Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK akagua gwaride la mwisho la Uhuru

Rais Jakaya Kikwete jana alikagua gwaride la Uhuru la vikosi vya ulinzi na usalama ambavyo baadaye vilipita mbele yake kutoa heshima ikiwa ni maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanganyika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

JAFO AKAGUA UJENZI HOSPITALI YA UHURU, AAGIZA KUONGEZWA KWA NGUVU KAZI

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe Selemani Jafo akitoa maelekezo baada ya kufika kujionea maendeleo ya ujenzi wa Hospitali ya Uhuru inayojengwa kwa maelekezo ya Rais Dk Magufuli wilayani Chamwino, Dodoma. Mafundi wakiendelea na ujenzi wa Hospitali ya Uhuru inayojengwa wilayani Chamwino mkoani Dodoma.Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Selemani Jafo akiwa kwenye ukaguzi wa ujenzi wa Hospitali ya Uhuru wilayani Chamwino, Dodoma.
Charles James, Globu ya JamiiWAZIRI  wa Nchi Ofisi ya...

 

10 years ago

Vijimambo

TICKET ZA UHURU NIGHT ZA $75 MWISHO NOV. 10..BAADA YA HAPO $100!!


EARLY BIRD TICKETS FOR $75 ON SALE NOW UNTIL NOV. 10THREGULAR PRICE $100PRICE INCLUSIVE OF:*3 Course Dinner*Diamond & WCB Dancers Live Performance*Ultra Exclusive Red Carpet Feat. Premiere Host*Free Professional Photography Pictures*Elegant Ambiance & Settings*Cash Bar*Ample ParkingFOR TICKETS VISIT: WWW.DIAMONDUSATOUR.COM

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT. MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA DARAJA LA JUU UBUNGO NA BARABARA, AONGEA NA KUSIKIL|IZA KERO ZA WANANCHI MBEZI MWISHO, MLOGANZILA, MLANDIZI,CHALINZE

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipita kukagua Maendeleo ya ujenzi katika sehemu ya  gorofa ya pili ya barabara ya juu Ubungo Interchange ambayo iko katika hatua za mwisho kukamilika kwa ajili ya magari kuanza kupita. Mradi mzima wa Makutano hayo ya Ubungo umefikia asilimia 75. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mke wake Mama Janeth Magufuli wakimsikiliza Mtendaji Mkuu wa TANROADS Eng....

 

10 years ago

Vijimambo

MAZOEZI YA MWISHO YA MAANDALIZI YA UZINDUZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU KWA MWAKA 2015 MJINI SONGEA

3Waziri wa Habari , Vijana , Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Dkt. Fenella Mukangara (katikati)akishaurina na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu(kushotoi) na Waziri wa Uwezeshaji , Ustawi wa Jamii , Vijana ,wanawake na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Zainabu Omary Mohamed(kulia) leo mjini Songea wakati wa mazoezi ya mwisho ya maandalizi ya uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2015, utakaozinduliwa tarehe 29.4.2015 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tusigeuze nchi gwaride la kijeshi

KATIKA siku za nyuma Watanzania wengi, Bara na Visiwani, walionekana kupumua pale Serikali ambayo ilikuwa ikipenda kutumia amri, badala ya sheria ilipoonekana kuwa na uvumiivu kwa watu kujieleza na kutoa maoni...

 

10 years ago

Mwananchi

Anwar Sadat: Rais aliyeuawa akikagua gwaride la heshima

Miaka 34 tangu alipouawa, taifa la Misri linamkumbuka mmoja wa viongozi wake, rais wa tatu Anwar Sadat.

 

5 years ago

BBCSwahili

China yaonyesha uwezo wake wa kijeshi kwa gwaride la nguvu

China ina kila sababu ya kusheherekea siku hii kwa shangwe baada ya historia kuwapitisha hatua ya kuwa taifa maskini na sasa ni taifa la pili duniani kwa kuwa na uchumi mkubwa duniani.

 

10 years ago

Michuzi

Memorial Day 2015: Taswira mbalimbali za Mamia ya wananchi walivyohudhuria gwaride kitaifa kwaajili ya mashujaa wa Marekan

Joe Mantegna na Gary Sinise  kwenye gari la Pili kushoto wakiwa katika ufunguzi wa Sherehe za National Memorial Day Parade Siku ya Jumatatu May 25, 2015 Jijini Washington DC. (Picha zote na Swahilivilla.Blog)Cheif wa Swahilivilla Abou Shatry  Swahilivilla akisalimiana  na kamanda wa Naval Wilaya Washington DC,  Adm. Markham K. Rich, baada ya  gwaride la kitaifa kwaajili kuwapongeza mashujaa wa Marekani  Cheif wa Swahilivilla Abou Shatry alipoungana na Mamia ya wananchi waliokusanyika katika...

 

10 years ago

Dewji Blog

Memorial Day 2015: Taswira mbalimbali za Mamia ya wananchi walivyohudhuria gwaride kitaifa kwa ajili ya mashujaa wa Marekani

Joe Mantegna na Gary Sinise  kwenye gari la Pili kushoto wakiwa katika ufunguzi wa Sherehe za National Memorial Day Parade Siku ya Jumatatu May 25, 2015 Jijini Washington DC. (Picha zote na Swahilivilla.Blog) Kushoto: Joe Mantegna akiwa katika mwendo wa National Memorial Day Parade Siku ya Jumatatu May 25, 2015 katika barabara ya Pennsylvania Avenue Jijini Washington DC  Mmoja katika ya wageni rasmi katika Parade 2015 Chef Robert Irvine pia alikuepo katika National Memorial Day Parade...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani