kwani baada ya kupiga tizi kwenye Uwanja wa Karume, Ilala kikosi cha timu hiyo kimehamia ufukweni kufanya mazoezi fulani ya nguvu kama wanajeshi.
Ilikuwa pale pembezoni mwa Hospitali ya Aga Khan ambapo kikosi hicho kikiwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukraine yajizatiti kijeshi

Ukraine imeagiza kuimarisha vikosi vyake katika kukabiliana na Urusi katika jimbo la Ukraine la Crimea.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtandao wa kijeshi Marekani wadukuliwa

Jeshi la Marekani lilisimamisha kwa muda mtandao wake baada ya kisa cha kuingiliwa kimitandao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani